Ngeleja ni kijana wa ROsti tamu JK hana uwezo wa kumfanya lolote!!
Kikwete alikwenda nje ya nchi kwenye mkutano akiongozana na Ngeleja na ndani ya ule mkutano Ngeleja alipigwa picha amelala fofo ; hakumchukulia hatua zozote na mpaka leo anadunda, kwani wanamfichia siri zake nyingi za kifisadi na haikuwa bahati mbaya kumteua kuwadi wake Jairo kuwa katibu mkuu wa wizara ya nishati!! Wote hawa ni wezi!!
Thank you........... halafu tukisema tunaambiwa hatuna uzalendo, poor me!!
Kwenu ni wapi?Sisi umekatwa jana kumi na 2 jion......u,erudi leo saa 2 asbui
Utasikia bajeti ya ngeleje yapita kwa KISHINDO