Kikwete na Mbowe wakutana tena faragha

Hivi wewe hujui kama CDM ndiyo wanaongoza nchi????, Maana ilani inayotekelezwa ni ya CDM kwa hiyo hata wakikutana mimi sishangai...

JK labda kaona CDM ndiyo inayoweza kumsaidia akamaliza kipindi chake cha miaka mitatu na nusu iliyobaki....

Jk anaogopa upepo wa chadema ndo maana anaaona awe karibu nao. kama mtakumbuka sera kuu ya chadema katiba mpya lakini wao ccm walisema hakuna ulazima wa katiba mpya.ila jk alivyoona upepo mkali wa chadema ikabidi akubali kuwe na mchakato wa katiba (kubaliana na sera ya cdm) tofauti na mtazamo wa chama chake.
Sasa kitendo cha kuumuita Mbowe ni kumuomba ushauri maana maji yashakuwa mazito.
 
Kuna mambo yafuatayo hapo
  1. Kuomba ushauri juu ya anini afanye akomboe jahazi ili la umasikini
  2. Kuomba kama seif na karume walivyokuwa wanakutana ili chama kisimfie yeye
  3. Wapunguze kasi ya M4C
  4. Anataka amteue Slaa kuwa mbunge
  5. Anaomba amtulize Lema asiendelee kumwaga siri za mkutano wake naye. Atamrejeshea ubunge

ni ushauri kuhusu Zenj
 
Nahisi JK atakuwa anamuomba radhi kwa niaba ya CCM juu ya hotuba ya Mukama jana pale karimjee.
Ila pia kutengeneza mazingira ili Mbowe aje mkumbuka JK kwenye ufalme wake
 
Kwa akili yako unafikiri Mbowe kajipeleka? Kama hii habari ni ya kweli basi ujue Mbowe kaitwa, na hii ndio ishara kwamba mlipuko wa CDM unamchanganya JK.
Hivi pale kwenye Sheria ya katiba Mbowe aliitwa?
 
hatuna chama cha upinzani hapa tanzania!,wanacheza na jk hawa,atawaliza mpaka mtachoka,

ANGALAU HATA KAMA ANGEKUWA NA UWEZO WA KIMBINU MIKAKATI ningesema labda!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Jamani kuna nini huko,mbona nimepata hizi tetesi kwa watu wazito au si kweli maana Tz kwa majungu HATARItunaomba wenye data mtupe na sisi habari..
Lkn napata wasi wasi Mwenyekiti wa CCM na Mwenyekiti wa Chadema kukutana siri mara kwa mara,hizi siri mimi ndio naziogopa,chupu chupu niachane na Cuf na siasa kabisa, wakati Maalim seif na Nyerere walipokutana na halafu akakutana na salmin...
TUJUZENI WENYE TAARIFA

Kikwete ni mwanchama wa Chadema..kwa siri...ilikuwa atangaze kama mwaka 2010 wangemtosa....,na Zaidi ya hayo wao na Mbowe ni marafiki kibinafsi.........
Kwenye siasa ....sio ajabu sana ...mtu kuonyesha Nia ya kujiunga na chama fulani kwa wakati fulani kwa sababu fulani ndani ya chama chake ambazo zikirekebishwa ..huweza kuendelea kuwa mwanachama ..lakini haiondoi uhusiano ........
 
Hizo tetesi kama za kweli basi tufahamu kuwa mustakabali na maslai ya taifa hayana chama chochote chenye haki na wajibu kuliko kingine,hivyo kistaarabu ni vema wakuu hao wakakutana kujadili masuala mbalix2 yanayouhusu taifa letu na si vinginevyo.
 
Kuna mambo yafuatayo hapo
  1. Kuomba ushauri juu ya anini afanye akomboe jahazi ili la umasikini
  2. Kuomba kama seif na karume walivyokuwa wanakutana ili chama kisimfie yeye
  3. Wapunguze kasi ya M4C
  4. Anataka amteue Slaa kuwa mbunge
  5. Anaomba amtulize Lema asiendelee kumwaga siri za mkutano wake naye. Atamrejeshea ubunge

Naona ni Kuomba Vipengele Vya siri ambavyo Haviko wazi kwenye Ilani ya CDM ili aweze Kuitekeleza Ilani Vizuri!!
 
Taarifa ni kwamba Kikwete na Mbowe wamekutana kujadili mustakali wa Tanganyika hasa baada ya taarifa za kiinteligensia kubainisha wakosa chogo wanataka kisiwa chao[kujitenga].So upo uwezekani mkubwa makamu wa Rais na mawaziri wenye asili ya Zanzibar wakarejea kwao wakati wowote kuanzia sasa.

JK itabidi aunde serekali ya umoja wa kitaifa itakayowashirikisha CDM na CCM.
 
Jamani kuna nini huko,mbona nimepata hizi tetesi kwa watu wazito au si kweli maana Tz kwa majungu HATARItunaomba wenye data mtupe na sisi habari..
Lkn napata wasi wasi Mwenyekiti wa CCM na Mwenyekiti wa Chadema kukutana siri mara kwa mara,hizi siri mimi ndio naziogopa,chupu chupu niachane na Cuf na siasa kabisa, wakati Maalim seif na Nyerere walipokutana na halafu akakutana na salmin...
TUJUZENI WENYE TAARIFA
TETESI TETESI TETESI ADUI wa ukweli. Acha kuchafua hali ya hewa kwa kuleta TETESI.
 
Nyie wanaCDM mtaishia kulalama tu!
Hanjui mambo yaliyomo kwenye chama chenu:-

1. Signatory wa Cheque ya Account ya chama.
2. Income statement ya Account yenu.
3. Budget ya pesa za chama
4. Utajiri wa viongozi wenu.
 
Kikwete yupo hoi, anajaribu kumeza panadol kupunguza maumivu, maana itakuwa hivi!
181438_3775655342900_1258860304_n.jpg
 
Taarifa ni kwamba Kikwete na Mbowe wamekutana kujadili mustakali wa Tanganyika hasa baada ya taarifa za kiinteligensia kubainisha wakosa chogo wanataka kisiwa chao[kujitenga].So upo uwezekani mkubwa makamu wa Rais na mawaziri wenye asili ya Zanzibar wakarejea kwao wakati wowote kuanzia sasa.


JK itabidi aunde serekali ya umoja wa kitaifa itakayowashirikisha CDM na CCM.
Unauhakika au unasema kutoka kwenye kichwa chako?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom