Yanaboa kwanini?upo ulivyo leo kutokana na mchango wa huyu mtu,amani iliyopo,popote nchi hii ukienda unakaa kama upo kwenu hakuna anaekubagua leo unasema anaboa? tatizo mnafundishana ujinga mkikutana kwenye vijiwe vyenu.Mipicha ya nyerere inaboa..
.............Kiongozi wa mfano,type hii ya viongozi sijui kama itatokea tena kwenye hii ardhi yetu.
Ndio mtungi wa kuwekea maganda ya korosho huo?Hapa mkemia hakujua hata kama ipo siku atakuwa jemedari mkuu wa taifa hili...View attachment 919684
Kweli maisha ni Safari ndefu.Hapa mkemia hakujua hata kama ipo siku atakuwa jemedari mkuu wa taifa hili...View attachment 919684
Acha ulofa Hata angekuwa baba yangu tungepata uhuru kwa wakati huo... Nyerere ni mtu wa kawaida na aliwatesa sana wapigania uhuru wa kweli..Yanaboa kwanini?upo ulivyo leo kutokana na mchango wa huyu mtu,amani iliyopo,popote nchi hii ukienda unakaa kama upo kwenu hakuna anaekubagua leo unasema anaboa? tatizo mnafundishana ujinga mkikutana kwenye vijiwe vyenu.
Hivi hakukuaga na amani ee?Yanaboa kwanini?upo ulivyo leo kutokana na mchango wa huyu mtu,amani iliyopo,popote nchi hii ukienda unakaa kama upo kwenu hakuna anaekubagua leo unasema anaboa? tatizo mnafundishana ujinga mkikutana kwenye vijiwe vyenu.
Update
Ni nani aliyeandaliwa?Huyu mtu hakuandaliwa kuwa sasa alipo fika sina maana mbaya ila ndio ukweli
Mkuu huyu nani?Kumbe alianza kupenda mijimama tangia kabla hajatoka....tehteehh View attachment 919675
Huyu ni kijana wa Madale, mwenye nyota yake iling'ara, na sasa ndie kinara wa WasafiMkuu huyu nani?