Mimi nimepata kumsikia mtu mzima na asie na hiyana anasema alikuwa na JK mlimani and he was one of the best students academical tangu siku ile namheshimu kwa mambo mawili moja elimu yake na ni rais wa nchi yangu. Ametumiaje elimu yake kwa Taifa labda ndio swali linaloniumiza kichwa... na JK yeye kama yeye sio mtekelezaji wa uchaguzi hapa naona matatizo yapo kwa wasaidizi wake na labda chama chake I am sorry kama nitakuwa nimetumia maneno yasiyofaa.
Kwa maswala yake binafsi kila mmoja wetu ana hulka yake. Hulka ni tabia isiyobadilishika kuna watu ukiwaona kama wanalia... hata awakiwa na furaha..kuna wengine kama wanacheka kumbe wanahuzuni. Kuna wengine wachamungu lakini wafiraji/wasagaji kuna wanaoonyesha wazi kuwa watu watotoz/wanaume kunawanaoficha kwa siri kubwa lakini mwisho wa siku ukichukua idadi ymathalani ya wanaojionyesha wameshatembea na totoz ngapi na wale wanaofanya siri unaweza kupata presha wa siri ikawa mara kumi ya wadhahiri.
Na ushauri mdogo tu msipende maneno ya kusikikia sikia mara nyingi hukuzwa kuliko yanavyotakiwa kuwa.
Mkuu asante sana. Wengi sasa umetufumbua macho.
Je, kuna chochote unachofahamu juu ya watoto wanaodaiwa JK alizaa na wanawake wengine kama baadhi ya post zinavyojieleza?
Jakaya Mrisho Kikwete ni moja kati ya Watanzania wanaogombea kiti cha Urais wa Jamuhuri Ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM. Katika kipindi cha miaka 5 iliyopita yeye ndiyo amekuwa Rais wa JMT (Jamuhuri ya Muunganao wa Tanzania).
Lakini je, Kikwete ni nani hasa?
Historia na Uwezo wake ukoje?
Maisha yake yake yakoje?
Thread hii inakusudia kuweka kwa undani yote hayo yanayomhusu in Black and White ili wapiga kura wake waweze kumfahamu kwa undani mbali na propaganda za kisiasa. Na hii ni haki ya Mtanzania.
Kwa kuanzia ninaweka wasifu wake hapa:
Source: Gazeti la Uhuru
RAIS Jakaya Kikwete alizaliwa Oktoba 7, mwaka 1950 katika kijiji cha Msoga, wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani. Ni mtoto wa sita wa Mzee Khalfani Kikwete. Baada ya elimu ya msingi mwaka 1958-1961, Kikwete alijiunga na Shule ya Kati Lugoba mwaka 1962-1965.
Mwaka 1966-1969 alisoma katika Shule ya Sekondari ya Kibaha na mwaka 1971-1972, alisoma kidato cha tano na cha sita katika Shule ya Sekondari ya Tanga. Mwaka 1972-1975 alisoma katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na kuhitimu Shahada ya Kwanza ya Uchumi. Alijiunga katika mafunzo ya maofisa wa Jeshi katika Chuo cha Uongozi wa Jeshi Monduli, mwaka 1976-1977 na baadaye Mafunzo ya Makamanda wa Jeshi katika Chuo hicho, mwaka 1983-1984.
Kuanzia shule ya kati, sekondari hadi chuo kikuu alikuwa kiongozi wa wanafunzi. Alichaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wanafunzi katika Shule ya Sekondari Kibaha na baadaye Naibu Kiongozi Mkuu wa Wanafunzi katika Shule ya Sekondari Tanga. Katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam alikuwa mwanaharakati wa siasa za wanafunzi na alichaguliwa kuwa Makamu wa Rais wa Serikali ya Wanafunzi ya Chuo Kikuu hicho, mwaka 1973-1974.
