Kikwete: Nataka kurithiwa na rais kijana!

Zitto Kabwe, ambaye ameweka wazi kuwa anataka kuwa Rais wa Tanzania anasema kuwa Jakaya Kikwete amemwambia yeye na Mbunge wa NCCR Mageuzi, David Kafulila, kuwa anapendelea Rais wa 2015 awe kijana. Kikwete amewataka Zitto, Kafulila na vijana wengine wajiandae kumrithi.

Source: Post ya Zitto kwenye account ya JF ya kwenye facebook yenyewe hii hapa:

"Msikubali atakayenirithi awe wa rika langu. Kizazi chenu sasa kijiandae"-JK to David Kafulila and I when launching construction of Malagarasi Bridge.

JK hamteui mtu kushika nafasi kwa kuangalia uwezo wa anayemteua kuweza kuleta mabadiliko katika utendaji bali humteua kwa ushwahiba, na uwezekano wa mtu huyo kumwongezea watu wa kumwunga mkono au kumpunguzia maadui. Ni kwa vigezo hivyo aliwateua kwenye nafasi za uwaziri marafiki na ndugu zake. Alipoona maadui wameongezeka kiasi cha kushindwa kuhimili, kwanza aliweza kufanya jitihada za kumpa Msekwa umakamu M/Kiti wa CCM, akawateua Sita na Mwakyembe. Ili kujiongezea watu wa kumwunga mkono alimteua Mchungaji Rwakatare kwa kudhania atawavuta wafuasi wake wa kiimani kumwunga mkono yeye na CCM bila kujali mtu huyo atakuwa na msaada gani katika Taifa. Nafasi 10 za wabunge wa kuteuliwa na Rais ziliwekwa kwa nia maalum, hasa ikiwa kuwapata watanzania wenye uwezo wa pekee wa kumsaidia Rais katika serikali yake, lakini watu hao hawapendi kuingia kwenye vurugu za uchaguzi, lakini yeye hajaweza kuzitumia vizuri.

Hoja ya kusema Rais ajaye lazima awe kijana, haina msingi wowote maana haina uhusiano na utendaji mzuri tunaoutaka. Kwa sababu JK hakuwahi kuwa na vigezo vya kiutendaji katika teuzi zake, ni dhahiri hata pendekezo lake la Rais ajaye haliwezi kuwa na vigezo tunavyovitaka. Yeyote atakayependekezwa na JK kuwa Rais ajaye, hiyo pekee yake itakuwa ni disqualification, maana kuna uwezekano mkubwa wa JK kupendekeza jina mtu ambaye atakuja kuwa kama yeye. Tulifanya makosa wakati wake, hatutaki kurudia tena.
 
Zitto Kabwe, ambaye ameweka wazi kuwa anataka kuwa Rais wa Tanzania anasema kuwa Jakaya Kikwete amemwambia yeye na Mbunge wa NCCR Mageuzi, David Kafulila, kuwa anapendelea Rais wa 2015 awe kijana. Kikwete amewataka Zitto, Kafulila na vijana wengine wajiandae kumrithi.

Source: Post ya Zitto kwenye account ya JF ya kwenye facebook yenyewe hii hapa:

"Msikubali atakayenirithi awe wa rika langu. Kizazi chenu sasa kijiandae"-JK to David Kafulila and I when launching construction of Malagarasi Bridge.

Good, kwa maana hiyo Mbowe & Slaa OUT ! safi sana
 
Zitto Kabwe, ambaye ameweka wazi kuwa anataka kuwa Rais wa Tanzania anasema kuwa Jakaya Kikwete amemwambia yeye na Mbunge wa NCCR Mageuzi, David Kafulila, kuwa anapendelea Rais wa 2015 awe kijana. Kikwete amewataka Zitto, Kafulila na vijana wengine wajiandae kumrithi.

Source: Post ya Zitto kwenye account ya JF ya kwenye facebook yenyewe hii hapa:

"Msikubali atakayenirithi awe wa rika langu. Kizazi chenu sasa kijiandae"-JK to David Kafulila and I when launching construction of Malagarasi Bridge.

