Kikuu vs AliExpress

sijawahi kutumia kikuu, huwa natumia aliepress na vitu vinanifigiaga wilayani kabisa.

Vitu unavifuata posta na mzigo unaweza kutrack kwa kutumia website ya posta tz pia.

ila kwa kuitazama website ya kikuu wanafanya dropshing kwa aliexpress.

Nunua vitu pia kwa aliexpress, then utapata experience ya kipi bora.
Mkuu samahani;kuna decoder nimeona AliExpress inauzwa 180'000;Je,nikiiagiza Kwa hiyo bei yao ikifika Tanzania kuna gharama nyingine zinaongezeka mf.Kodi,delivery fee nk.kuendana na uzoefu wako?
 
Mimi sielewi kwanini Silent ocean hawataki kucapitalise kwenye hii,wakawa shipping agency kudeal na hata hii mizigo Kama single item,wao wanadharau kuwa ni mzigo mdogo haulipi,lakini kwa mfano Kama Alibaba wangedharau kufanya biashara za single item etc sidhani Kama Leo kungekuwa na AliExpress
 
Mara baadaye naona inaonyesha umerudi nikawauliza vipi ,wakaniambia sijui transporter wao kasema Address haijakamilika mzigo hauwezi fika ,wakati mizigo niliyoagiza kwa wakati mmoja japo seller tofauti kwa anuani ile ile ilifika kwa wakati.
- Wakati mwingine Iwapo seller anatoa majibu yasio eleweka.
- Wasiliana na aliexpress customer care moja kwa moja, na fedha yako hurudishwa kwenye kadi husika, na unaachana na seller huyo.

Kosa ulilofanya ni kutowasiliana na aliexpress direct na badala yake ukaendelea kusumbuana na muuzaji.
 
Mimi sielewi kwanini Silent ocean hawataki kucapitalise kwenye hii,wakawa shipping agency kudeal na hata hii mizigo Kama single item,wao wanadharau kuwa ni mzigo mdogo haulipi,
- Nadhani ni vyema kuwasiliana nao.
- Wao wapo ili kutoa huduma ya usafirishaji.
- Watakupa utaratibu kwa item moja moja uko vipi na kama hawatoi huduma basi watakupa sababu na please share nasi hizo sababu ili tuweze kujifunza.
- Ila pia kuna hii huduma hapa www.bit.ly/101buy4me inakidhi mahitaji ya aina zote za mizigo

Karibu
 
Wakuu nimekwama,
Unalipiaje kwa mpesa Mastercard?
#1. Jifunze basics za manunuzi mtandaoni kupitia hapa:
#2. Ingia hapa na fuata taratibu ili kuanza kutumia mpesa:
Tazama video waliyokuwekea kwenye huo ukurasa​
#3. Ukikwa mahala basi rejea kwenye huu mjadala na weka swali lako.
 
Huu uzi ungekuja siku kadhaa nyuma ungesaidia sana najuta kufanya shopping Kikuu i swear sitorudia tena kikuu.

Jamaa zangu walinijaza nikajaa kumbe wao wamezoea kuagiza flash disk moja na wanaishi Mikoani hawajui ata bei ya bidhaa kariakoo na quality zake.

Nlifanya shopping kubwa baada ya kuona Tshirts bei chee elfu 8, 9, 12 nikajuwa ni quality Tshirts afu kibaya sikuwa na App nlishop kwa website yao.

Wazee unaagiza Tshirts XXL inakuja ya mwanangu wa miaka 5 wase*ng sana Kikuu alafu nguo zao zote ni transparency yani km leso tuu nyepesi sijaona.

Usinunue kitu kikuu kwa kuangalia picha download app soma reviews lakini still i don't recommend them.

Ofisi yenyewe imekaa kitapeli tapeli tuu na wasi wasi ata refund yangu naweza nisiipate wameniambia baada ya week 2 fucking shits nalipa cash afu mnanirudushia hela yangu baada ya week 2 kuna supplier mmoja alikataa return ikabidi wafanye vipimo wamtumie.

