Kikuu vs AliExpress

Kikuu vs AliExpress

Kaka naimani utakapokuwa umelipa Kodi ya pale posta ndio inakuwa umemaliza kila kitu,,,na kwa upande mwingine kwa ufahamu wangu Hawa wanaotransport naimani wanakuwaga tayari washalipia Kodi wakati wana import bidhaa ulioagiza.
Nashukuru l,,,ufahamu wangu ndio huo Ila kwa maelekezo zaidi mcheki pm mwl rtc
Mkuu, hapo kwenye Kodi ukiondoa hayo malipo vipi kuhusu Kodi za TRA hasa Kama nikiagiza laptop au simu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona nirahisi tu kaka,unatakiwa unachukua namba ya order yako/order namba alafu unaenda kwenye hiyo site ya 17track utakuta kunasehemu inakuomba ujaze hiyo order namba unajaza hapo alafu kitatokea sehemu moja kwa chini imeandikwa Track utaiclick Kisha utapata taarifa za mzigo wako bila wasi wasi Kaka
Kama utakuwa hujaelewa vyema njoo PM
Inog01
Sci_fimovies
Mwl.RCT
kamati yamaamuzi magumu
[USER=458912]mkuu mimi
..

Na wengne wote kwanza asantenii...

Naomba mnieleweshe
Hii tracking number na jisni ya ku track,
Ni nini na inakuwajee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna tofauti kubwa sana kati ya Kikuu na Aliexpress.

Huduma kwa wateja

Aliexpress wana huduma bora sana kwa wateja, kuanzia kuhakikisha ubora wa bidhaa, usalama wa pesa zako na hata kurudishiwa pesa zako, kitu ambacho ni tofauti sana na Kikuu.

Ufikishwaji wa mizigo

Aliexpress mzigo unafika hadi posta ya mwisho wa wilaya yako, na unaweza kuj track mzigo wako baada ya siku 5 hadi 10

Usalama wa pesa zako

Ukinunua kitu aliexpress, pesa zote huwa zinakuwa chini ya aliexpress mwenyewe, na muuzaji atapewa pesa pale tu utakapothibitisha kupokea mzigo wako na kiridhika nao, vinginevyo aliexpress atakurudishia pesa zako

Refunding process

Aliexpress refunding yao ni ya uhakika na ya haraka zaidi, pesa zinarudishwa kwenye account hako ndani ya muda mchache sana.

Karibu sana mkuu
NAOMBA KUJUA JINSI YA KUNUNUA KITU ONLINE KUPITIA ALIEXPRESS....NI TARATIBU GANI ZA KUZIFUATA? MAANA NATAMANI SANA KUNUNUA VITU HUKO ILA SIJUI NJIA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakikisha una app yao,,,mbili una MasterCard ambayo inauwezo wakufanyà online payment either ukasajili kwa mpesa/Airtel MasterCard au kwa kadi ya benki ukiwa navyo hivyo vitu ni rahisi tu,,,njoo nikuelekeze swaiba
NAOMBA KUJUA JINSI YA KUNUNUA KITU ONLINE KUPITIA ALIEXPRESS....NI TARATIBU GANI ZA KUZIFUATA? MAANA NATAMANI SANA KUNUNUA VITU HUKO ILA SIJUI NJIA

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona nirahisi tu kaka,unatakiwa unachukua namba ya order yako/order namba alafu unaenda kwenye hiyo site ya 17track utakuta kunasehemu inakuomba ujaze hiyo order namba unajaza hapo alafu kitatokea sehemu moja kwa chini imeandikwa Track utaiclick Kisha utapata taarifa za mzigo wako bila wasi wasi Kaka
Kama utakuwa hujaelewa vyema njoo PM

Sent using Jamii Forums mobile app
1.Mkuu sio oreder number inayotumika. Inayotumika ni tracking number.
2. Mbali na 17track,kuna hi inaitwa cainiao global order tracking. Ni nzuri Sana na inakupa uchambuzi kwa kina.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilinunua kikuu simu samsung ni fake
Haiwaki
Nifanyaje wananizingua ata ku return
Ni sehemu gan nnaweza nkapata msaada wa kisheria katika izi organization za serikali

