Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,175
Nadhani ni busara na wajibu wetu wanachi kutafuta ukweli wa mtu anayetaka kwa hamu sana kuongoza nchi yetu bila kujua lengo lake ni nini.
Au wewe una maoni tofauti?
Au wewe una maoni tofauti?
Hili swali unalipenda sana. Naona kiu yako bado haijapata majibu. Labda tusubiri Hutaki unaacha na Mtoahabari warudi. Wakichelewa tuwatumie nauli!