Sidhani ka amesema alishiriki kuileta Richmond!! Acha kupotosha uma kwa manufaa yako binafsi ya kutafuta kiki
Kwa nini aseme leo lala salama, ambapo anajua EL hawezi kumjibu kwa lolote? Hatudanganyiki tumeishafanya maamuzi. VIVA UKAWA.
Ulichoquote na alichoongea mbona viko tofauti.
Unless kama imeandikwa ulivyoelewa.
Anyway akili nywele kila mtu Ana zake
Nimemsikiliza kikwete nikagundua ni rais wa hovyo ambae ataingia kwenye historia ya tz
Nimemsikiliza kikwete nikagundua ni rais wa hovyo ambae ataingia kwenye historia ya tz
RAIS aliposema ni kweli kwamba ALISHIRIKI kila hatua ya maamuzi ya Richmond. Na kwamba waliolikoroga ni jopo la makatibu wakuu walio teua kampuni wasio na uhakika nayo. Kasema Yeye hakujua hiyo kampuni Wala waziri wake mkuu. Makatibu ndio walio likoroga. Sentensi hizi zinaufunga leo na forever mjadala Huu wa kuchafuana.
NDIO maana Edo alisema Mwenye ushahidi aende mahakamani na hakuna Mwenye ushahidi hadi sekunde hii.
EDO IS SO CLEAN. sometime hadi machozi yanantoka, EDO katukanywa, kanyanyaswa, kavumilia yote .. this is pure Tanzanian President.
Kuna mimbwambwa huku mitandaoni haijui A Wala Z ya Richmond, imemezeshwa CD za kumtukana EDO, Sasa na Diama waufyate, Raisi keshafunga mjadala wa Richmond, EDO HAHUSIKI..
Chagueni Magufuli yenu akawafungia Lockup ndyo mtatia akili!
Pambaf!!!
RAIS aliposema ni kweli kwamba ALISHIRIKI kila hatua ya maamuzi ya Richmond. Na kwamba waliolikoroga ni jopo la makatibu wakuu walio teua kampuni wasio na uhakika nayo. Kasema Yeye hakujua hiyo kampuni Wala waziri wake mkuu. Makatibu ndio walio likoroga. Sentensi hizi zinaufunga leo na forever mjadala Huu wa kuchafuana.
NDIO maana Edo alisema Mwenye ushahidi aende mahakamani na hakuna Mwenye ushahidi hadi sekunde hii.
EDO IS SO CLEAN. sometime hadi machozi yanantoka, EDO katukanywa, kanyanyaswa, kavumilia yote .. this is pure Tanzanian President.
Kuna mimbwambwa huku mitandaoni haijui A Wala Z ya Richmond, imemezeshwa CD za kumtukana EDO, Sasa na Diama waufyate, Raisi keshafunga mjadala wa Richmond, EDO HAHUSIKI..
Kikwete aweka wazi kuwa waziri mkuu kipindi hicho ndio muhusika mkuu kwenye Richmond, baraza la mawaziri pamoja na yeye walihusika nawalikubaliana kuwa kuna upungufu wa umeme na mitambo ikanunuliwe lakini hakuhusika kampuni gani ya kwenda kuleta hiyo mitambo .
Alisisitiza sheria za manunuzi zifuatwe lakini waziri mkuu wa wakati huo hakufata na aliunda tume ya manunuzi ya kwake mwenyewe .
Akiongea leo Mwanza kwenye kufunga kampeni za ccm Mh.Jk amesema ni kweli alishiriki kwenye makubaliano ya kutafuta kampuni ya kufua umeme baada ya Mabwawa kukauka nchi, lakini hakushiriki kutafuta kampuni gani ilete umeme, hivyo hahusiki kwa namna yoyote kwa ujio wa Richmond.
Hivyo waziri Mkuu ndio mhusika mkuu wa Richmond!
Kikwete aweka wazi kuwa waziri mkuu kipindi hicho ndio muhusika mkuu kwenye Richmond, baraza la mawaziri pamoja na yeye walihusika nawalikubaliana kuwa kuna upungufu wa umeme na mitambo ikanunuliwe lakini hakuhusika kampuni gani ya kwenda kuleta hiyo mitambo .
Alisisitiza sheria za manunuzi zifuatwe lakini waziri mkuu wa wakati huo hakufata na aliunda tume ya manunuzi ya kwake mwenyewe .