Kikuu vs AliExpress

Kikuu vs AliExpress

Mkuu nakubaliana na wewe Alliexpress wako vizuri binafsi nimekuwa nikiwatumia kuagiza vitu kadhaa toka mwaka japo sina sanduku la posta nilikuwa naandika tu sehem nilipo ,mizigo ikifika napigiwa simu na wahudumu wa posta naenda kuchukua mzigo.Lakin hivi karibuni nimekuja kuhisi inawezekana kuna matapeli pia kwa sababu kuna mzigo niliagiza,yule seller akaniomba nimtumie Address nikamwambia atumie ile iliyopo kwenye profile yangu tukakubaliana,kweli mzigo nikitrack ulikuwa unaonyesha umekuwa shipped ,Mara baadaye naona inaonyesha umerudi nikawauliza vipi ,wakaniambia sijui transporter wao kasema Address haijakamilika mzigo hauwezi fika ,wakati mizigo niliyoagiza kwa wakati mmoja japo seller tofauti kwa anuani ile ile ilifika kwa wakati.Nikamtumia anuani ya Sanduku la posta kabsa la rafiki yangu mpaka Leo kimya toka August. Halafu nikiangalia kule kwa ktrack inaonekana delivery successfully, Wale jamaa na hisi wamenipiga maana Hela hazijarudi .Nimesitisha kuagiza mizigo mpaka nifungue sanduku la barua kabsa.
Kuna tofauti kubwa sana kati ya Kikuu na Aliexpress.

Huduma kwa wateja

Aliexpress wana huduma bora sana kwa wateja, kuanzia kuhakikisha ubora wa bidhaa, usalama wa pesa zako na hata kurudishiwa pesa zako, kitu ambacho ni tofauti sana na Kikuu.

Ufikishwaji wa mizigo

Aliexpress mzigo unafika hadi posta ya mwisho wa wilaya yako, na unaweza kuj track mzigo wako baada ya siku 5 hadi 10

Usalama wa pesa zako

Ukinunua kitu aliexpress, pesa zote huwa zinakuwa chini ya aliexpress mwenyewe, na muuzaji atapewa pesa pale tu utakapothibitisha kupokea mzigo wako na kiridhika nao, vinginevyo aliexpress atakurudishia pesa zako

Refunding process

Aliexpress refunding yao ni ya uhakika na ya haraka zaidi, pesa zinarudishwa kwenye account hako ndani ya muda mchache sana.

Karibu sana mkuu
 
Duh pole ndugu na ulishajaribu kuwa kazia kuhusu refund wakagoma
Mkuu nakubaliana na wewe Alliexpress wako vizuri binafsi nimekuwa nikiwatumia kuagiza vitu kadhaa toka mwaka japo sina sanduku la posta nilikuwa naandika tu sehem nilipo ,mizigo ikifika napigiwa simu na wahudumu wa posta naenda kuchukua mzigo.Lakin hivi karibuni nimekuja kuhisi inawezekana kuna matapeli pia kwa sababu kuna mzigo niliagiza,yule seller akaniomba nimtumie Address nikamwambia atumie ile iliyopo kwenye profile yangu tukakubaliana,kweli mzigo nikitrack ulikuwa unaonyesha umekuwa shipped ,Mara baadaye naona inaonyesha umerudi nikawauliza vipi ,wakaniambia sijui transporter wao kasema Address haijakamilika mzigo hauwezi fika ,wakati mizigo niliyoagiza kwa wakati mmoja japo seller tofauti kwa anuani ile ile ilifika kwa wakati.Nikamtumia anuani ya Sanduku la posta kabsa la rafiki yangu mpaka Leo kimya toka August. Halafu nikiangalia kule kwa ktrack inaonekana delivery successfully, Wale jamaa na hisi wamenipiga maana Hela hazijarudi .Nimesitisha kuagiza mizigo mpaka nifungue sanduku la barua kabsa.
 
