Kikwete: Lowassa ndiye mhusika wa Richmond

Kikwete: Lowassa ndiye mhusika wa Richmond

Status
Not open for further replies.
Eti mnasema hata likiwekwa jiwe mtalichagua. Hivi Dr. Slaa siyo bora kuliko jiwe? Au fisadi na jiwe ni bora kuliko Dr. Slaa? Siyo bure mnalaana. Kama mnaweza kuchagua hata jiwe kwa nini hamkumuweka Dr. Slaa agombee kwani angekuwa bora kuliko jiwe na kuliko fisadi. Hamueleweki. Mmeshaingia female toilet

ni km chupi ya vip si mzalendo huyo
 
okay asante, tumemsamehe. na kura zetu lowassa anazo
Mabadiliko lowassa, lowassa mabadiliko
 
Kikwete aweka wazi kuwa waziri mkuu kipindi hicho ndio muhusika mkuu kwenye Richmond, baraza la mawaziri pamoja na yeye walihusika nawalikubaliana kuwa kuna upungufu wa umeme na mitambo ikanunuliwe lakini hakuhusika kampuni gani ya kwenda kuleta hiyo mitambo .

Alisisitiza sheria za manunuzi zifuatwe lakini waziri mkuu wa wakati huo hakufata na aliunda tume ya manunuzi ya kwake mwenyewe .

Na yy kama rais alichukua hatua gani?cc tunamjua yy wala hatumchaguagi waziri mkuu cc!!!bring our money back who ever is concerned!!!
 
baada ya mika 8 hivyo na waliochukua mapesa kwa viroba Bank tutakuja kuambiwa baada ya miaka 8 pia, hii ni dharau kwa watanzania
 
baada ya miaka 8 na waliochota fedha bank kwa viroba tutakuja kuambiwa baaada ya miaka 8 pia, hii ni dharau kwa watanzania hakuna tofauti na yule aliyetuita wajinga na malofa
 
Kwanini hakumpeleka mahakamani? Kwanini kauli hii leo?
 
richmond co ya jana wala juzi....halikuwa wapi? kikwete hawa c watanzania wa miaka ya sitini na sabini(UMECHELEWA) na siamin kauli yako kamweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!
 
zimwi likujualo..halikuli likakwishaaa...oyooo amkeni tukapige kuraaaaaa...achanen na porojo za mkwereeee
 
Akiongea leo Mwanza kwenye kufunga kampeni za ccm Mh.Jk amesema ni kweli alishiriki kwenye makubaliano ya kutafuta kampuni ya kufua umeme baada ya Mabwawa kukauka nchi, lakini hakushiriki kutafuta kampuni gani ilete umeme, hivyo hahusiki kwa namna yoyote kwa ujio wa Richmond.

Hivyo waziri Mkuu ndio mhusika mkuu wa Richmond!


Huyo mh wenu kwanini asimpeleke mahakamani lowasa

Kuongozwa na wazaramo ndo tatizo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom