Mkuu samahani;kuna decoder nimeona AliExpress inauzwa 180'000;Je,nikiiagiza Kwa hiyo bei yao ikifika Tanzania kuna gharama nyingine zinaongezeka mf.Kodi,delivery fee nk.kuendana na uzoefu wako?sijawahi kutumia kikuu, huwa natumia aliepress na vitu vinanifigiaga wilayani kabisa.
Vitu unavifuata posta na mzigo unaweza kutrack kwa kutumia website ya posta tz pia.
ila kwa kuitazama website ya kikuu wanafanya dropshing kwa aliexpress.
Nunua vitu pia kwa aliexpress, then utapata experience ya kipi bora.