Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 26,060
- 23,941
namuona mwanaasha pembeni ya mama yake
Mbona huyu kanyoa kiduku??
katika family lazima kutakuwa na watoto watukutu inaelekea mwanasha mtukutu sana hamsikilizi baba si unajua teenagers keshamaliza form four dunia yote anaona yake .. kuonesha JK ni kiongozi mzuri we angalia picha ya kwanza watoto walivyovaa na kukaa kiheshima...
kudos! rais wangu!
kiongozi mzuri my neck!!!
Hawajaanika takwimu. Siri iko kwenye takwimuSi walisema kuhesabiwa ni siri?inakuwaje familia imeanikwa kiasi hicho?
nimependa watoto wa kike walivyojistiri ... kumbe JK ni kiongozi mzuri hadi kwenye ngazi ya family yake
katika family lazima kutakuwa na watoto watukutu inaelekea mwanasha mtukutu sana hamsikilizi baba si unajua teenagers keshamaliza form four dunia yote anaona yake .. kuonesha JK ni kiongozi mzuri we angalia picha ya kwanza watoto walivyovaa na kukaa kiheshima...
kudos! rais wangu!
Mkuu si swa kumshambulia mtu namna hii...kwann umchukie mtu hv hadi kwa familia yake ya watoto wachanga? shame
Wewe kweli ni Njiwa kwani MwanaAsha unataka kutuambia sio mtoto wa Kikwete; je hiyo nguo aliyovaa akionesha matiti nje ni nguo ya heshima? Acha uzombokuku wako ndio maana ukawa njiwa!!
No. It is a very big Family, anaonyesha mfano gani sasa? au hujui kama tuko overpopulated? unajua kwamba unalipia matumizi ya hii Familia?[/QUOTE si ukweli kwamba tuko overpopulated...we have enough land and resources tatizo unalifahamu...kuhusu idadi ya watoto kwa huku afrika si ishu sana...Halafu mkuu kwani Mzee wetu JKN alikua na watoto wangapi?..
Wewe ni wapi nimesema mwanasha sio mtoto wa JK ..? I assume your smack head mother dropped you on your head as a baby... coz unakurupuka rudia kusoma tena post yangu ..
Like your father your head is full of saw dust; you do not understand the implications of your statements!! Unaposema watoto wa mkweree wamevaa vizuri, je hao wasiovaa vizuri [ MwanaAsha included]maana yake sio wake? Kwa vile huna akili huwezi kuona tofauti!!
katika family lazima kutakuwa na watoto watukutu inaelekea mwanasha mtukutu sana hamsikilizi baba si unajua teenagers keshamaliza form four dunia yote anaona yake .. kuonesha JK ni kiongozi mzuri we angalia picha ya kwanza watoto walivyovaa na kukaa kiheshima...
kudos! rais wangu!
Like your father your head is full of saw dust; you do not understand the implications of your statements!! Unaposema watoto wa mkweree wamevaa vizuri, je hao wasiovaa vizuri [ MwanaAsha included]maana yake sio wake? Kwa vile huna akili huwezi kuona tofauti!!