Hakuna kikomo mkuu viti vikijaa jengo linabomolewa linajengwa upya.Bunge letu kikomo cha idadi ya wabunge ni ngapi?
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amefanya uteuzi wa wabunge watatu wapya kwa mujibu wa mamlaka ya uteuzi aliyo nayo chini ya Ibara ya 66(i) (e) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Wabunge hao wapya ni Profesa Sospeter Muhongo, Bi. Janet Mbene na Bwana James Mbatia.
Uteuzi huo unaanza mara moja.
Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu.
Dar es Salaam.
3 Mei, 2012
Ni kweli Mkuu cheki hii
Sospeter Muhongo
Full Professor of Geology, University of Dar Es Salaam
Editor-in-Chief, Journal of African Earth Sciences, Elsevier
Vice President, Commission for the Geological Map of the World
Honorary Fellow, Geological Society of London
Honorary Research Fellow, Chinese Academy of Geological Sciences
Prof Dr Sospeter M. Muhongo
FGSAf, FAAS, FASSAf, FGIGE, FASI, FTWAS, HonFCAGS, HonFGS, CGeol, EurGeol.
(Officier,Ordre des Palmes Académiques)
hapo keshafunga ndoa na NCCR as well, CDM watabaki wenyewe aisee
wamachukua nafasi za wabunge wa kuteuliwa na rais ambao huwa 10. Na katika teuzi zake huko nyuma sidhani hata kama tano zilifika, hivyo bado ana nafasi zake za kistratejia. Ukiona hivyo Mbatia atakuwa amekubali kuwa waziri. Nadhdni CDM wamemgomea kaamua kwenda kwa jamaa ili 2015 wapate fine line kuwa hata wapinzani wakishinda hakuna jipya maana tayari walikuwa sehemu ya serikali, kuanzia Zanzibar mpaka bara. Ila Ubunge wa kuteuliwa maana yake upo responsible kwa mteuzi.Sasa hao wanachukua nafasi za wabunge gani?
Hakuna kikomo mkuu viti vikijaa jengo linabomolewa linajengwa upya.
Hakuna chochote hapo! ukishajiunga na serikali ya ccm akili zako zote unaziacha kabatini na kuazima akili za Lusinde auNi kweli Mkuu cheki hii
Sospeter Muhongo
Full Professor of Geology, University of Dar Es Salaam
Editor-in-Chief, Journal of African Earth Sciences, Elsevier
Vice President, Commission for the Geological Map of the World
Honorary Fellow, Geological Society of London
Honorary Research Fellow, Chinese Academy of Geological Sciences
Prof Dr Sospeter M. Muhongo
FGSAf, FAAS, FASSAf, FGIGE, FASI, FTWAS, HonFCAGS, HonFGS, CGeol, EurGeol.
(Officier,Ordre des Palmes Académiques)
wamachukua nafasi za wabunge wa kuteuliwa na rais ambao huwa 10. Na katika teuzi zake huko nyuma sidhani hata kama tano zilifika, hivyo bado ana nafasi zake za kistratejia. Ukiona hivyo Mbatia atakuwa amekubali kuwa waziri. Nadhdni CDM wamemgomea kaamua kwenda kwa jamaa ili 2015 wapate fine line kuwa hata wapinzani wakishinda hakuna jipya maana tayari walikuwa sehemu ya serikali, kuanzia Zanzibar mpaka bara. Ila Ubunge wa kuteuliwa maana yake upo responsible kwa mteuzi.
Hongereni sana mlioteuliwa na rais. Rais kaonesha imani kwenu msimuangushe, mfanye anayoyataka.
Yaani tayari mmeshashoboka na hiyo resume?
Uwezo wake wa kuongoza je?