Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,520
- 2,091
Sinza yetu wameifanya Shamba la Bibi... umeme unawaka masaa 5 hadi 8 tu... Ahadi ya Kikwete kuhusu mgao imeota MBAWA...
Angalau mtafanya kweli kwenye sanduku la kura!Wakuu hii nchi kwakweli sielewi tunakoelekea kuna mgao wa umeme unaoendelea kwa saa 24 kila siku huku mikoani ambao hauko katika ratiba iliyotolewa magazetini wiki hii umeme unakatwa saa 12 jioni na haurudi hadi kesho yake saa 12 jioni na hapo kesho yake asubuhi unakatwa tena huku tunaelekea wapi jamani naona maisha sasa ni magumu ajabu nilipita mtaani kazi zote zimesimama vijana wamekaa wanatazamana hali ikiendelea hivi vijana hawa ambao kazi zao zimechukuliwa na mgao wa umeme wataamua kufanya kazi usiku ya kutukaba na kuvunja vijumba vyetu amani itatoweka kabisa muda si mrefu hakuna tena usalama na ukizingatia usiku mzima giza mgao huu utaongeza pia mimba zisizotarajiwa na kuongeza idadi ya watu katika familia ambao ni mzigo na kuzidisha umasikini kwakuwa sasa usiku klwakuwa hakuna umeme itakuwa full mchezo wa baba na mama!!serikali mpoo kuna janga kubwa mbele yetu!
du na sie wenye biashara za mabarafu kwishnehi looolSioni haja ya kugawagawa umeme.kwanini tusiutumie full time kama wiki moja hivi uishe halafu tukae giza.
siku hizi hata maji baridi hatunywi,hata tv hatuangalii.Jaman mgao wa sasa n mkal kuliko hata ule ulioisha mwez ulopita, mfano mwanza mgao n karibu kila siku asubuh mpaka jion na usiku.
Hahahahah!!du na sie wenye biashara za mabarafu kwishnehi loool
Thubutu!!! ajiuzuru kwa kosa lipi sasa? labda sio kinamagamba yaani wao umeme sio ishu kabisa ...Ngeleja ajiuzuru...PERIOD....!!!