Katika nafasi yake hiyo, alikuwa mstari wa mbele kuchochea vuguvugu la ukombozi kwa nchi za kusini mwa Afrika. Aliwawakilisha wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na vijana wa bara la Afrika katika mikutano ya kimataifa. Miongoni mwa mikutano hiyo ni ule wa International Youth Population Conference mwaka 1974, Bucharest, Romania. Jakaya Kikwete alipata mafunzo ya awali ya kijeshi kambi ya Jeshi la Kujenga Taifa la Ruvu, na mafunzo ya uofisa wa kijeshi katika Chuo cha Uongozi wa Kijeshi, Monduli. Alifuzu na kuwa luteni 1976-1977.
Nchi ilipoingia katika mfumo wa vyama vingi mwaka 1992, Kikwete akiwa na cheo cha luteni Kanali, alistaafu jeshini, ili aendelee na siasa. Kikwete amekuwa katika utumishi wa Chama kwa miaka 35 na katika utumishi wa Serikali katika nafasi mbalimbali za Uwaziri kwa miaka 22. Akiwa na umri wa miaka 25, Kikwete alijiunga katika utumishi wa chama cha TANU, kilichoongoza mapambano ya kudai uhuru wa Tanganyika.
Alianza utumishi akiwa Katibu Msaidizi wa TANU wa Mkoa, mwaka 1975-1977. Baadaye akawa Katibu Msaidizi wa CCM Ofisi Kuu Zanzibar, mwaka 1977-1980; Ofisa utumishi wa CCM Makao Makuu, mwaka 1980-1981; Katibu Mtendaji wa CCM Mkoa wa Tabora, mwaka 1981-1983; Kamisaa wa Siasa katika Chuo cha Uongozi wa Jeshi, Monduli, mwaka 1983-1986 na Katibu wa CCM Wilaya ya Nachingwea na baadaye Masasi mwaka 1986-1988.
Amekuwa Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM tangu mwaka 1982, na baadaye Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM hadi sasa. Katika utumishi wa Serikali, Rais Kikwete aliuanza kwa kuteuliwa kuwa Naibu Waziri wa Nishati, Madini na Maendeleo ya Maji, mwaka 1988-1990, Waziri wa Nishati, Madini na Maendeleo ya Maji mwaka 1990-1994, Waziri wa Fedha mwaka 1994-1995 na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushjirikiano wa Kimataifa mwaka 1995-2005.
Kikwete amekuwa Mbunge wa kuteuliwa (1988-1990), Mbunge wa Bagamoyo (1990-1995) na Mbunge wa Chalinze (1995-2005). Ndani ya Chama, kipaji chake cha uongozi kilichoambatana na moyo wa kujitolea kilijidhihirisha mapema baada ya kumaliza masomo chuo kikuu alipoamua kujiunga na utumishi wa Chama, badala ya kukimbilia ajira serikali kulikokuwa na masilahi makubwa. Hutekeleza kazi kwa ufanisi na uadilifu. Kikwete ni mwanamichezo, mwenye haiba na mvuto na mwenye maono katika uongozi. Ana mke, Salma Rashid Kikwete, na ni baba wa watoto wanane; wanaume sita na wanawake wawili.
Je, ni hayo tu wananchi wanastahili kuyajua?
Kama yako mengine ni yapi?
Jakaya Mrisho Kikwete ni nani hasa in Black and White?
Nimeiona lakini sijaiona hy evidence inayosema anatembea na wanawake awape madaraka.kama wapo basi ni wachache sana hayo ya kusema ma dc wote na mabalozi wote wanawake wamempa nasema HAPANA na hao wanaume waliopewa madaraka halafu hawafanyi vizuri walitoa nini?acheni hizooo!Faithful, umeiona post No. 88 ya Mlalahoi?
Nimeiona lakini sijaiona hy evidence inayosema anatembea na wanawake awape madaraka.kama wapo basi ni wachache sana hayo ya kusema ma dc wote na mabalozi wote wanawake wamempa nasema HAPANA na hao wanaume waliopewa madaraka halafu hawafanyi vizuri walitoa nini?acheni hizooo!
wale watoto wake walioko tabata je?mbona hamwasemi wako watatu.mama yao alikuwa anaishi karatu ambaye pia alimtelekeza kwa mda na mama yule alimfungulia kesi,ilibidi Mkwere amtunze mpaka alipo fariki mwaka Juzi mwishoni.
