Kikuu vs AliExpress

Kikuu vs AliExpress

Mkuu unachukulia posta wapi..?

Mimi sina uzoefu kabisa nasijui hata nianzie wapi..
Unachukulia posta(Post office) watakutumia message ya kukupa taarifa na kodi ya kulipia ambayo utalipia benki ya CRDB watakupa meseji kama hii
Screenshot_20191123-081330~2.jpeg
 
Aliexpperss imekuja juzi tu apa na ww wasema miaka 10
Zaidi ya miaka 10 natumia huduma za shirika la Posta Tanzania.

Sijazungumzia miaka kumi ya aliexpress

NDIO SABABU NIKAKUULIZA HAPO JUU JE UNAZOMA NENO KWA NENO NA KUELEWA KILE MTUA AMEANDIKA??????

KUHUSU ALIEXPRESS SASA
- Nimesha fanya order zaidi ya 600
- Asilimia 99 ya bidhaa zote zinakuja kwa njia ya posta
1574487078541.png


Hapo sijazungumzia mitandao mingine ambayo pia bidhaa zangu huja kwa njia ya Posta

Ingia kwenye huu uzi wangu: Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

Ninatoa huduma ya MANUNUZI NA USAFIRISHAJI worldwide.
Nina center za kupokelea mizigo kwenye nchi 30 duniani - Na njia ya posta ndio hupendelewa zaidi na wateja wangu sababu ya unafuu wa gharama.

Hivyo nafahamu fika nini na nini kinatakiwa ili ufurahie huduma za posta.

Karibu
 
Zaidi ya miaka 10 natumia huduma za shirika la Posta Tanzania.

Sijazungumzia miaka kumi ya aliexpress

NDIO SABABU NIKAKUULIZA HAPO JUU JE UNAZOMA NENO KWA NENO NA KUELEWA KILE MTUA AMEANDIKA??????
NIMEZOMA kaka


Posta mtabakia wazee tu kumiliki (jokes)... Asilimia kubwa ya wenye masanduku ni wazee
vijana wachache sana ......
Ila Hongera mkuu ata mi pia ipo siku ntafungua
 
Asilimia kubwa ya wenye masanduku ni wazee
vijana wachache sana
Ndugu, Hiki ulichokiandika inanipa majibu haya
- Upeo wako bado ni mdogo
- Hufahamu umuhimu wa kuwa na sanduku la posta hadi sasa.

Kiufupi ni muhimu kuwa na sanduku lako la posta hata kama hutumii kwa manunuzi mtandaoni.

Nakupa mfano rahisi
- Huwezi kufungua kampuni Tanzania bila ya kuwa na sanduku lako posta.

Hitimisho
- Tumia muda kujifunza zaidi hapa Jamiiforums utajua mengi na utafunguka zaidi kimawazo na kimtazamo.
- Pitia tena huu uzi www.bit.ly/101buy4me soma post ya kwanza tu, Utaelewa nini hasa namaanisha.
- hatuko hapa Jamiifirums kubishana kuonyeshana ujuaji au kuleta dharau - Haya yote hayajengi na hayana faida.

Nakutakia siku njema na hii ni Post yangu ya mwisho kwenye huu uzi, kukujibu wewe.
 
Hapo nimekupata mkuu Ila kinautaratibu gani naweza kuutumia niweze Sajili sanduku langu la posta
- Inashauriwa uwe na sanduku la posta ili kuepuka usumbufu unaoweza kujitokeza au kupoteza mzigo wako.
- Wapo waliopokea mzigo kwa kuweka tu namba ya simu/ jina la wilaya yake/ mkoa - Ila sio njia ya sahihi na aishauriwi kabisa LBDA kama unatumia huduma ya EMS hapo ondoa shaka.
- Pia iwapo utatumia njia za haraka za usafirishaji kama DHL hapo sanduku la posta halihitajiki, ni physical address yako na namba ya simu inatosha.
 
Bro nimekuelewa
Ndugu, Hiki ulichokiandika inanipa majibu haya
- Upeo wako bado ni mdogo
- Hufahamu umuhimu wa kuwa na sanduku la posta hadi sasa.

Kiufupi ni muhimu kuwa na sanduku lako la posta hata kama hutumii kwa manunuzi mtandaoni.

Nakupa mfano rahisi
- Huwezi kufungua kampuni Tanzania bila ya kuwa na sanduku lako posta.

Hitimisho
- Tumia muda kujifunza zaidi hapa Jamiiforums utajua mengi na utafunguka zaidi kimawazo na kimtazamo.
- Pitia tena huu uzi www.bit.ly/101buy4me soma post ya kwanza tu, Utaelewa nini hasa namaanisha.
- hatuko hapa Jamiifirums kubishana kuonyeshana ujuaji au kuleta dharau - Haya yote hayajengi na hayana faida.

Nakutakia siku njema na hii ni Post yangu ya mwisho kwenye huu uzi, kukujibu wewe.
 
Ndugu, Hiki ulichokiandika inanipa majibu haya
- Upeo wako bado ni mdogo
- Hufahamu umuhimu wa kuwa na sanduku la posta hadi sasa.

Kiufupi ni muhimu kuwa na sanduku lako la posta hata kama hutumii kwa manunuzi mtandaoni.

Nakupa mfano rahisi
- Huwezi kufungua kampuni Tanzania bila ya kuwa na sanduku lako posta.

Hitimisho
- Tumia muda kujifunza zaidi hapa Jamiiforums utajua mengi na utafunguka zaidi kimawazo na kimtazamo.
- Pitia tena huu uzi www.bit.ly/101buy4me soma post ya kwanza tu, Utaelewa nini hasa namaanisha.
- hatuko hapa Jamiifirums kubishana kuonyeshana ujuaji au kuleta dharau - Haya yote hayajengi na hayana faida.

Nakutakia siku njema na hii ni Post yangu ya mwisho kwenye huu uzi, kukujibu wewe.
Unajua nn ... Mwl ni kwel nina upeo mfupi.. Ndo maana natania na kukubishia ili ww mwenye upeo mkubwa ukasirike unipe ELIMU Ulonayo
Licha ya kuwa na upeo huu mdg niliandika apo juu kwenye mabano (Jokes kwa kiswahili Utani )
Ila nashkr Profesa mwenye upeo mkubwa ILA PUNGUZA KUJI JAMIIFAI KWAMBA UKIFUNGUA S.L.P UNAKUWA NA IQ KUBWA
 
Back
Top Bottom