kikwete avuna aibu Sheikh Amri Abeid Stadium -Arusha

kikwete avuna aibu Sheikh Amri Abeid Stadium -Arusha

Crashwise

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2007
Posts
22,227
Reaction score
8,760
kayika maazimisho ya siku ya manesi raisi wa Tanzania anaeongoza duniani kwa kutembekea nchi mbalimbali kuliko rais yoyote leo amevuna aibu ya mwaka baada ya watoto washule kujazana uwanjani bada ya watu wazima aliotalajia kuwahutubia na cha kushangaza watu walikuwa busy na shighuli zao bila kujali kuna mhe. Dr. Dr. Dr Kikwete akihutubia watu uwanjani hapo...ni katika maazimisho ya manesi

maoni yangu kikwete hata ukigombea ukilanja kwenye moja ya shule za msingi hapa Arusha utakuwa mshidi wa tatu...watu wa Arusha hawataki kusikia habari za chama chako na serikali yako na uelewe hata hao watoto waliojazana uwanjani ni kwa kuwa wamelazomishwa halafu waliambiwa kutakuwa na zekomedi baada ya rais kumaliza kuhutubia..
jana jioni katika hatakati za kuokoa jahazi mkuu wa mkoa alisambaza meseji hizi...

MH. NIMEAGIZWA NA MKUU WA MKOA JIONI HII KWAMBA ANAWAALIKA KWENYE SHEREHE ZA SIKU YA WAUGUZI DUNIANI KITAIFA NI HAPA ARUSHA MGENI RASMI NI MH.RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.KUFIKA UWANJA WA SHEIKH AMRI ABED SAA MBILI NA NUSU ASUBUHI KESHO
 
Mkuu hata kama humpendi mhe Rais,nadhani umezidisha kumshusha!!!
 
huyu kikwete leo arusha ameisoma magari yamejaa kuliko watu wazima nqona kuna ambulance sijaelewa ni yanini...
 
Watu wa Arusha wanajitambua! Kikwete awajibu watanzania kwa nini walimlazimisha gavana wa Bot atoe mkwanja wa 200 bilion kwa vigogo?
 
eti na mtoto wake anataka kurithi ikulu ya magogoni, sijui wakwere wanawaza nini vichwani????:A S-confused1:
 
kayika maazimisho ya si ku ya manesi raisi wa Tanzania anaeongoza duniani kwa kutembekea nchi mb alimbali kuliko rais yoyote leo amevuna aibu ya mwaka baada ya watoto washule kujazana uwanjani bada ya watu wazi ma aliotalajia kuwahutubia na cha kushangaza watu wal ikuwa busy na shighuli zao bila kuja li kuna mhe. Dr. Dr. Dr Kikwete akihutubia watu uwanjani hapo...ni katika maazimisho ya manesi

maoni yangu kikwete hata ukigombea ukilanja kwenye moja ya shule za msingi hapa Arusha utakuwa mshidi wa tatu...watu wa Arusha hawataki kusikia habari za chama chako na serikali yako na uelewe hata hao watoto waliojazana uwanjani ni kwa kuwa wamelazomishwa halafu waliambiwa kutakuwa na zekomedi baada ya rais kumaliza kuhutubia..

kayika - KATIKA
anaeongoza - ANAYEONGOZA
kutembekea - KUTEMBELEA
aliotalajia - ALIYOTARAJIA
shighuli - SHUGHULI
maazimisho - MAADHIMISHO
ukilanja - UKIRANJA
wamelazomishwa - WAMELAZIMISHWA


Mkuu Crashwise hebu jifunze kuandika kwanza. Haya ya Kikwete yako juu ya uwezo wako
cc: FaizaFoxy
 
kayika maazimisho ya siku ya manesi raisi wa Tanzania anaeongoza duniani kwa kutembekea nchi mbalimbali kuliko rais yoyote leo amevuna aibu ya mwaka baada ya watoto washule kujazana uwanjani bada ya watu wazima aliotalajia kuwahutubia na cha kushangaza watu walikuwa busy na shighuli zao bila kujali kuna mhe. Dr. Dr. Dr Kikwete akihutubia watu uwanjani hapo...ni katika maazimisho ya manesi

maoni yangu kikwete hata ukigombea ukilanja kwenye moja ya shule za msingi hapa Arusha utakuwa mshidi wa tatu...watu wa Arusha hawataki kusikia habari za chama chako na serikali yako na uelewe hata hao watoto waliojazana uwanjani ni kwa kuwa wamelazomishwa halafu waliambiwa kutakuwa na zekomedi baada ya rais kumaliza kuhutubia..

Kwahiyo, hadithi inatufundisha nini!?

Tuchukie viongozi wetu au!???
 
Huyu mzee naye kwa kupuyanga amezidi, Jana tu nilisikia yuko Nigeria, Mara Angola Leo A twn, janga.
 
kayika maazimisho ya siku ya manesi raisi wa Tanzania anaeongoza duniani kwa kutembekea nchi mbalimbali kuliko rais yoyote leo amevuna aibu ya mwaka baada ya watoto washule kujazana uwanjani bada ya watu wazima aliotalajia kuwahutubia na cha kushangaza watu walikuwa busy na shighuli zao bila kujali kuna mhe. Dr. Dr. Dr Kikwete akihutubia watu uwanjani hapo...ni katika maazimisho ya manesi

maoni yangu kikwete hata ukigombea ukilanja kwenye moja ya shule za msingi hapa Arusha utakuwa mshidi wa tatu...watu wa Arusha hawataki kusikia habari za chama chako na serikali yako na uelewe hata hao watoto waliojazana uwanjani ni kwa kuwa wamelazomishwa halafu waliambiwa kutakuwa na zekomedi baada ya rais kumaliza kuhutubia..

vijana wa arusha wanahuzuni sana baada ya lema kusababisha uchumi wao kushuka
 
kwani alikwenda kuhutubia wakazi wa arusha au manesi? Watu wa arusha wanaanzaga kunywa gongo asubuhi..
 
Back
Top Bottom