jouneGwalu
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 2,687
- 1,780
Gharama yake itahitaji Uwekezaji hasa, kwa mtu anayefikiria faida tusahau kufanyika hicho kitu...
Inahitaji mwandishi mwenye uwezo binafsi wa kifedha na uelewa mpana wa hichi kitu (sio shabiki), tena awe anaelewa kuwa anaandikkia umma wa namna gani kwamba hautajali sana kuhusu kazi yake japo kwa mda huo hivyo awe na matumaini ya mbele sana kwamba miaka ijayo....
Nayo kupata jembe la namna hiyo kwenye mazingira ya saivi hajonekana Mtu wa hivyo...
Nimesoma ya Jk iliyoandikwa na Ben Mtobwa (rip) mule umejaa ushabiki tu wala hamna kile unachokilenga TB...
Kwa kifupi kwa mazingira na asili ya jamii yetu, hii kazi inataka moyo sana na pesa mingi (rejea gharama alizoziainisha Pasco)
Inahitaji mwandishi mwenye uwezo binafsi wa kifedha na uelewa mpana wa hichi kitu (sio shabiki), tena awe anaelewa kuwa anaandikkia umma wa namna gani kwamba hautajali sana kuhusu kazi yake japo kwa mda huo hivyo awe na matumaini ya mbele sana kwamba miaka ijayo....
Nayo kupata jembe la namna hiyo kwenye mazingira ya saivi hajonekana Mtu wa hivyo...
Nimesoma ya Jk iliyoandikwa na Ben Mtobwa (rip) mule umejaa ushabiki tu wala hamna kile unachokilenga TB...
Kwa kifupi kwa mazingira na asili ya jamii yetu, hii kazi inataka moyo sana na pesa mingi (rejea gharama alizoziainisha Pasco)