OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,525
Kwani hatuwezi kuweka priority kwenye sera zote mbili? My take is that they are both right! Tuweke elimu mbele kwa watoto wetu lakini kilimo bado kibakie uti wa mgongo wa Tanzania!
Ndo nilikuwa nawaza hili jambo......kwani ni lazima tuweke mayai yote kapu moja...mbona hizi wizara kila moja ina budget yake, waziri na full potentials to make them move???
Mbona tunakuwa kama mazuzu kila lisemwalo liwe headline???? Hayo ni mawazo yake in terms of priority na hakuna jipya ......nani asiyejua haya matatu ya elimu afya na kilimo yanategemeana kwa ukaribu?????
Hebu tuwe makini na kuweza kufanya upembuzi wa kauli sio kufuata tuuuuu