Not only that yule mwanamke mtoto wa mfalme anamtoto mdogo wa kikwete i think the kid is about 5 years now.
Post yako nimeisoma mpaka palipoandikwa:
Source: Gazeti la Uhuru
Huko kwingine sijasoma kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!
Nimeiona lakini sijaiona hy evidence inayosema anatembea na wanawake awape madaraka.kama wapo basi ni wachache sana hayo ya kusema ma dc wote na mabalozi wote wanawake wamempa nasema HAPANA na hao wanaume waliopewa madaraka halafu hawafanyi vizuri walitoa nini? acheni hizooo!
Hivi hakuwahi kuoa huyo bwana?
Mimi nimepata kumsikia mtu mzima na asie na hiyana anasema alikuwa na JK mlimani and he was one of the best students academical tangu siku ile namheshimu kwa mambo mawili moja elimu yake na ni rais wa nchi yangu. Ametumiaje elimu yake kwa Taifa labda ndio swali linaloniumiza kichwa... na JK yeye kama yeye sio mtekelezaji wa uchaguzi hapa naona matatizo yapo kwa wasaidizi wake na labda chama chake I am sorry kama nitakuwa nimetumia maneno yasiyofaa.
Rev. Nchi fulani "Muhimu" ni UK na US tu? Mtafute Mlalahoi aje aweke mambo sawa.
Nimenong'onezwa ni Bal Majaar chakula ya Kiwete na mumewe mzee Sharif anajua hilo ndo maana naye alijirusha na yule mbunge wa Singinda! hizi habari hazina uhakika
Masanilo, Wabunge wa Kanda ya kati Singida ni Dewji, Msindai, Nyarandu na Missanga. Kuna wa kike? Diana Chilolo ni wa Viti Maalumu na hakuna kumbu kumbu zinazoonyesha alisoma UK. Kanda ya kati ni ipi? Au Dodoma?
=======lol .... Anna Mlata kasoma UK juzi juzi na alikuwa kwenye blogs kibao kila kukicha akifungua matawi ya CCM huko UK akishirikiana na aliyekuwa Balozi wa hapo aliyetajwa na Mchungaji Masanilo. Kwa hiyo kama Mbunge wa Viti Maalum kutoka mkoa wa Singida aliyesoma UK, basi jibu ni hilo mkuu wangu.
Wow!! Even Raj Jr. is in the house. Welcome aboard man. Whatever became of Raj Patel Sr.?
Vote CCM, the choice of the majority of Tanzanians. We have several CCM branches and Reps all over India, UK, US, Canada and all over the world. What's the big deal? If the opposition political parties can not afford to open or establish the party branches or offices, then they need to stop whining. This is a democratic country, and time and time again since independence, Tanzanians have made their choice in Nyerere, Mwinyi, Mkapa and now JK. If you do not like CCM then you can voice your concern in the ballot on election day. If your politician lose the election then you need to take a deep breath, accept the election results and move on. Stop xenophobia. Vote CCM. Vote JK
Nakupata mkuu. Inawezekana kuna tatizo la kuelewa au sijaeleza kwa undani, au sifahamu ukweli. Ninachofahamu ni kuwa architects wa mpango wote wa kujenga chuo Dodoma ni awamu ya tatu, si awamu ya nne. Awamu ya nne walitekeleza tu yaliyopangwa na awamu ya tatu.
Kuna baadhi ya wenzetu wanaona kufunguliwa chuo na awamu ya nne maana yake wao ndio wamejenga chuo. Kama lilikuwa ni wazo la JK hakuna ubaya nadhani kwa hilo anastahili sifa, lakini hayo mengine hamna kitu.
Mkuu asante sana. Wengi sasa umetufumbua macho.
Je, kuna chochote unachofahamu juu ya watoto wanaodaiwa JK alizaa na wanawake wengine kama baadhi ya post zinavyojieleza?