Kikwete Kutunikiwa PHD nyingine leo?

Huyo JK ataridhika akipewa Phd mara ngapi? hivi hao wanaotoa UDR wanaweza kutueleza ni nini hasa alichokifanya au viherehere?
 
Tunahangaika na siasa za kijinga Mpaka chuo chenye heshima kama Muhimbili kinadiriki kujiabisha kutoa degree kwa mtu ambaye hana hata solution ya kumaliza tatizo la mmbu hapa Dar. Anaenda kuomba msaada wa vyandarua badala ya kupambana na source ya tatizo. Zanzibar wamefanikiwa kumaliza mbu je Dar inashindikana nini? Shame professors wa Muhimbili you better quit and join politics tujuwe moja kwamba hatuna watu hapo muhimbili. Ndiyo maana madaktari hamsaminiwi maana mnashusha hadhi yenu hivihivi, naamini angeenda pale COeT(FOE) asigepata kitu maana wale ni wagumu bwana.

Nina mpenda VC mstafu wa UDSM Prof. Eng. Luhanga, mkwere anakiogopa sana hicho kichwa maana kingekuwa bado pale mlimani asingekanyaga maana alishaaibishwa vibaya na asingeweza kupata degree yoyote pale.
 
Yaani vyuo vinashindana kujipendekeza kwa mkuu wa nchi badala ya kumkosoa? Usomi bila uhuru wa fikra na kujiamini hakuna uhuru na hivyo hakutakuwepo na madndeleo
 
Yaani vyuo vinashindana kujipendekeza kwa mkuu wa nchi badala ya kumkosoa? Usomi bila uhuru wa fikra na kujiamini hakuna uhuru na hivyo hakutakuwepo na madndeleo

Ni kweli Gurudumu vyuo vinashindana kujipendekeza ,hii inatokana na kwamba watu wameshaujua udhaifu wa JK.Yeye JK ukimfanyia mambo mazuri tu lazima atakulipa.Kwa hiyo hapo hivi vyuo vina malengo,wakiomba msaada serikalini basi itakuwa rahisi kwao kusaidiwa.

Ikumbukwe UDOM bado wanaendelea na ujenzi wa baadhi ya majengo na MUHAS nao wako kwenye mchakato wa ujenzi wa majengo ya chuo chao kule Kibamba,sasa itakuwa rahisi kwao kusaidiwa na serikali ya JK.
 
Hii ndio tanzania, kama ningekuwa mmoja wa wanafamilia wa JK ningekuwa namshauri asiwe anakubali kutunukiwa kitu chochote kwa kuwa kinatudhalilisha kama familia, mwa mtazamo wangu hilo halipo kwenye familia ya mkulu. Cha ajabu zaidi kwenye shughuli kama hizi huwa zinaudhuriwa na familia nzima na baada ya hapo kunafuatia sherehe kubwa ya kumpongeza.
 
Two PhD's ndani ya wiki 3, si wangengoja hata tusahau kidogo!!!! kama lengo ni kumtunuku mkwere wangepeleka mahafali mbele kidogo.
 
Hii ndio tanzania, kama ningekuwa mmoja wa wanafamilia wa JK ningekuwa namshauri asiwe anakubali kutunukiwa kitu chochote kwa kuwa kinatudhalilisha kama familia, mwa mtazamo wangu hilo halipo kwenye familia ya mkulu. Cha ajabu zaidi kwenye shughuli kama hizi huwa zinaudhuriwa na familia nzima na baada ya hapo kunafuatia sherehe kubwa ya kumpongeza.

There are now two Phd holders in Bagamoyo. Eng. Dr. Shukuru Kawambwa and Dr.Dr.Dr JK. Tunawapongeza kwa hilo maana they could become role models kwa jamii yetu nzima.
 
Dr.Dr.Dr.Lt Col. Jakaya Mrisho Kikwete

BTW: Hapo kwenye picha, mbona Prof Pallangyo anaonekana kama "dhamira" inamsuta kuwa "what you have done is wrong"?
 
nyerere alitufanyia nini na Huyu katufanyia nini.....




Nyerere alituingiza vitani kwa ajili ya chuki yake binafsi na dini ya Iddi Amini, akatufanya watz tufe kama nzige, na baadae fedha za kigeni hamna,bidhaa hamna, kila huduma muhimu kwa foleni! akamuachia Mwinyi nchi isiyo na single cent baadae akamtukana!
Huyu sijasikia wangapi wamekufa kwa ajili ya maamuzi yake, nasikia tu kuwa kwa mara ya kwanza wanafunzi waliofaulu 95% wamekwenda sekondari, ujambazi unakaribia kwisha kabisa, kuna kesi za mafisadi zinanguruma, amejenga km nyingi za barabara za lami kuliko raisi yeyote aliyetangulia, ameleta uhuru wa vyombo ya habari, n.k
 
Hii ni aibu kubwa sisi tunazisotea hizi wengine wanahongwa tu hii ni aibu sasa hasa kwa chuo kama muhimbili, wamwite tu Profesa ili wawe wamemaliza kazi

Hii nchi ni ya ajabu sana aisee
 
Huu sio mfano mzuri kwa jamii haya mavyuo sasa ni aibu ni bira kusoma Bugando sasa kama Muhimbili nao wandiriki kuwazawadia vilaza amabo hawajakaa hata darasani hii ni aibu kubwa sana
 
Ni kawaida kwa Tanzania watendaji wa serikali kujipendekeza kwa wanasiasa ili pindi wanapostaafu tu basi retirement benefit zake ni kupewa nafasi za ubalozi na kuwekwa katika Tume mbalimbali
 
Ni kawaida kwa Tanzania watendaji wa serikali kujipendekeza kwa wanasiasa ili pindi wanapostaafu tu basi retirement benefit zake ni kupewa nafasi za ubalozi na kuwekwa katika Tume mbalimbali


Shame on them na jamaa bila ya aibu anainamisha tu kichwa this Abomination sintoshangaa siku wakimpa ya gynaecology manake hawajui walitendalo hawa watu pheww
 
huyu jamaa mbona anapenda kila sherehe yeye ndio ahudhurie ina maana hakuna shughuli muhimu za kufanya akiwa kama kiongozi wa nchi zaidi ya kuuza uso tu na kupokea hizo imaginary Phd.
 
udhaifu wa rais wetu ni kupongezwa then anakulipa fadhila kwa hiyo hivi vyuo vyote wanataka maendeleo yao pamoja na ya chuo kwa hiyo ndiyo njia maana lazima alipe na hii inadhihisha kuwa yeye ni mtu wa starehe tu hana jipya maana kazi ya kurudi ikulu alimaliza sasa anakula kwa raha zake mwenyewe na familia yake kama alivyokuwa kwenye kampeni zake, na kwa taarifa tu kutakuwa na sherehe kubwa na kumpongeza baba kupata PHD nyingine pale ikulu na wageni wa karibu wataburidika pamoja na ngoma zitarindima wiki hii maana baadhi ya vikundi vya ngoma vipo busy na maandalizi ya kumpongeza rais wetu JK kutunikiwa PHD kutoka Much


Hiyo inapendeza na inaonyesha kumbe bado tu wajinga wote mpaka mapfr wetu

hahah Mimi macho
 
Guys do you see what i see? Hii tuzo ya heshima amepewa kutokana na project ya Mh. Sugu ya Malaria haikubaliki. Hii tuzo ilikua ni ya Mh. Sugu!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom