yomboo
JF-Expert Member
- May 9, 2015
- 6,225
- 4,906
Kuongozwa na kabila gani siyo tatizo?
Naomba unielimishe kwa sababu nilikuwa sifahamu!
Swala sio kuelimika
mzaramo wenu ni tatizo hayo ya kuelimika go back to school
Kuongozwa na kabila gani siyo tatizo?
Naomba unielimishe kwa sababu nilikuwa sifahamu!
Wewe umesema ni tatizo kuongozwa na Wazaramo.Swala sio kuelimika
mzaramo wenu ni tatizo hayo ya kuelimika go back to school
Kama mafisadi ndiyo baraka ya taifa hili mbona yalitushit wakafunga midomo yao wakati wakiwa madarakani katu hawakutueleza wananchi kuwa ccm ilikuwa inatuhadaa? Mbona walitusaliti wasituambie ukweli na ikibidi wajivue madaraka? Mbona walikuwa wanatumbua tu na kuuza sera za chama chao? Mbona ni baada tu ya kukatwa ndiyo wameamua kujipendekeza kwa wananchi? Je wasingekatwa?
Kikwete aweka wazi kuwa waziri mkuu kipindi hicho ndio muhusika mkuu kwenye Richmond, baraza la mawaziri pamoja na yeye walihusika nawalikubaliana kuwa kuna upungufu wa umeme na mitambo ikanunuliwe lakini hakuhusika kampuni gani ya kwenda kuleta hiyo mitambo .
Alisisitiza sheria za manunuzi zifuatwe lakini waziri mkuu wa wakati huo hakufata na aliunda tume ya manunuzi ya kwake mwenyewe .
Mkuu wa nchi hakupaswa kuongea jana yale maneno kwa sababu uko nyuma aliwahi kumtetea na kusema hakuwa na tatizo ila ilikuwa ajali ya kisiasa. Iweje leo baada ya miaka minane ndio aseme yale aliyosema.huo ni udhaifu mkubwa sana.Vipi kuhusu vyombo vyetu vya ulinzi navyo havikujua hayo aliyosema bosi wao na walichukua hatua gani.Je Lowasa alikuwa anaogopwa na kila mtu kiasi kwamba tusubiri uchaguzi ndio tuseme