Kikwete: In Black And White

Kikwete: In Black And White

Yote haya si kweli UDOM ni MKAPA
BRT ni awamu ya tatu
Daraja la Kigamboni awamu ya tatu
MPASUKO WA ZANZIBAR wameuziba wenyewe, kwa kuwa wanaogopa moto wa CUF
CCM haina demokrasia ya kweli, Muulize Mangula, Bashe, na wengine wengi,
Sheria ya madini bado iko ovyo
Unajua ni kwanini wanawake wengi wameongezwa kwenye nafasi za uongozi? kweli wana uwezo wa kuongozwa, mbona wenye uwezo wa kuongoza wako pembeni?
Mkuu mbona TAKUKURU iko ovyo na wote tunajua, inaweza kwenda kumkamata RA, EL au Chenge?
Uhuru wa habari wa magazeti ya shigongo si uhuru, au wa FM stations si uhuru


Mkuu JF si ya watoto tunaangalia nchi yetu inavyokwenda.

Oooh my Gosh! Maumivu ya Kichwa huanza taratibu
 
kweli ni maneno ya mtaani ,ila maneno ya mtaani si maneno?.
Mtaani ndio ushahidi watu tunao .................... ila nadhani unaposema maneno ya mtaani unamaanisha kuwa habari zisizi na uhakika.

Ila bigi lady shuhuda wa mashuda wako mtaani na ndio wanasema haya yote.
Kuna watu wanapicha za mkulu akipiga mtungo ilala kabla yakuwa mkulu tena za video ila hiyo tunaweka pembeni ngoja tuongelee ya msingi (maana hapo hajavunja sheria ni raha zake).

Big Lady tusitoke sana nje ya mstari najua utapata hamu ya kujua mengi ila mambo mengine bora usijue mwenyewe najuta kujua hili.
Kiranga , Kikwete Mtu wa Mwinyi aache kumuuliza Mwinyi aende Butiama kwa Nyerere? labda useme kwa Warioba kama kipindi hicho bado alikuwa Waziri Mkuu?
Pili kwa protokali ya Bongo Naibu waziri hana majukumu mengi au uamuzi labda kama walitaka kumsakizia Bomu, akashtuka, kama ilivyo kwa Makamu wa Raisi, ma naibu waziri ni more on ceremonial cases, au kujifunza kazi.
Waliokuwa wana report au kutafuta reference kwa mwalimu walikiona cha Moto nao ni Apiyo na Warioba.
Sasa Kiranga hii yako, labda unipe data zaidi. ya weza kuwa
 
Baada ya uchaguzi wa 2005 na kuapishwa
sisi walalahoi tuliambiwa kuna MABILION ya kukupeshwa ambapo kila mkoa ulipewa bilion moja (ingawa vogogo na mabenki ndo walifaidika)
ninakosa majibu ya maswali haya:-

  1. Mabilion haya yalitoka wapi?
  2. Mpaka sasa zimerejeshwa kiasi gani?
  3. Bunge lipi la BAJETI lilipitisha hela hizi ukichukulia zilitolewa kabla ya bunge la bajeti.
  4. Yana uhusiano na EPA?
  5. Hayana chembe za takrima?
naomba mwenye data atumwagie hapa tuelimike.
Wasi wasi wangu ni mkubwa sana kuhusu hizi senti
 
Baada ya uchaguzi na kuapishwa
sisi walalahoi tuliambiwa kuna MABILION ya kukupeshwa ambapo kila mkoa ulipewa bilion moja (ingawa vogogo na mabenki ndo walifaidika)
ninakosa majibu ya maswali haya:-

  1. Mabilion haya yalitoka wapi?
  2. Mpaka sasa zimerejeshwa kiasi gani?
  3. Bunge lipi la BAJETI lilipitisha hela hizi ukichukulia zilitolewa kabla ya bunge la bajeti.
  4. Yana uhusiano na EPA?
  5. Hayana chembe za takrima?
naomba mwenye data atumwagie hapa tuelimike.
Wasi wasi wangu ni mkubwa sana kuhusu hizi senti

Swali moja muhimu ni kujua wananchi walionufaika nazo.
 
