Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,463
- 113,530
Keil, waandishi wepi hao unawazungumzia, kama wangekuwa na nia ya kupata ukweli bila chenga?!.
Waandishi sisi sisi ambao ukituita kwenye press conference yako, utalazimika kutupatia na "bahasha" ya kausafiri ili tuweze kuchukua taxi tuwahi newsroom ndipo story yako itoke!, hiyo nauli ya kwenda Kibaha sekondari atatoa nani?!. Na hapo sio tuu nauli kufika Kibaha sec, itakubidi umpooze Headmaster kukubali registry ifungunguliwe, umpooze attendant kusaka mafaili ya zamani hizo, tena sio kazi ya siku moja kuseme usubirie, kuna nenda rudi nenda rudi, kalete barua ya ofisa elimu kanda, ofisa elimu wilaya, ofisa elimu mkoa, barua toka wizarani kukuruhusu wewe kufanya hayo etc, nani atalipia hizo gharama?. Kama una "bahasha" you cut the long story short kumtake care attendant anakunyofolea faili lote zima zima unamaliza kila kitu!, its all about "bahasha"!.
Waandishi sisi sisi ambao ukituita kwenye press conference yako, utalazimika kutupatia na "bahasha" ya kausafiri ili tuweze kuchukua taxi tuwahi newsroom ndipo story yako itoke!, hiyo nauli ya kwenda Kibaha sekondari atatoa nani?!. Na hapo sio tuu nauli kufika Kibaha sec, itakubidi umpooze Headmaster kukubali registry ifungunguliwe, umpooze attendant kusaka mafaili ya zamani hizo, tena sio kazi ya siku moja kuseme usubirie, kuna nenda rudi nenda rudi, kalete barua ya ofisa elimu kanda, ofisa elimu wilaya, ofisa elimu mkoa, barua toka wizarani kukuruhusu wewe kufanya hayo etc, nani atalipia hizo gharama?. Kama una "bahasha" you cut the long story short kumtake care attendant anakunyofolea faili lote zima zima unamaliza kila kitu!, its all about "bahasha"!.
Last edited by a moderator: