john_selcius
Member
- Jul 3, 2012
- 15
- 3
Maombi yetu kwa Lowasa kisha tutayarekebisha. Kama ilipangwa tutapangua
Ampeleke mahakamani ili awasukumie kesi makatibu aliowalazimisha kuunda kamati kisa? Ndiyo maana alipigwa chini. Huyo mtu ni mjanja mno alitumia kiti chake ku shift burden kwa makatibu wakuu hivyo si ajabu mahakamani akachomoka na akaendelea kuaminiwa kumbe ni town boy tu.
Hivi kwa nini yeye naye asimpeleke JK mahakamani au hao makatibu wake? Kwa nini hadi yeye tu ndiyo apelekwe huko mahakamani? Mahakama ya ccm ni kumvua tu uboss
Richmond=Richard Monduli.Chaggadema oyee..
Yeye kasema hivo na hajasema hivo ili umpigie kura Makifuli, ilikuwa ni taarifa kwa wanachama wa ccm na ambao walikuwa hawajui-kwa wewe unayesema kuwa kachelewa pia ni mtazamo wako na uelewa wako.
Dunia nzima inajua Lowasa ni FISADI wewe kwa Mahaba huko huwezi kubadilisha hiyo.
Tambua kwamba FISADI hawezi kua Rais wa nchi hii Watanzania ni Werevu hawawezi kucheza KAMARI ya SIASA kama alivyocheza Mbowe.
Dunia nzima inajua Lowasa ni FISADI wewe kwa Mahaba huko huwezi kubadilisha hiyo.
Tambua kwamba FISADI hawezi kua Rais wa nchi hii Watanzania ni Werevu hawawezi kucheza KAMARI ya SIASA kama alivyocheza Mbowe.
Lowassa ni FISADI. Period.
Si alisema kuwa hamjui mmiliki wa Dowans ambaye ni mtoto wa Richmond!? Wakati akisema hivyo hazina/tanesco ikiwa chini ya mamlaka yake kwa 100% iliendelea kuilipa kampuni 'isiyojulikana'.Raisi akiri kulea ufisadi.