Kikwete is worse hakuna alichowahi kufanya kama raisi! Ni kucheka cheka na mizaha
 
juzi hukumsikia jk akiwaambia NMB arejeshewe pesa zake mana hawakufata maagizo yake sasa cjui ni maagizo yepi ila mimi nilifatilia mikopo hiyo nikaambiwahizo fedha wala hazipo ni maneno tu na hawaruhusiwi kusema kwamba hazipo sana sana unazungushwa na kupewa masharti magumu ukimbie mwenyewe lakini ukweli ni kwamba ilikuwa changa la macho tumepigwa na ndo maana akatoa kauli kwamba benki zimrudishie hela zake wakati hata kuzitoa hakutoa hivyo wadanganyika waliamini kuna mabilioni ya kikwete. Mtaani mtu akiiba au kauza jiwe mfano arusha kila mtu atajua na atasema hela za mawe au wizi zimemtoa lakini niambieni ktk nchi nzima nani unayemfahamu aliyetoka na mabilioni ya kikwete. Tarehe 31 tumrudishe atujengee viwanja vya ndege japo nchi haina ndege, meli na vivuko japo nauli hatuna sana vyombo hivyo vitawaleta wageni kuja kuitafuna nchi km kawa.
 
Hadi jana usiku,nilikuwa sijashawishika kuchangia ninachojua katika CV ya Jakaya Kikwete.Lakini baada ya HABARI LEO "kufungulia mbwa" basi acha nasi tueleza tunachojua kumhusu mgombea urais kwa tiketi ya CCM (KIkwete).


Kuna mengine nayafanyia kazi,lakini kwa leo ni hayo tu.I repeat,NINA USHAHIDI WA HAYO MATATU YA KWANZA.

Jamani ni kwel haya yote! Mbona makubwa, tena mnanitisha, HAIWEZEKANI BWANA, itakwaje? Basi huyu ni mwanamume wa Shoka(ooops, msinifananishe na Sofia please!), kali kweli!
 


Salma%20Kikwete(1).jpg

Salma Kikwete - Mke wa Rais Kikwete anayeongelewa katika wasifu wake.​

Mbona Mke wake Mzuri kiasi hiki, anatafute nini zaidi! Mhhhhhhhhhhhhhhhhh nimechoka,
 
KICHUGUU umetuongopea kwani ni mwaka huo huo wa 1994 alipoti saini mktaba wa IPTL na juzi tumeambiwa kuwa ni mwaka huo huoaliposaini mkataba wa Bulyanhulu, masalahi gani kwa taifa hayo. Mbona sasa anashindwa kutuonuesha kuwa anajali maslahi ya taifa akiwa ni mkuu wa nchi?
 
kikwete is worse hakuna alichowahi kufanya kama raisi! Ni kucheka cheka na mizaha

subiri siku ya uchaguzi na ya kutangaza matokeo kwamba kikwete ameshinda kwa zaidi ya asilimia 80, ndipo utakapojua kweli kikwete kafanya mambo mengi mazuri katika awamu yake ya kwanza ya uongozi
 
Mbona Mke wake Mzuri kiasi hiki, anatafute nini zaidi! Mhhhhhhhhhhhhhhhhh nimechoka,

kUFUATILIA MAMBO BINAFSI YA MTU NI KUFIRISIKA KIMAWAZO NA KISERA.KWAMBA UMESHINDWA KUFUATILIA MAMBO YA MSINGI AMBAYO YANAFAIDA KWA TAIFA NA NCHI.
 
