Kikwete na Lowassa kunani tena?

Kila mwaka tunapoteza mabilioni kwa sherehe za Uhuru wa Tanganyika, mapinduzi ya zanzibar, sherehe za muungano? Kwanini sherehe hizi zisifanyike kila baada ya miaka 5 au kumi ili ku save pesa za watoa jasho na kuingizwa katika maendeleo? Umasikini tulionao watanganyika na wazanzibari kwa upumbavu huu kila siku?
 

Ni vema zikafutwa kabisa mpaka tupate uhuru wa kweli.
 
Hata kwenye tv tumemuona akiwa kwapani mwa kikwete pinda akiwa mbali na kificho.
 

Wewe ulikaa jukwaa kuuu ndo maana hukuona. Mimi mwanzo mwisho nimeangalia luninga. Hivyo ndivyo ilivyokuwa. Nilishangaa pinda kaka pembeni kabisa. Pinda alikuwa mkono wa kulia wa mama wa WAMA
 
Halafu ukiangalia kwa haraka haraka unaweza kudhani kwamba Lowassa ndiye Raisi wa Tanzania halafu Kikwete ndiye makamu wa Raisi halafu Dr. Shein anabaki kuwa Raisi wa Zanzibar na mkuu wa majeshi anabaki kuwa Mwamunyange!
 
Wengi walipomtazama jana akisimama mbele pamoja Rais walidhania yupo pale kwa cheo chake kama mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya Bunge. Ni zaidi ya hapo. Tazama vizuri picha. Ndiye atayekagua gwaride tarehe 9/12/2015. Mmasai huyu ana mikakati ni hatari
 

Attachments

Mkate mkubali, lowasa ndo atakae peperusha bendera ya ccm
 
hata ivyo wakati wa kuondoka wala hakumsalimia, EL bado ngoma mbichi sana
 
picha imechezewa kidogo, hawakukaa pamoja mstari wa mbele
ila lowassa ndiye rais 2015 JK atake au asitake
Lowassa ni self cleansing individual, ana rekodi nzuri kiutendaji
 
Sioni muda muafaka wa kuanza kumjadili rais mtarajiwa hon edward lowassa

mwacheni apumzike ...ukifika wakati muafaka hata wajukuu wa jf watanyanyuka kumpigia kura

ingawa wako chini ya miaka 18
 
Haya huyu bodyguard ni wa kipindi cha awamu ya kwanza ya kikwete na sio wa Jana pale uwanja wa taifa
 
Da watu mnajua kulazimisha mambo,hebu waulizeni photographers na watu wa photoshop uangalie na angle ya hiyo picha.kwanza tu protocali haimruhusu kukaa sambamba na raisi wakati kuna makamu wa raisi,raisis wa Zanzibar na Waziri Mkuu pamoja na mkuu wa majeshi .
 
Nyuma namuona Mzee Msekwa akiwa hana mvi na bado hajazeeka sana kama alivyosasa
 
Niliwaangalia sana jana nikawa najiuliza sana kama Lowasa sio kiongozi yeyote wa litaifa inakuwaje awe karibu vile na Kikwete????
 
Wote wamevaa tai nyekundu,suti ya rqngi ya dark bluu na shati nyeupe
 
JK ameshasoma mahitaji ya Watanzania ya Rais wamtakae. Na Edward Ngoyai Lowassa ndiye mrirhi sahihi wa JK anayetakiwa na Watanzania.
 
Raisi wenu mpendwa wa jamuhuri ya Mapinduzi ya Tanzania ni Edward Ngoyayi Lowassa - CC MSALANI

inamaana kuwa karibu na baba riz kwa style hii ndio ameisogelea nyumba kubwa?
 
Last edited by a moderator:
Duh, jamani Mzee Lowasa anautaka uraisi kwa namna yoyote ile, nivyo jua mimi, Lowasa atakuwa amevania tu hiyo picha, protol hazuruhusu yeye kuwepo hapo

Raisi wenu mpendwa wa jamuhuri ya Mapinduzi ya Tanzania ni Edward Ngoyayi Lowassa - CC MSALANI

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…