Aibu kubwa! Chakufanya mgao ufanyike hadi nyumbani kwa mkuu wa mawaziri pia posho ya mafuta kwa genset no then tuone! Pia posho ya wabunge ikiondolewa njaa ikachukuwa mkondo hawatatetea wizi na upumbupumbavu wa wanaaokula pesa za watz bila huruma kwani huwezi mtetea mwenyekula wakati una njaa .