Hii inatoka: Jakaya Kikwete - Wikipedia, the free encyclopedia

Jakaya Mrisho Kikwete (born October 7, 1950) is a Tanzanian politician, the fourth and current President of the United Republic of Tanzania. Kikwete was born in Msoga, Bagamoyo District, Tanganyika in present day Tanzania. Kikwete was also the Chairperson of the African Union from 31 January 2008 to 2 February 2009.
duh, kweli wewe ni superman wa copy and paste! Thanks anyway!:confused2:

your source
 
Kwani kinachotafutwa ndicho kionekacho machoni?

Mkuu, Kamanda, Kiongozi, Comred, Mpiganaji . . . . karibu sana.

Naona bado unasitasita kumwaga facts hapa . . . . tenda haki kamanda . . . haaa haaa
 
unasikia miahadi anayo mwaga huko kwa wenye nchi, wewe kazana na black and white tu, watu wana peta

Ni haki yake. Yuko kwenye Kampeni. Same kwa wagombea wengine. Na hii ndo maana ya thread hii watue wajue yote ili waamue. Kama una kitu chochote unique Black on White, negative au positive, unaweza kutuhabaarisha.
 
acheni kashfa jamani hao ma DC na Mabalozi ni zaidi ya 70 je ana wa duu kwa staili gani wote?angalieni wanatimiza majukumu yao vizuri?km wanachemka semeni.....hivi kila mwanamke akipewa uongozi kavua chupi?wacheni hizo!

Faithfully. soma post za nyuma za Mlalahoi katika thread hii
 
Mlalahoi, habari hizi ni mpya kwa Watanzania Wengi . . . . unaweza ukatenda haki kwa Watanzania kama utaweka mambo yote hadharani in Black and White. Si lazima yawe mabaya bali hata mazuri kama unayafahamu. Ninayo maswali machache kwako:

  • Katika huyo wa Kwanza, je alizaa na JK?
  • Unawafahamu mama wa watoto wote wa JK?
    Dada wa pili, tusaidie jina lake na la mtoto. Je Mtoto yuko wapi?
  • Hili la mganga wa kienyeji linatuchanganya akili . . . kuna details zaidi?
  • Huyo dada wa Marekani ni nani?
  • Huyu balozi wa Nchi fulani Muhimu, ni huyu aambaye ameahamishwa hivi karibuni kwenda Nchi nyingine Muhimu?
  • Huyu Mbunge wa kike, unaweza ukatoa fununu zaidi?
  • Hii habari ya Mary, JK alikanusha namna gani?
Tafadhali mwaga data za ziada ulizonazo.

Mlalahoi, bado hujaweza kujibu maswali hayo.
 
Hapo mtoa mada kazungumzia elimu na nafasi alizowahi kushika, Je kuna jambo ambalo alishawahi kulisimamia kwa maslahi ya wananchi au kitu alichowahi kufanya cha kukumbukwa? Mfano Dr. Slaa, Mrema, na wengine wengi kuna vitu ambavyo vitadumu milelel na milele bila kusahaulika. vituo vya polisi vingi vingi unavyoviona leo ni Mrema huyo.

Mwingine ni Mkulo ukisikia Mkulo unakumbuka NSSF alifanya vizuri sana japo kwenye fedha kachemsha. Sasa kaka yetu kwa elimu na positions amefanya nini au alishawahi kufanya nini cha kukumbukwa? Mkapa hakuwa amefanyua cha kukumbukwa alkini baada ya kuingia madarakani alifanya mengi saaana japo kulikuwa na dosari dnogo ndogo.

Akiwa waziri wa fedha aliunda tume ya kuchunguza matumizi mabaya aliyokuwa amefanya Kigoma Malima, enzi hizo za Mzee Rksa KM alikuwa haambiliki lakini JK alitoa findings za tume yake na kumfukuzisha kazi Malima. Inasemekana hata fedha za Malima zilizokuwa nje alizifreez na ikawa chanzo cha kifo chake. Hicho peke yake ndio kilichompa umaarufu kwa Watanzania.

Sijui kwa nini alishindwa kukamata za kina Chenge na za Epa.
 
Back
Top Bottom