Sijachunguza saana maana nimeanza kuagiza juzi tu hapa ngoja nifatilie ntakupa majibu
Changamoto ni kwamba kupitia app yao sikuona mahali ambapo naweza contacts na Alliexpress moja kwa moja.
Kama unafahamu tusaidiane itafaa hata kwa siku nyingine
 
Sawa kaka
- Fika posta iliyokaribu nawe, utapewa maelekzo ya nini na nini kinahitajika.
- Utapewa fomu na kujaza.
- Utalipia kiasi kidogo utakachoambiwa kulipia.

Then kila mwaka utakuwa unalipia ili uendelee kumiliki hilo sanduku lako la posta.
 
Changamoto ni kwamba kupitia app yao sikuona mahali ambapo naweza contacts na Alliexpress moja kwa moja.
Kama unafahamu tusaidiane itafaa hata kwa siku nyingine
Kama ni mawasiliano na Aliexpress Ukifungua App nenda Account then shuka chini kabisa utaona option ya Help Center.


Kama ni mawasiliano na Seller katika kila bidhaa ipo option ya Contact Seller.
 
Kumbe hata AliExpress waajabu mzigo asaivi umemaliZa siku 19 na haujafika mzigo wenyewe sio kusema wa hela ndogo Dola 20 naa
 
Hapa nimepokea memory zangu za GB 16 zote mbili na flash Toshiba 2 gb 32 na smart watch na simu dogee x50 saaafi Ali express is the best na huo juu ni ujumbe Wa Posta kukutaarifu ukachukue mzigo wako. Mzigo inafika fresh japo sometimes inachelewa.
Chini kabisa lens ya camera ipo njian na jins unavyofatilia mzigo wako.
 

Attachments

  • Screenshot_2019-12-19-23-24-19.png
    Screenshot_2019-12-19-23-24-19.png
    68.1 KB · Views: 15
  • IMG_20191119_163626.jpg
    IMG_20191119_163626.jpg
    150.3 KB · Views: 16
  • ae_1576655069102.jpg
    ae_1576655069102.jpg
    16.3 KB · Views: 16
  • Screenshot_2019-12-19-23-33-38.png
    Screenshot_2019-12-19-23-33-38.png
    18.2 KB · Views: 14
  • Screenshot_2019-12-19-23-33-21.png
    Screenshot_2019-12-19-23-33-21.png
    16.9 KB · Views: 12
  • IMG_20191119_163655.jpg
    IMG_20191119_163655.jpg
    108.7 KB · Views: 11
  • IMG_20191202_122553.jpg
    IMG_20191202_122553.jpg
    123.7 KB · Views: 14
Ouk sawa kamanda ngoja tuwe wavumilivu tu
Hapa nimepokea memory zangu za GB 16 zote mbili na flash Toshiba 2 gb 32 na smart watch na simu dogee x50 saaafi Ali express is the best na huo juu ni ujumbe Wa Posta kukutaarifu ukachukue mzigo wako. Mzigo inafika fresh japo sometimes inachelewa.
Chini kabisa lens ya camera ipo njian na jins unavyofatilia mzigo wako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kumbe Bora kikuu katika swala la kuwahi,maaana kipindi naagizia kupitia kikuu haijawahi zidi siku 20 mzigo umenifikia ndugu


Sent using Jamii Forums mobile app

huwezifananisha Kikuu na Aliexpress hata siku moja (kuanzia wingi wa bidhaa, unafuu wa bidhaa, usalama wa wallet, refunding policies ) , rejea comment #8 au post za Mwl RCT ndio utaelewa vizuri

na kuhusu kuwahi au kuchelewa hakuna iliyo bora kuliko mwenzake , unless uwe unatumia njia za express ( dhl, fedex, tnt, usps)
 
Duh,ok swaibaa
huwezifananisha Kikuu na Aliexpress hata siku moja (kuanzia wingi wa bidhaa, unafuu wa bidhaa, usalama wa wallet, refunding policies ) , rejea comment #8 au post za Mwl RCT ndio utaelewa vizuri

na kuhusu kuwahi au kuchelewa hakuna iliyo bora kuliko mwenzake , unless uwe unatumia njia za express ( dhl, fedex, tnt, usps)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu nimekwama,
Unalipiaje kwa mpesa Mastercard?
 
Back
Top Bottom