Kikwete kilimo kwanza, Lowassa elimu kwanza!

Kikwete kilimo kwanza, Lowassa elimu kwanza!

Kipao mbele cha taifa kinatakiwa kuwa afya kwanza then elimu na sio kilimo kwanza, kwani bila afya uwez kulima, kusoma, kuomba miongozo bungeni n.k ~ Prof Mark Mwandosya

V
SENGEREMA

Naamini Elimu kwanza ndio sahihi, ukiwa na Elimu huwezi kutaka kumaliza malaria kwa kugawa vyandarua badala yake utapambana na kuondoa mazalia ya mbu!!
 
Katika kile kinachoonekana kama ni kudharau au kupuuza kauli mbiu ya waziri mkuu PINDA, WM mstaafu Edward Lowassa akizungumza na jamii ya wafugaji Ifakara mkoani Morogoro, alisema waachane na kauli mbiu ya kilimo kwanza na wawekeze kwny ELIMU. TBC.
Ameshakuwa gwanda huyo,ulimsikia mbowe juzi serena hotel?Kipaumbele cha kwanza elimu,cha pili elimu,cha tatu elimu!kaaaaaaaazi kwelikweli!
 
Kipao mbele cha taifa kinatakiwa kuwa afya kwanza then elimu na sio kilimo kwanza, kwani bila afya uwez kulima, kusoma, kuomba miongozo bungeni n.k ~ Prof Mark Mwandosya

V
SENGEREMA

Inaweza kuwa kweli ila elimu ni ya muhimu zaidi coz unaweza kujilinda na maradhi na magonjwa mengi kama unaelimu
 
Kilimo bila elimu utawezaje... Hapo ccm mwenye busara hekima na uwezo wa kufikiri ni lowasa tuu
 
424371_3562493180298_1879793469_n.jpg
 
Hili gamba tu kazi ku-copy na kupaste sera za cdm!
Na hafiki popote huyu fisadi na tambo zake hizi!
 
Mimi naona vipaumbele vya taifa vyote vi3 (Yaani Afya,Elimu na Kilimo) viende pamoja,ukisema elimu kwanza mtu hawezi soma kama mgonjwa au ana njaa!Na hizi kauli zao zimeanza siku nyingi tu kwani mmesahau mipango yao ya MMEM,MMES,MEMKWA na MMEJU imeishia kujenga shule za kata na kuruhusu vyuo vikuu hadi uchochoroni lakini elimu ndiyo inazidi kuporomoka kila siku.
 
amesoma Udsm,

kumbe na yeye ni product ya udsm amakweli hiki chuo kimeliuwa taifa hili khaa yani mafisadi.waroho.wachakachuaji wapenda sifa waomba miongozo hovyo wote ni product ya udsm
 
I think former pm is right. Hajachelewa. Nadhani anapaswa kuingia opposition ili mawazo yake yaheshimiwe. Aingie chadema huyo. Unaonaje wewe?
 
Katika kile kinachoonekana kama ni kudharau au kupuuza kauli mbiu ya waziri mkuu PINDA, WM mstaafu Edward Lowassa akizungumza na jamii ya wafugaji Ifakara mkoani Morogoro, alisema waachane na kauli mbiu ya kilimo kwanza na wawekeze kwny ELIMU. TBC.

napenda kutofautiana na mheshimiwa Lowassa kwa maana yake yeye ya elimu kwanza ni wengi zaidi waende shule na madarasa yawe mengi bila kujali ubora wa hiyo elimu...na hizi ni siasa tu kuongeza wingi badala ya ubora. ni populous move kwenye politics.

mimi ningependa kusikia mapinduzi ya kielimu kwa mfano tarinig zaidi ya walimu na mishahara zaidi, kuanzisha mjadalana utafiti makini kuhusu kubadilisha mfumo toka kwenye kiingereza na kuja kwenye kiswahili huku kiingereza kikibaki ni mandatory passing subject katika ngazi zote. N'k hizi vague statement za elimu kwanza ni yale yale
 
hivi watu kiswahili kwenu kigumu sana! Ni lini lowasa alistaafu? Au tutafute walimu wa kiswahili na humu? Huyu fisadi anatupa shida sana mpaka leo umeme wa elfu 50 kuwasha taa tu haumalizi hata mwezi huku miaka ya nyuma tulikuwa tunalipa elfu nane! Kama alikuwa anajua maamuzi magumu kwa nini hakumkatalia jk kuleta richmond? Tena alivunja kabisa bodi ya tenda na kuunda ya kwake ambayo iliipa kampuni ambayo hata kwenye tano bora haikuwepo.

Nilijua utambulisho wa EL alioanza nao mtoa mada utakwaza wengi. Aidha aitwe Edward Lowasa tu au Aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania
 
napenda kutofautiana na mheshimiwa Lowassa kwa maana yake yeye ya elimu kwanza ni wengi zaidi waende shule na madarasa yawe mengi bila kujali ubora wa hiyo elimu...na hizi ni siasa tu kuongeza wingi badala ya ubora. ni populous move kwenye politics.

mimi ningependa kusikia mapinduzi ya kielimu kwa mfano tarinig zaidi ya walimu na mishahara zaidi, kuanzisha mjadalana utafiti makini kuhusu kubadilisha mfumo toka kwenye kiingereza na kuja kwenye kiswahili huku kiingereza kikibaki ni mandatory passing subject katika ngazi zote. N'k hizi vague statement za elimu kwanza ni yale yale

Ebwanaaa ee!!! Nimeshangaa sana.
Kwa mda mrefu sana nimekua nikibishiwa na watu mbalimbali wakiwemo watu wangu wa karibu na wasomi mbalimbali kuwa hiyo kitu haiwezekani, n wengine wamekua wakishindwa kusupport mjadala huo wakidhani hadhi zao zitashuka. Leo nimefanikiwa kumpata mtu mwenye wazo kama langu!.
 
Katika kile kinachoonekana kama ni kudharau au kupuuza kauli mbiu ya waziri mkuu PINDA, WM mstaafu Edward Lowassa akizungumza na jamii ya wafugaji Ifakara mkoani Morogoro, alisema waachane na kauli mbiu ya kilimo kwanza na wawekeze kwny ELIMU. TBC.

Kilimo kwanza wafugaji ngapi
 
Mharakati,nakuunga mguu mia kwa mia,na wala sitii neno mkuu
 
Inaweza kuwa kweli ila elimu ni ya muhimu zaidi coz unaweza kujilinda na maradhi na magonjwa mengi kama unaelimu

Pale UDSM maprofesa kibao wamekufa na magonjwa haya ya kisasa. Elimu kwanza yes, I agree but the best statement would be "elimu inamwezesha mtu kuyadhibiti mazingira yake" na sio kuwa narrowed kwenye "magonjwa" tu!
 
Back
Top Bottom