Kikwete enzi hizo

Mipicha ya nyerere inaboa..
Yanaboa kwanini?upo ulivyo leo kutokana na mchango wa huyu mtu,amani iliyopo,popote nchi hii ukienda unakaa kama upo kwenu hakuna anaekubagua leo unasema anaboa? tatizo mnafundishana ujinga mkikutana kwenye vijiwe vyenu.
 
Yanaboa kwanini?upo ulivyo leo kutokana na mchango wa huyu mtu,amani iliyopo,popote nchi hii ukienda unakaa kama upo kwenu hakuna anaekubagua leo unasema anaboa? tatizo mnafundishana ujinga mkikutana kwenye vijiwe vyenu.
Acha ulofa Hata angekuwa baba yangu tungepata uhuru kwa wakati huo... Nyerere ni mtu wa kawaida na aliwatesa sana wapigania uhuru wa kweli..
 
Yanaboa kwanini?upo ulivyo leo kutokana na mchango wa huyu mtu,amani iliyopo,popote nchi hii ukienda unakaa kama upo kwenu hakuna anaekubagua leo unasema anaboa? tatizo mnafundishana ujinga mkikutana kwenye vijiwe vyenu.
Hivi hakukuaga na amani ee?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…