Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,431
Afya duni
Pengine swaumu au?
Pengine swaumu au?
Ina maana Kikwete karithi.It's a congenital disease (ugonjwa wa kurithi)
Hii ni rushwa ya aina yake. Hebu TAKUKURU watufafanulie hapa sio wanakuwa na double standards.
Angalia you tube video...Kwa nini vyombo vya habari vya nje kama CNN, SKY NEWS, BBC, Aljazeera, ...., haviupi umuhimu uchaguzi mkuu wetu? Vyombo vyetu hapa hasa TVs zetu kwa CCM na serikali yake ni kama MBWA kwa CHATU. Tuliokuwa mbali na Jangwani hakuna tuliloambulia.
Kwa nini vyombo vya habari vya nje kama CNN, SKY NEWS, BBC, Aljazeera, ...., haviupi umuhimu uchaguzi mkuu wetu? Vyombo vyetu hapa hasa TVs zetu kwa CCM na serikali yake ni kama MBWA kwa CHATU. Tuliokuwa mbali na Jangwani hakuna tuliloambulia.
WATANZNIA tumewaeleza na tunarejea tena na tena, kuwa huyu mtu "anaumwa".. Anaumwa, iwe ni swaumu, kisukari, shinikizo (bp), msongo wa mawazo, uchovu nk nk..lakini kwa ufupi mhe. Rais wetu si mzima ANAUMWA na muitazame tu sura yake ...hii haitokani na swaumu na kama anashindwa kufunga ni vyema aache thawabu haiji kwa fungo ambayo mtu haiwezi au hana afya njema...ni mwema wlio karibu nae kama akina kinanana wakaacha propaganda, wamshauri safari hii ampumzike. Haiwezekani anawa anadondoka hovyo hivyo kama "mbayuwayu"..anaumwa.
kama ipo siri kati ya Daktari na mgonjwa (duty of secrecy) basi ingebakia siri na Kinana hakupaswa kusimama kueleza watazanaia kile kilichomwangusha kwani Kinana si Dktari wake na hana utaalamu wa kujibu kiufasaha kwa nini Swaumu ishushe Sukari kwa mtu ambae amezoe kufunga? ANAUMWA...kwa nini hiyo sukari iwe inashuka akiwa jukwaani tu tena anapowahutubia watanzania na sio sehemu nyingine huko nje anakoenda?
mkuu nadhani hivyo vinajua uchaguzi wetu SIO HABARI manake mshindi ameshajulikana tayari........hakuna competition!
mkuu nadhani hivyo vinajua uchaguzi wetu SIO HABARI manake mshindi ameshajulikana tayari........hakuna competition!
Kaizer ngoja nimwambie muhudumu akuongeze kopo lingine.. kwa kweli mie sina kabisa msisimko na huu uchaguzi. :mad2:
Nakubaliana nawe Kaizer. Yaani hizi TVs zetu zilikuwa "live" kabisa pale lakini alipodondoka Rais wetu wakahamishia kamera zao mbali kwenye umati utadhani aliyedondoka ni Makamba au Msekwa kwa "uzee"!
Pengine swaumu au?
Halafu John Komba pamoja na unene, sukari na presha alionayo na mihangaiko yooote kwenye lile lori la TOT yeye haanguki! Kikwete wetu kuna kitu kinamsumbua ambacho ipo siku kitasemwa tu. Mwambieni Mtikila aende mahakamani. Afya ya JK, kwa mujibu wa KATIBA yetu ya JMT, inamwondolea sifa kuendelea kuwa Rais wetu.Kiongozi mi nilicamp kabisa nikasahau kwa muda bia yangu lakini nikaishia kuona TOT na wanachi tu.....:confused2: