Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,283
- 4,553
Mfalme wa miondoko ya Pop duniani marehemu M.J naye aliangukaga jukwaani hivihivi kama muungwana wetu J.M.
Naomba niulize kaswali kamoja. Huyu muungwana J.M aliwezaje kufikia cheo cha kanali huko JWTZ kama afya yake iko NA mgogoro kiasi hiki? na lile rigwaride aliliwezaje???
Huyu alikuwa kitengo cha siasa! Kitengo hichi huwa hawana magwaride wala mafunzo mengine ya kijeshi