Nyalutubwi
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 573
- 173
Wengine Utanzania mnalazimishwa tu vinginevyo mnanchi zenu mnazotetea katika akili zenu.Mtakufa navyo vijiba vya roho.
Naam, ndiyo ametufikisha hapa kwa Magufuli, baya hilo?
Alipomtema Lowassa mliona kamuonea na alipomwambia Magufuli akagombee Urais alikuwa hakisii.