Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,941
- 9,947
lakini mbona hii ya leo imekuwa kimya kimya sana?
Bado vyama vyote viko msibani! Naona sasa Tanzania tuenda pazuri. JK bwana kiboko. Alisema kinachomsumbua ni mgogoro wa Zanzibar: ameumaliza kwa CUF kuingia kwenye muafaka baada ya miafaka ya akina Anyaouk kushindikana. Chini ya JK ikawezekana. Sasa hapa bara na kwenyewe kukaanza kitu inaitwa maandamano.JK akauliza ni nani hao wanaandamana na kusababisha machafuko hasa Arusha akaambiwa ni CDM. Basi amewaita Ikulu ili wapate muafaka!