Sci_fimovies
Member
- Sep 15, 2019
- 43
- 98
Hahahhhaah 


Finally nimewin battle mpk kaamua kusurrender



Finally nimewin battle mpk kaamua kusurrender



Kuna tofauti kubwa sana kati ya Kikuu na Aliexpress.
Huduma kwa wateja
Aliexpress wana huduma bora sana kwa wateja, kuanzia kuhakikisha ubora wa bidhaa, usalama wa pesa zako na hata kurudishiwa pesa zako, kitu ambacho ni tofauti sana na Kikuu.
Ufikishwaji wa mizigo
Aliexpress mzigo unafika hadi posta ya mwisho wa wilaya yako, na unaweza kuj track mzigo wako baada ya siku 5 hadi 10
Usalama wa pesa zako
Ukinunua kitu aliexpress, pesa zote huwa zinakuwa chini ya aliexpress mwenyewe, na muuzaji atapewa pesa pale tu utakapothibitisha kupokea mzigo wako na kiridhika nao, vinginevyo aliexpress atakurudishia pesa zako
Refunding process
Aliexpress refunding yao ni ya uhakika na ya haraka zaidi, pesa zinarudishwa kwenye account hako ndani ya muda mchache sana.
Karibu sana mkuu


Kupitia ubishi huu na majibizano najifunza kitu
Mkuu nakubaliana na wewe Alliexpress wako vizuri binafsi nimekuwa nikiwatumia kuagiza vitu kadhaa toka mwaka japo sina sanduku la posta nilikuwa naandika tu sehem nilipo ,mizigo ikifika napigiwa simu na wahudumu wa posta naenda kuchukua mzigo.Lakin hivi karibuni nimekuja kuhisi inawezekana kuna matapeli pia kwa sababu kuna mzigo niliagiza,yule seller akaniomba nimtumie Address nikamwambia atumie ile iliyopo kwenye profile yangu tukakubaliana,kweli mzigo nikitrack ulikuwa unaonyesha umekuwa shipped ,Mara baadaye naona inaonyesha umerudi nikawauliza vipi ,wakaniambia sijui transporter wao kasema Address haijakamilika mzigo hauwezi fika ,wakati mizigo niliyoagiza kwa wakati mmoja japo seller tofauti kwa anuani ile ile ilifika kwa wakati.Nikamtumia anuani ya Sanduku la posta kabsa la rafiki yangu mpaka Leo kimya toka August. Halafu nikiangalia kule kwa ktrack inaonekana delivery successfully, Wale jamaa na hisi wamenipiga maana Hela hazijarudi .Nimesitisha kuagiza mizigo mpaka nifungue sanduku la barua kabsa.
Yani mkuu bora uzi wako ungekuwa unaomba muongozo kwa Kikuu.
Aliexpress ni level nyingine. Kikuu bado sana.
Changamoto ni kwamba kupitia app yao sikuona mahali ambapo naweza contacts na Alliexpress moja kwa moja.Duh pole ndugu na ulishajaribu kuwa kazia kuhusu refund wakagoma
Changamoto ni kwamba kupitia app yao sikuona mahali ambapo naweza contacts na Alliexpress moja kwa moja.
Kama unafahamu tusaidiane itafaa hata kwa siku nyingine
- Fika posta iliyokaribu nawe, utapewa maelekzo ya nini na nini kinahitajika.
- Utapewa fomu na kujaza.
- Utalipia kiasi kidogo utakachoambiwa kulipia.
Then kila mwaka utakuwa unalipia ili uendelee kumiliki hilo sanduku lako la posta.
Kama ni mawasiliano na Aliexpress Ukifungua App nenda Account then shuka chini kabisa utaona option ya Help Center.Changamoto ni kwamba kupitia app yao sikuona mahali ambapo naweza contacts na Alliexpress moja kwa moja.
Kama unafahamu tusaidiane itafaa hata kwa siku nyingine


Kama ni mawasiliano na Aliexpress Ukifungua App nenda Account then shuka chini kabisa utaona option ya Help Center.
Kama ni mawasiliano na Seller katika kila bidhaa ipo option ya Contact Seller.

Siku 19 tu mda mwingne mpaka wiki 6 lakin unafikaKumbe hata AliExpress waajabu mzigo asaivi umemaliZa siku 19 na haujafika mzigo wenyewe sio kusema wa hela ndogo Dola 20 naa![]()
Siku 19 tu mda mwingne mpaka wiki 6 lakin unafika
Hapa nimepokea memory zangu za GB 16 zote mbili na flash Toshiba 2 gb 32 na smart watch na simu dogee x50 saaafi Ali express is the best na huo juu ni ujumbe Wa Posta kukutaarifu ukachukue mzigo wako. Mzigo inafika fresh japo sometimes inachelewa.
Chini kabisa lens ya camera ipo njian na jins unavyofatilia mzigo wako.
Sasa kumbe Bora kikuu katika swala la kuwahi,maaana kipindi naagizia kupitia kikuu haijawahi zidi siku 20 mzigo umenifikia ndugu
Sent using Jamii Forums mobile app
huwezifananisha Kikuu na Aliexpress hata siku moja (kuanzia wingi wa bidhaa, unafuu wa bidhaa, usalama wa wallet, refunding policies ) , rejea comment #8 au post za Mwl RCT ndio utaelewa vizuri
na kuhusu kuwahi au kuchelewa hakuna iliyo bora kuliko mwenzake , unless uwe unatumia njia za express ( dhl, fedex, tnt, usps)
umeipata na hii soap mould?AliExpress wako vizuri..niliagiza closure na vifaa vya kutengenezea wigs vimefika vyote Tena bila longolongo..Sasa hivi nimeagiza soap mould najua hawataniangusha..nakushauri tumia AliExpress mkuu