Ok..tatizo langu hapa liko kwenye neno MAPATO YA WIZI in relation to this saga i dont see any evidence of stealing what i see naona kwenye mikataba kulitokea lobbying na ten pacent sorry kwa mispel mi ni mkulima tu.
But those guys supplied electricity then out of nowhere politician terminated the contracter HENCE THE FINE.
Wapi hawa dowans wameiba? Dat is ma guestion
Ahaa,haya mi bana mjasiliamali nimeskia kuna tenda ya kusupply matunda kwenye shule wilayani kwangu nimelobby nikapata tenda.haya tatizo sina mtaji wa kufanya tenda hiyo na wamekataa kunipa downpayment ila kwa ujasilimali wangu nimempata jamaa mmoja ana mtaji akanikatia changu kisha mi nikawambia wilayani nimegawa dili wakakubali yule jamaa akakamata tenda na kusupply matunda bila tabu katikati ya tenda wafukunyungu wakasema no japo umeleta matunda stop tenda umeipata ndivo sivo.kumbe jamaa wana issue zao sasa jamaa amekodi mashamba ya matunda ina maana ataingia hasara kusitishiwa tenda amenda mahakamani ikaamliwa alipwe FIDIA.
wapi wizi hapo?
Mazee mikataba batri sio MAPATO YA WIZI unless kiswahili kimenipiga chenga ama karl max was indeed an arab.
Ndo maana hata miye nasema hawa viongozi wetu mabwege issue simple wanazunguka mbuyu .ila hiyo hela ikilipwa mi nalia na WALOVUNJA MKATABA..Halafu mazee siko kwenye system nko bush .struggling like other village WALIPE WASILIPE HAINIPI HEADACHE huwa nachoka tu kila sku dowans dowans i get fedup
Jamani hajaongea lolote la maana na nina uhakika ndo kazidisha moto, alichofanya ni kupiga story na alikua wapi sikuzote hizo hadi aje kuongea leo? kwa nini asubiri hadi wengine wawe wakali na kukataa malipo hayo ndio leo ajitutumue azungumzie Dowans, tena kwenye sherehe za CCM ili mambo yakiwa magumu aseme kuwa alizungumza kama Mwenyekiti wa CCM na sio RAIS, na mtaamini maneno yangu
''Mimi hata baraza la mawaziri linanijua, huwa ni msema ovyo'' Maneno hayakatasema JK wakati akihutubia wanasisiem kule Dodoma.
Nimestuka sana!! Hivi huyu jamaa tulimto wapi jameni?
Halafu anasema hana uwezo kama wa Mungu wa kufanya mvua inyeshe bwawa la Mtera ili tupate umeme. Kweli huyu i msema ovyo!! Anasahau kuwa poor planning ya matumizi ya maji ndiyo sababu ya mabwawa kukauka hata kwa ukosefu wa mvua wa wiki mbili tu!!
Oneni haya nyie mliomchagua!!! Mi simo....
Yaani anasoma neno kwa neno, maana yake hotuba hiyo kaandaliwa na mwingine.
Ndio maana tunataka Marais madokta, maprofesa wanajua to represent, is wanajeshi wastaafu.
Anafanya kama hajawahi kurepresent tesis
Mie sina ID ingine nyambala bora ujibu hoja mazee unapindisha mada am new here in jf .beliave it or not i dont care.
Deal with da ball not the fotballer
hotuba iliandaliwa na katibu wa ccm (makamba) unategemea nini..
Elungata said:Ajue mmiliki kwani yeye BRELA?mbona bac anakazi ajue wamiliki wa makampuni yote TZ ?common gv him a break.
According to u guys the owner is RA as EAST AFRICA paper said..So what?isnt he allowed to own a company if so BY WITCH LAW?.
Haya tuseme ndio mmiliki ni vije bac tunamkaba hapa kwa kudandia mkataba toka kampuni feki na tanesco wakakubali ama alihonga WHAT EVIDENCE DO YOU HAVE HERE IF IS SO.
Ooho it is that dowans acguired unlawfull contracter from richmond..ok WHAT MAKE IT UNLAWFULL.
I have lot of maswali dont see any answer here
Kwa hiyo uliyekuwa unamtetea ni b wege?Elungata said:Ndo maana hata miye nasema hawa viongozi wetu mabwege issue simple wanazunguka mbuyu .ila hiyo hela ikilipwa mi nalia na WALOVUNJA MKATABA..Halafu mazee siko kwenye system nko bush .struggling like other village WALIPE WASILIPE HAINIPI HEADACHE huwa nachoka tu kila sku dowans dowans i get fedup