Ideologies aside, Jakaya Kikwete is an absolute flop. His administration has failed to fix the simplest of problems. How do we expect him to fix giga problems?
I reckon he's not gonna be able to fix tatizo la umeme in his entire 10 year tenure, circumstances allowing of course.
How do we describe a President who is incapable of proving his worth to the 40 plus million Tanzanians? Big government, big spending and yet umeme unawashinda, wanaweza nini hawa watu? Kipi walichofanya zaidi ya uncontrolled spending?
Kipimo cha uongozi ni wakati wa dharura, hapa amani inaimbwa kuliko nyimbo za mapenzi. Lakini je kukitokea vita huyu rais si atakimbia?
Tuweke siasa na ubabaishaji pembeni, tuseme wazi kuwa tulimchagua wenyewe, lakini tulichagua bomu. Lakini kikubwa zaidi ni kwamba sisi watanzania ni zombies. Kwanini tunaendekeza dhiki? Hafai, hawezi wala hastahili.
Anayebisha verdict yangu nataka amsaidie Kikwete kurekebisha uozo na madudu yanayoendelea TANESCO, ATCL, TPA, TTCL, TRL na makampuni mengineyo nyeti, pia awatimue wawekezaji katika sekta ya madini wasio na manufaa kwa taifa. Hapo nitakubali kuwa Kikwete siyo flop president, vinginevyo he is what he is, a flop.