Ata viatu ukinunua sori ya bigijii ukikanyaga mwiba au chupa inachanika ubora wa bidhaa Kikuu ni terrible, customer service terrible, time delivery terrible sijaridhishwa kabisa na huduma zao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu uzi ungekuja siku kadhaa nyuma ungesaidia sana najuta kufanya shopping Kikuu i swear sitorudia tena kikuu.

Jamaa zangu walinijaza nikajaa kumbe wao wamezoea kuagiza flash disk moja na wanaishi Mikoani hawajui ata bei ya bidhaa kariakoo na quality zake.

Nlifanya shopping kubwa baada ya kuona Tshirts bei chee elfu 8, 9, 12 nikajuwa ni quality Tshirts afu kibaya sikuwa na App nlishop kwa website yao.

Wazee unaagiza Tshirts XXL inakuja ya mwanangu wa miaka 5 wase*ng sana Kikuu alafu nguo zao zote ni transparency yani km leso tuu nyepesi sijaona.

Usinunue kitu kikuu kwa kuangalia picha download app soma reviews lakini still i don't recommend them.

Ofisi yenyewe imekaa kitapeli tapeli tuu na wasi wasi ata refund yangu naweza nisiipate wameniambia baada ya week 2 fucking shits nalipa cash afu mnanirudushia hela yangu baada ya week 2 kuna supplier mmoja alikataa return ikabidi wafanye vipimo wamtumie.

Ata viatu ukinunua sori ya bigijii ukikanyaga mwiba au chupa inachanika ubora wa bidhaa Kikuu ni terrible, customer service terrible, time delivery terrible sijaridhishwa kabisa na huduma zao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wameshaniliza hao miez miwili iliyopita; lakn mapungufu yangu yalikuwa kwenye kutofanya research ya kutosha kuwahusu but now nimekuwa makini kidogo
 
Wameshaniliza hao miez miwili iliyopita; lakn mapungufu yangu yalikuwa kwenye kutofanya research ya kutosha kuwahusu but now nimekuwa makini kidogo
Walikulizaje man share ya experience tujifunze humu ?
Ila haya mambo ya online kama huna uzoefu nayo na hufanyi research utauumia.

Sister angu ndo alinijaza ujinga baada ya kuagiza toy la mtoto likafika akaniambia waminifu hakuangalia vitu vingine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu samahani;kuna decoder nimeona AliExpress inauzwa 180'000;Je,nikiiagiza Kwa hiyo bei yao ikifika Tanzania kuna gharama nyingine zinaongezeka mf.Kodi,delivery fee nk.kuendana na uzoefu wako?
Siku hizi posta wanacharge 2350, kuhusu kodi sijawahi kukutana nalo kabisa.

Ukiagiza chagua shiping ya aliexpress standard shiping ukitumia china post inabidi uwe mvumulivu aiseeh.
 
Aliexpress...ndo nmeagiza mzigo natarajia..kupokea soon..nikiupata bila ttzo lolote ntakupa mrejesho..sema shida iliyopo mzigo unachukua siku nyingi kufika.
Kina wabebaji wengi.mara nyingi wauzaji hutoa free shipping kwa kukusafirishia kwa kampuni yenye kuchukua muda mrefu...fanya katika kupress order ubadilishe msafirishaji utumie AliExpress standard shipping huchukua siku 7-14 lakini utachangia kiasi kidogo cha usafirishaji.Seller hutumia free shipping kwa Carrie shipping method hasa China Post hapo subiri siku 30-45.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
#1. Jifunze basics za manunuzi mtandaoni kupitia hapa:
#2. Ingia hapa na fuata taratibu ili kuanza kutumia mpesa:
Tazama video waliyokuwekea kwenye huo ukurasa​
#3. Ukikwa mahala basi rejea kwenye huu mjadala na weka swali lako.
Mzee baba imeshindikana kabisa. Kila nikijaribu hali ni ile ile.

Nimejaribu pia kucancel ile card ya mwanzo alaf nikatengeza ingine, lakn hali ni moja.

Nashukuru kwa maelezo yako.

Nafikiria sasa kwenda voda kuwahoji..

Pa1...
Screenshot_20191221-150633_AliExpress.jpg


Sent from my SM-A107F using Tapatalk
 
Back
Top Bottom