Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,760
kayika maazimisho ya siku ya manesi raisi wa Tanzania anaeongoza duniani kwa kutembekea nchi mbalimbali kuliko rais yoyote leo amevuna aibu ya mwaka baada ya watoto washule kujazana uwanjani bada ya watu wazima aliotalajia kuwahutubia na cha kushangaza watu walikuwa busy na shighuli zao bila kujali kuna mhe. Dr. Dr. Dr Kikwete akihutubia watu uwanjani hapo...ni katika maazimisho ya manesi
maoni yangu kikwete hata ukigombea ukilanja kwenye moja ya shule za msingi hapa Arusha utakuwa mshidi wa tatu...watu wa Arusha hawataki kusikia habari za chama chako na serikali yako na uelewe hata hao watoto waliojazana uwanjani ni kwa kuwa wamelazomishwa halafu waliambiwa kutakuwa na zekomedi baada ya rais kumaliza kuhutubia..
jana jioni katika hatakati za kuokoa jahazi mkuu wa mkoa alisambaza meseji hizi...
MH. NIMEAGIZWA NA MKUU WA MKOA JIONI HII KWAMBA ANAWAALIKA KWENYE SHEREHE ZA SIKU YA WAUGUZI DUNIANI KITAIFA NI HAPA ARUSHA MGENI RASMI NI MH.RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.KUFIKA UWANJA WA SHEIKH AMRI ABED SAA MBILI NA NUSU ASUBUHI KESHO
maoni yangu kikwete hata ukigombea ukilanja kwenye moja ya shule za msingi hapa Arusha utakuwa mshidi wa tatu...watu wa Arusha hawataki kusikia habari za chama chako na serikali yako na uelewe hata hao watoto waliojazana uwanjani ni kwa kuwa wamelazomishwa halafu waliambiwa kutakuwa na zekomedi baada ya rais kumaliza kuhutubia..
jana jioni katika hatakati za kuokoa jahazi mkuu wa mkoa alisambaza meseji hizi...
MH. NIMEAGIZWA NA MKUU WA MKOA JIONI HII KWAMBA ANAWAALIKA KWENYE SHEREHE ZA SIKU YA WAUGUZI DUNIANI KITAIFA NI HAPA ARUSHA MGENI RASMI NI MH.RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.KUFIKA UWANJA WA SHEIKH AMRI ABED SAA MBILI NA NUSU ASUBUHI KESHO