Kikwete: Lowassa ndiye mhusika wa Richmond

Kikwete: Lowassa ndiye mhusika wa Richmond

Status
Not open for further replies.
Sidhani ka amesema alishiriki kuileta Richmond!! Acha kupotosha uma kwa manufaa yako binafsi ya kutafuta kiki

RAIS amesema mchakato wote wa kutatua tatizo la Umeme alishiriki 100%, unadhani kwa kakichwa kako mtu kusema ameshiriki hatua zote unawaza anaishia wapi?? Point ya Raisi anayoijenga pale ni kwamba Richmond haikuwa Jukumu lake kuifahamu. Lakini alijua. Hatumteti mtu hapa usilete ushabiki kwanza
 
Nimesikia lkn chakushangaza ushahidi wake haujatusaidia kumpeleka lowassa mahakamani!
CCM siipendi maana ule wimbo wao unasema ccm ni ileile,
Lowassa ndio chaguo langu lengo la kuanzishwa vyama vingi vya siasa ni kubadilishana kama haiwezekani tubadilishe katiba tuwe na chama kimoja!
 
Yaani leo ndio kaonyesha uzaifu mkubwa sana yaani siku zote alikuwa wapi siku zote kutuambia yy asubiri kesho kwenye kura ataona
 
Nimeshangazwa Na bwana mkubwa ameona hali no mbaya eti anawadanganya Watanzania kuwa mhusika Wa Richmond in Lowassa.Tundu Lissu alikwisha mtaja Na wananchi tunamjua.Kama angekuwa No Lowassa kwa mini Kama Rais ASIMFUKUZE KAZI BADALA YA KUMTAKA AJIUZULU?WATANZANIA TUNAMJUA MWENYE RICHMOND NA SIO LOWASSA HATA MSEMEJE TUTAMCHAGUA LOWASSA
 
RAIS aliposema ni kweli kwamba ALISHIRIKI kila hatua ya maamuzi ya Richmond. Na kwamba waliolikoroga ni jopo la makatibu wakuu walio teua kampuni wasio na uhakika nayo. Kasema Yeye hakujua hiyo kampuni Wala waziri wake mkuu. Makatibu ndio walio likoroga. Sentensi hizi zinaufunga leo na forever mjadala Huu wa kuchafuana.

NDIO maana Edo alisema Mwenye ushahidi aende mahakamani na hakuna Mwenye ushahidi hadi sekunde hii.

EDO IS SO CLEAN. sometime hadi machozi yanantoka, EDO katukanywa, kanyanyaswa, kavumilia yote .. this is pure Tanzanian President.

Kuna mimbwambwa huku mitandaoni haijui A Wala Z ya Richmond, imemezeshwa CD za kumtukana EDO, Sasa na Diama waufyate, Raisi keshafunga mjadala wa Richmond, EDO HAHUSIKI..
 
Acha uongo, umeangalia tv ya mabua nini? Kasema yeye alishiriki ktk kuwaambia watafute kampuni ya kuzalisha umeme na akawapa masharti kwa aliowapa jukumu wafuate masharti na taratibu kama inavyotakiwa.
Na kasema lowassa ndiye muhusika ma WALIMWAMBIA AJIUZULU. Changanya na zako na pia maelezo ya aliyekuwa mwenyekiti wa kamati ya bunge, kamati ya Mwakyembe.
Hivyo lowassa hakujiuzulu kwa hiari.
 
RAIS aliposema ni kweli kwamba ALISHIRIKI kila hatua ya maamuzi ya Richmond. Na kwamba waliolikoroga ni jopo la makatibu wakuu walio teua kampuni wasio na uhakika nayo. Kasema Yeye hakujua hiyo kampuni Wala waziri wake mkuu. Makatibu ndio walio likoroga. Sentensi hizi zinaufunga leo na forever mjadala Huu wa kuchafuana.

NDIO maana Edo alisema Mwenye ushahidi aende mahakamani na hakuna Mwenye ushahidi hadi sekunde hii.

EDO IS SO CLEAN. sometime hadi machozi yanantoka, EDO katukanywa, kanyanyaswa, kavumilia yote .. this is pure Tanzanian President.

Kuna mimbwambwa huku mitandaoni haijui A Wala Z ya Richmond, imemezeshwa CD za kumtukana EDO, Sasa na Diama waufyate, Raisi keshafunga mjadala wa Richmond, EDO HAHUSIKI..

