Kikwete alikuwa AK leo yuko London!

Kikwete alikuwa AK leo yuko London!

Barbarosa

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
22,584
Reaction score
27,838
Wakati wengine tunaambiwa tufunge mikanda Raisi mstaafu ambaye kwa namna moja ama nyingine amechangia kwenye kutufikisha hapa tulipo anakula bata kwa kubadilisha viwanja tu!


Picha ya kwanza alivyokuwa AK kuhudhuria mkutano wa Raisi wa Uchina


attachment.php



Picha ya Pili alivyotoka AK moja kwa moja London kwenda kupokea tuzo fulani kama anavyoonekena kwenye picha hapo chini!


attachment.php




 
Duh! Uswiss,Paris,Ethiopia,AK na London!! Ndani ya Utawala wa JPM?!!... Hii imekaaje?
 
Nafki wewe,kipindi yupo madarakan ulikuwa unamtetea sana watu wakimsema hapa leo eti nawe nye nye nye nye nye nye
 
Kama ni kwa gharama zake haina shida, aende hata mwezini akitaka
 
Anatumbua mahela aliyotuibia, si mnakumbuka pale Diamond Jubilee alisema hela za escrow ni hela za madafu tu. Jamani mtu wake home shpoping centre hatajwi ukwepaji kodi inamaana yeye ni mjanja sana hawezi gundulika!?
 
Anatumbua mahela aliyotuibia, si mnakumbuka pale Diamond Jubilee alisema hela za escrow ni hela za madafu tu. Jamani mtu wake home shpoping centre hatajwi ukwepaji kodi inamaana yeye ni mjanja sana hawezi gundulika!?

attachment.php
 
Wakati wengine tunaambiwa tufunge mikanda Raisi mstaafu ambaye kwa namna moja ama nyingine amechangia kwenye kutufikisha hapa tulipo anakula bata kwa kubadilisha viwanja tu!


Picha ya kwanza alivyokuwa AK kuhudhuria mkutano wa Raisi wa Uchina


attachment.php



Picha ya Pili alivyotoka AK moja kwa moja London kwenda kupokea tuzo fulani kama anavyoonekena kwenye picha hapo chini!


attachment.php





Mtakufa navyo vijiba vya roho.

Naam, ndiyo ametufikisha hapa kwa Magufuli, baya hilo?

Alipomtema Lowassa mliona kamuonea na alipomwambia Magufuli akagombee Urais alikuwa hakisii.
 
Mtakufa navyo vijiba vya roho.

Naam, ndiyo ametufikisha hapa kwa Magufuli, baya hilo?

Alipomtema Lowassa mliona kamuonea na alipomwambia Magufuli akagombee Urais alikuwa hakisii.

JK will never rest in peace as long as Magufuli is in power. Kwanza hilo ni jipu sugu linalopaswa kutumbuliwa bila ganzi.
 
Mtakufa navyo vijiba vya roho.

Naam, ndiyo ametufikisha hapa kwa Magufuli, baya hilo?

Alipomtema Lowassa mliona kamuonea na alipomwambia Magufuli akagombee Urais alikuwa hakisii.

nani alimwambia magufuli agombee urais,
 
Kama ni kwa gharama zake haina shida, aende hata mwezini akitaka

Safari zote za huyu rais mstaafu hazilipiwi tena na ikulu. zinalipiwa na wizara ya utumishi. Hii ni kwa sababu file lake kwa sasa liko huko kama mafaili ya wastaafu wengine. Kwa hiyo maumivu ni yaleyale.
 
Je ni serikali inayobeba gharama hizi za safari zake?
 
Back
Top Bottom