Sent using Jamii Forums mobile app
wewe hapo umeshazurumiwa tu.. kuwa mpole chukua kama somo ilo na wakati mwingine ukitaka kununua bidhaa inayozidi 30k tumia Ali express na platform nyingine ambazo ni safe
 
Mfano mimi natumia sanduku la posta la company, mzigo ukija itakuwaje
- Inashauriwa uwe na sanduku la posta ili kuepuka usumbufu unaoweza kujitokeza au kupoteza mzigo wako.
- Wapo waliopokea mzigo kwa kuweka tu namba ya simu/ jina la wilaya yake/ mkoa - Ila sio njia ya sahihi na aishauriwi kabisa LBDA kama unatumia huduma ya EMS hapo ondoa shaka.
- Pia iwapo utatumia njia za haraka za usafirishaji kama DHL hapo sanduku la posta halihitajiki, ni physical address yako na namba ya simu inatosha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mfano mimi natumia sanduku la posta la company, mzigo ukija itakuwaje

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukifika posta utataarifiwa ukauchukue mizigo wako ndugu.
Watakutafuta kupitia namba ya simu uliyoandika kwenye shipping address yako.
Sanduku la posta la company yako ni njia tu ya mzigo kukufikia wewe na sio kwamba mzigo wako watapewa viongozi wa company yako ili wakuletee.
Posta watakutafuta wewe binafsi kupitia namba zako.

Nimekujibu kwa uzoefu mdogo nilionao.
Wengine wataongezea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kikuu ni bora
huwezifananisha Kikuu na Aliexpress hata siku moja (kuanzia wingi wa bidhaa, unafuu wa bidhaa, usalama wa wallet, refunding policies ) , rejea comment #8 au post za Mwl RCT ndio utaelewa vizuri

na kuhusu kuwahi au kuchelewa hakuna iliyo bora kuliko mwenzake , unless uwe unatumia njia za express ( dhl, fedex, tnt, usps)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wewe hapo umeshazurumiwa tu.. kuwa mpole chukua kama somo ilo na wakati mwingine ukitaka kununua bidhaa inayozidi 30k tumia Ali express na platform nyingine ambazo ni safe
Aisee
 
Mimi nakushauri Kikuu,kwanza kikuu hawana mambo mengi muhimu no yako ya simu ,email adress yako na eneo unaloishi.wao watakuletea bidhaa yako uloagiza mpaka nyumbani kwako tofauti na hao wengine eti mpaka uende posta au sijui wapi!tena uzuri wa kikuu unalipa kwa mitandao tu kama tigo pesa na mitandao mingine,ila shida yao mzigo unachelewa uwe mvumilivu.
Ali express nakushauri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ali express wako vizuri sana ... Nawasifia coz nishawahi agiza bidhaa na ilipofika huwa wanahitaji mrejesho wa iyo bidhaa na ata ikichelewa kwa mda walioahidi wanabaraza la kusuluhisha migogoro ata pale unapouziwa bidhaa mbovu unarudisha na wanakupa nyngne au wanakupa hela
Kingine, nacho kipenda kwa Ali express ina bidhaa nyingi sana kutoka kila kona ya europe na Asia mpk America... Na uzuri wao wana kuwa na store nyng zinayoifanya iwe na bidhaa zote mfno; kikuu ukitaka shoe roller hupati ila ukiingia ali unakutana nazo tena high quality na kwa bei anayotaka mteja
TOFAUTI ZAO: Ali express anauza bidhaa za electronics kwa wingi kama kamera, simu, laptop na vingne kwa bei chee WHILE kikuu anauza vifaa vya urembo kwa wingi sana asa vya wanawake kuliko wanaume kama nguo, makeup na kadharika
ALI EXPRESS anauza kwa kutumia Visa na master cards WHILE KKuu anatumia Local purchasing systems kama mpesa, paypal, tigopesa na izo Visa card
Nadhani mkuu umepata Elimu tosha......


Yap kuna bidhaa kama charging board za lithium battery , sijui amplifiers , speakers zipo kwa wingi sana huko na ndo vitu naeza oda ila kikuu hakuna anaeuza hivo vitu thou kwa sasa kikuu ni rahisi
 
Back
Top Bottom