Mkemia ameshare yoghurt na koti lake kodoogoWakati wa urafiki wao na KitwangaView attachment 919689
Ni nani hawa mwl.
Nimekubali ndevu hizoEnzi zake mkemia akiwa UDSMView attachment 919686
Hizo kemikali zilifanya jamboHapa mkemia hakujua hata kama ipo siku atakuwa jemedari mkuu wa taifa hili... View attachment 919684
Kumbe alikuwa mapepe tangu zamaniMheshimiwa disiiView attachment 919672
Nyerere sijawahi kuona picha yake akiwa kijana.so yeye alikua mzee toka miaka ya 60 ?
Nyerere sijawahi kuona picha yake akiwa kijana.so yeye alikua mzee toka miaka ya 60 ?