Sasa hapo Zitto anatafuta ugomvi na Chadema na vile vila aliyeandaliwa Dr Slaa.

Haya kama uenyekiti wa taifa wa Chadema ulipata basi na watakuteua kugombea Urais kwa tiketi yao.
 
kwa hio Dr slaa mzee wa kukurupuka akae pembeni kule chadema na kumuachia kijana Zitto
Anajua Dr wa ukweli hatamuonea haya wala huruma kwa yale anayofanya kwa kuwa hashawishiki kirahisi, ndo maana kwa kuangaliaa mbele anaona kabisa kwa kuwa nchi kwa sasa inaimani na CHADEMA hivyo anajribu kuangalia ni kwa jinsi gani atalindwa na yeyote atakae kuja baada yake. Maana ZIMWI LIKUJUALO HALIKULI LIKAKWISHA. Anajua kijana ni rahisi hata kumshawishi hata kwa kutumia umri akakuheshimu kwa umri wako.
 
Good, kwa maana hiyo Mbowe & Slaa OUT ! safi sana

Hamna cha Good mzee!

Rais wa kuteuliwa na JK hatufai nchi hii. Atuachie wenyewe tuamue, hizo propaganda za eti kijana au sura nzuri bila kuangalia vigezo vingine vya msingi ndicho kinachotuumiza hata leo. Kila mtu anakumbuka watu walivyokuwa wamechanganyikiwa na Kikwete......nadhani watu walikuwa wamelogwa sijui na nani au yule mganga wake nini?

Hatutaki kurudia makosa kama yale, tumeshaona madhara yake hivyo anayetaka Uraisi lazima afikie kiwango cha matarajio ya watanzania na si kwa ajili ya ujana wake,uzee wake, jinsia yake, dini yake,sura yake(mambo ya 2005),kabila lake, kanda yake etc.
 
Zitto akiteuliwa mimi mtanifukuza unachama kabisa mana, nitapingana na chama tena hadharani. yani mmeshasahau juzi kati tu? achilia mbali ya Shibuda na JK 2005. Mimi sitaki kusikia hilo ila namkubali kama hazima but may be 2020 kama akiendelea kubehave kama alivoanza juzi jana. Hivi JK ana-power ya kumuendorse anyone kweli mpaka tuweke bango?

My God, yani tumeshindwa kugagadua mambo mpaka tugagadulie? Hivi ni nani alietunyima mbinu za kutawala maisha yetu?
 
Good, kwa maana hiyo Mbowe & Slaa OUT ! safi sana

Kwani huyo msanii wenu JK ndiye ameshikilia akili za watu zaidi ya milioni 40 wa nchi hii? Ni wapuuzi tu wanaoweza kuchukuwa ushauri wa rais ambaye hajui kwa nini nchi yake ni masikini.
 
Tunataka kiongozi atakayetuvusha kwenye mageuzi makubwa ya kiuchumi,kisiasa,na ustawi wa jamii na kuinyosha nchi yetu ili iweze katika msingi ya haki so it doesnt matter kama ni kijana au mzee
 
Ben,

Hio kauli mbiu ndo yetu CDM au? i like it, i will carry it with me.

No buddy,nilikuwa najaribu tu kufikiria ni kauli mbiu gani itakayotoa real reflection ya tulikotoka 50 years ago na ni ipi itakayotoa taswira ya kipi cha kufanya miaka mingine ijayo kabla hatujatimiza karne moja.Honestly,we need to be aggressively.....tumechelewa sana tuache kutoa kauli mbiu za kuhalalisha udhaifu na kuwaandaa vijana kubweteka miaka 50 ijayo.
 
Iam wondering kama kweli Watanzania tuna ujasiri wa kufanya mambo mapya.Jamani kugombea urais sio treason.Posts nyingine ziko interesting kweli
Our young, vibrant and educated corporate,political,social leaders are being overshadowed by discredited men looking forward to presidential burials. Other African countries that used to look up to us are offering solutions from how to conduct fair elections to kicking us out.