Msipotoshe watu na huo ji unafiki na iongo sema ukweli tu na utakufanya uwe huru. Yeye kasema alishiriki kwenye maamuzi ya kutafuta kampuni ya kugua umeme na sio kuitafuta richmond. Lowassa nddo aliileta hiyo
 
RAIS aliposema ni kweli kwamba ALISHIRIKI kila hatua ya maamuzi ya Richmond. Na kwamba waliolikoroga ni jopo la makatibu wakuu walio teua kampuni wasio na uhakika nayo. Kasema Yeye hakujua hiyo kampuni Wala waziri wake mkuu. Makatibu ndio walio likoroga. Sentensi hizi zinaufunga leo na forever mjadala Huu wa kuchafuana.

NDIO maana Edo alisema Mwenye ushahidi aende mahakamani na hakuna Mwenye ushahidi hadi sekunde hii.

EDO IS SO CLEAN. sometime hadi machozi yanantoka, EDO katukanywa, kanyanyaswa, kavumilia yote .. this is pure Tanzanian President.

Kuna mimbwambwa huku mitandaoni haijui A Wala Z ya Richmond, imemezeshwa CD za kumtukana EDO, Sasa na Diama waufyate, Raisi keshafunga mjadala wa Richmond, EDO HAHUSIKI..

Kwakweli hata mimi nimeona hahusiki ila nailaani ile mijibwa iliyotuambia hizi habari za uzushi tangu 2008 mpaka august 2015 na hawa wanaendelea pia wasimtaje tena.
Nasema aliyemzushia Edo miaka zaid ya 8 na akapata umaarufu kwa dhambi ya kumzushia mtu, basi kama tumeanza na Mungu basi atuadhibu kwa kuwa wasaliti.
 
Kikwete aweka wazi kuwa waziri mkuu kipindi hicho ndio muhusika mkuu kwenye Richmond, baraza la mawaziri pamoja na yeye walihusika nawalikubaliana kuwa kuna upungufu wa umeme na mitambo ikanunuliwe lakini hakuhusika kampuni gani ya kwenda kuleta hiyo mitambo .

Alisisitiza sheria za manunuzi zifuatwe lakini waziri mkuu wa wakati huo hakufata na aliunda tume ya manunuzi ya kwake mwenyewe .

Naona angekaa kimya kuhusu Richmond ingekuwa busara, hapo tumeona jinsi viongonzi wetu walivyo wanayosema mdomoni sio wanayomaanisha moyoni, kama kauli ya kwanza ilikuwa ajari ya kisiasa iweje Leo aseme hivyo na inaonyesha mkuu wa kaya akuwa makini ndio maana jamaa wamepiga sana mpunga katika utawala wake
 
Akiongea leo Mwanza kwenye kufunga kampeni za ccm Mh.Jk amesema ni kweli alishiriki kwenye makubaliano ya kutafuta kampuni ya kufua umeme baada ya Mabwawa kukauka nchi, lakini hakushiriki kutafuta kampuni gani ilete umeme, hivyo hahusiki kwa namna yoyote kwa ujio wa Richmond.

Hivyo waziri Mkuu ndio mhusika mkuu wa Richmond!

Then alichukua hatua gani?, je anadhani edo ni mchafu kuliko viongozi wengine au uchafu wake ndo utawasafisha wengine na ccm kwa ujumla!!, watu wanahitaji mabadiliko.
 
Kikwete aweka wazi kuwa waziri mkuu kipindi hicho ndio muhusika mkuu kwenye Richmond, baraza la mawaziri pamoja na yeye walihusika nawalikubaliana kuwa kuna upungufu wa umeme na mitambo ikanunuliwe lakini hakuhusika kampuni gani ya kwenda kuleta hiyo mitambo .

Alisisitiza sheria za manunuzi zifuatwe lakini waziri mkuu wa wakati huo hakufata na aliunda tume ya manunuzi ya kwake mwenyewe .

Dah utetezi dhaifu sana bahati yake ana lindwa na katiba vinginevyo watanzania tunge mpeleka Jk kwa jaji akahukumiwe miaka 12 jela,mijeredi 12, mijeredi 6 wakati ana tiwa lupango na mijeredi 6 siku ya kutoka lupango ili akamuonyeshe na mke wake.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom