Mwana Mtoka Pabaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 15,117
- 16,506
Mtakufa navyo vijiba vya roho.
Naam, ndiyo ametufikisha hapa kwa Magufuli, baya hilo?
Alipomtema Lowassa mliona kamuonea na alipomwambia Magufuli akagombee Urais alikuwa hakisii.
Kichwa kizito sana hicho ni mkubwa. Magufuli si chaguo la Kikwete. Nikukumbushe kwamba, Magufuli alikuwa mgombea binafsi kwa kivuli cha CCM na si kwamba ana mapenzi na hicho chama chenu kichafu.
Anachofanya sasa Magufuli ni kusafisha uchafu wa CCM na sasa anagusa interest za makada wa chama chenu, ndio maana husikii shamra shamra na kujikomba kwa watoto wa Lumumba.
Namba mnaisoma nyinyi, na bado.