What does that say about Tanzania? It means we are not ready to change the old ways that plunged us into darkness after Independence. With all the talents in the Land, reasonable people know that if you do not want the same results in tanzania, we have to look for fresh new solutions. The threat of disunity or lack of independence is not the burning issues. If anything, most Tanzanians are so fed up with the amplified disparity, that they are willing to try anything, including peaceful separation rather than kill one another to achieve economic independence.Ni lazima tujipange upya after 50 years on
 
Tuliwahi kujadili mada moja ililetwa hapa kuwa CCM wana mpango wa kumshawishi zitto ahamie NCCR ili awe mgombea urais kupitia NCCR na hapo UWT watafanya mambo yao yaleeeeee ya 2010 kupitia sanduku la kura na Zitto ataibuka mshindi wa pili na wa tatu CUF na CDM wakiambulia nafasi ya nne hapo utakuwa mwishio wa CDM na dr. wa ukweli.JK anachokifanya ni kuwakumbusha kina zitto na NCCR waanze kupiga jaramba maana muda unakaribia wachukue chao mapemaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!
 
kikwete ni mtu aliye focused sana na ana ona mbali huyu mtu,anaamini sana kwa vijana wenye uwezo,thats why hata pale Ikulu amewaweka,na hata ndani ya Chama na serikalini. Agenda hapa sio zitto/kafulila anaweza,bali kijana gani anafaa zaidi ku preside
 
Ben,

Watu kama wewe wapo wengi Tanzania, i think including myself but we are missing something of which is very important. You know what? MBINU ZA KUPAMBANA MAZINGIRA ULIONAYO. Tumebakia kukopi tu, e.g. ukiona Politic inalipa just jump in, not jump out.

Wakati tunasoma secondary i was good in History but my teacher recommended to PCB simply i know maths and chem. ndo mwanzo wa kifo cha uzalendo wetu. sasa tubakia kuletewa tu and will continue to be like that unless CCM is out and we get in someone knows in person the source of our problems.
 
Iam wondering kama kweli Watanzania tuna ujasiri wa kufanya mambo mapya.Jamani kugombea urais sio treason.Posts nyingine ziko interesting kweli
Our young, vibrant and educated corporate,political,social leaders are being overshadowed by discredited men looking forward to presidential burials. Other African countries that used to look up to us are offering solutions from how to conduct fair elections to kicking us out.

What does that say about Tanzania? It means we are not ready to change the old ways that plunged us into darkness after Independence. With all the talents in the Land, reasonable people know that if you do not want the same results in tanzania, we have to look for fresh new solutions. The threat of disunity or lack of independence is not the burning issues. If anything, most Tanzanians are so fed up with the amplified disparity, that they are willing to try anything, including peaceful separation rather than kill one another to achieve economic independence.Ni lazima tujipange upya after 50 years on

Ben,

Acha spinning na upotoshaji kwa maslahi yenu.Acheni kuwachanganya watu,acheni kuwapotosha watu.Lugha uliyotumia hapa inaonyesha dhahiri unampigia Zitto kampeni na pengine kubadilisha mtazamo wa Jukwaa hili la Jamii forums juu ya Zitto.Sijui ni ajenda gani ya siri mliyo nayo.msitumie taaluma zenu kushawishi watu waamini kuendana na matakwa yenu.jeuri yenu itawagharimu.ninyi mna ligi yenu ya waroho wa madaraka.huo mtandao wenu tutauona,nilishakushauri sana kama unakumbuka uachane na kambi ya akina Zitto itakupotezea kipaji chako ulicho nacho na taaluma yako.kumbuka unaaminika sana.Hata ile siku ya uchaguzi ulishauriwa uachane na kundi loote litakalokufanya uwe upande wa wasaliti wa chama hukusikia.Jeuri yako itakuponza.nimekushauri tu kama dada yako mwenye matumaini makubwa na wewe siku za usoni.now it is up to you uamue kusuka ama kunyoa.
Tuliwahi kujadili mada moja ililetwa hapa kuwa CCM wana mpango wa kumshawishi zitto ahamie NCCR ili awe mgombea urais kupitia NCCR na hapo UWT watafanya mambo yao yaleeeeee ya 2010 kupitia sanduku la kura na Zitto ataibuka mshindi wa pili na wa tatu CUF na CDM wakiambulia nafasi ya nne hapo utakuwa mwishio wa CDM na dr. wa ukweli.JK anachokifanya ni kuwakumbusha kina zitto na NCCR waanze kupiga jaramba maana muda unakaribia wachukue chao mapemaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!

