Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,752
- 7,876
Ninamwombea kwa Mungu akianguka tena asiamke milele!
....puuuuuu!
...temea pembeni Mw'Mungu apishilie mbali.
Pamoja na wadhifa alionao na mapungufu yake, ana mke na wanawe.
Pia anao ndugu jamaa na marafiki wamjuao tangia utotoni, Kibaha Sec, UDSM, jeshini nk..
Chuki mchukie lakini ana haki zake za kibinaadamu.
Usituombee msiba bana.