mafutamingi
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 2,775
- 2,198
Ni kweli JK asidhani sisi ni wajinga. Tunakumbuka vizuri kile EL alichomwambia waziwazi kwenye kikao cha NEC ambapo alisema kwamba alitaka kuvunja mkataba lakini yeye akamkataza. Kauli hiyo haijawahi kupingwa na JK mwenyewe, salva Rweyemamu au mtu yeyote kutoka ikulu