Hawa ni wasaliti walishamtanguliza kafulila.Chadema itafanya uamuzi mzuri tu msijali.siku hizi mwenzetu amepata makundi mbalimbali yanayomuunga mkono ndiyo maana unawaona hata watu kama akina Ben Saanane wanatumia kila fursa inayotokea kujenga mtandao wao.chadema haiogopi kumfukuza mwanachama yeyote,hakuna mtu maarufu kuliko chama ndiyo maana shibuda atakiona cha moto soon.sisi tunajua jinsi ya kuchukua uamuzi tofauti na magamba na rais wao.Ni bora watoke mapema ndani ya chama wasitubabaishe bwana
 
Kkiwete ana CREDIBILITY zipi za kuajua nani anafaa kuwa raisi wa nchi hii?
hapo anawachonganisha vijana na wazee ili MWINYI ashinde kirahisi,
sidhani kama kikwete ana nia ya kuona kafulila au zitto wakiwa maraisi
labda aseme ana maana ya MAKAMBA na wenye magamba wengini.

ZITTO kaishabikia hii kauli kwa misingi ipi?
lini amekuwa mwana CCM?

Sometime nashindwa kumuelewa ZITTO, ana siri nzito na harakati za uraisi,
yeye kwa sasa ni mwanasiasa mwenye uwezo anaishi vipi kwa vikra za watu anaowaumbua kila
siku.
ina maana CCM wanakimpa kula yuko tayari?
 
Ben,

Acha spinning na upotoshaji kwa maslahi yenu.Acheni kuwachanganya watu,acheni kuwapotosha watu.Lugha uliyotumia hapa inaonyesha dhahiri unampigia Zitto kampeni na pengine kubadilisha mtazamo wa Jukwaa hili la Jamii forums juu ya Zitto.Sijui ni ajenda gani ya siri mliyo nayo.msitumie taaluma zenu kushawishi watu waamini kuendana na matakwa yenu.jeuri yenu itawagharimu.ninyi mna ligi yenu ya waroho wa madaraka.huo mtandao wenu tutauona,nilishakushauri sana kama unakumbuka uachane na kambi ya akina Zitto itakupotezea kipaji chako ulicho nacho na taaluma yako.kumbuka unaaminika sana.Hata ile siku ya uchaguzi ulishauriwa uachane na kundi loote litakalokufanya uwe upande wa wasaliti wa chama hukusikia.Jeuri yako itakuponza.nimekushauri tu kama dada yako mwenye matumaini makubwa na wewe siku za usoni.now it is up to you uamue kusuka ama kunyoa.


Hawa ni wasaliti walishamtanguliza kafulila.Chadema itafanya uamuzi mzuri tu msijali.siku hizi mwenzetu amepata makundi mbalimbali yanayomuunga mkono ndiyo maana unawaona hata watu kama akina Ben Saanane wanatumia kila fursa inayotokea kujenga mtandao wao.chadema haiogopi kumfukuza mwanachama yeyote,hakuna mtu maarufu kuliko chama ndiyo maana shibuda atakiona cha moto soon.sisi tunajua jinsi ya kuchukua uamuzi tofauti na magamba na rais wao.Ni bora watoke mapema ndani ya chama wasitubabaishe bwana

Hata wengi wetu tuna uhakika kuwa CDM hawakuwa tayari kuwa ngazi ya CCM.Mpango wa zitto kuhamia NCCR ulishasemwa siku nyingi na CCM ndiyo mtaji pekee waliobakiza wa kuja kuifumua CDM hapo 2014 hadi 2015.Bahati pekee kwa CDM ni kwamba inao wapambanaji walio makini ambao tuna uhakika taarifa hizi wanazo na zimefanyiwa kazi.
 
halafu nani atampigia kura zitto?bora hata kafulila.kura zake hazipapita laki 5.
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom