Kikuu vs AliExpress

Kikuu vs AliExpress

KiKuu ni wapuuzi sana unaagiza kiatu size 43 wao wanakuletea 39 halafu wanabandika namba 43 pumbavu ha.ufikishwaji wa bidhaa hovyo, huduma kwa wateja mbovu....unaweza pick sandals za ngozi halafu wao wakakuletea yeboyebo(slipper) sina hamu nao

nishafutaga App yao kitambo......ila bidhaa zao ni affordable
Hahahhaaaa...umenimbumbusha kuna mshkaji alioda matairi ya alteza yake akaletewa vitairi vya matoi ya watoto....
 
Mkuu nataka kuagiza Nokia 2 aliexpress hatua gani nipitie?
Uwe na master card, visa card au m-pesa master card kwa ajili ya malipo.

Ingia aliexpress na ujisajili kutumia e-mail yako.

Anza kutafuta bidhaa unayoitaka yaani nokia 2.

Bonyeza button ya buy.

Itakuja page yenye sehemu ya kuweka information za card pamoja na shipping address.

Kwenye shiping address utaweka sanduku la posta au kama hauna unaweka jina la wilaya mkoa, cha msingi ni namba na majina yawe yale yaliyo kwenye vitambulisho vyako.

Kwa sababu posta watahitaji kitambulisho.

Baada ya hapo place order, baadae seller atakupa tracking namba kufuatilia mzigo umefikia wapi.

Unaweza tumia web ya 17track kufuatikia mzigo, zipo nyingi tovuti za namna hiyo.

Then vumilia kwa wastani itachukua wiki tatu ila kama utakuwa na haraka tumia dhl ila gharama zake si za kitoto.

Usisahau kucheki reviews kabla ya kununua
 
Uwe na master card, visa card au m-pesa master card kwa ajili ya malipo.

Ingia aliexpress na ujisajili kutumia e-mail yako.

Anza kutafuta bidhaa unayoitaka yaani nokia 2.

Bonyeza button ya buy.

Itakuja page yenye sehemu ya kuweka information za card pamoja na shipping address.

Kwenye shiping address utaweka sanduku la posta au kama hauna unaweka jina la wilaya mkoa, cha msingi ni namba na majina yawe yale yaliyo kwenye vitambulisho vyako.

Kwa sababu posta watahitaji kitambulisho.

Baada ya hapo place order, baadae seller atakupa tracking namba kufuatilia mzigo umefikia wapi.

Unaweza tumia web ya 17track kufuatikia mzigo, zipo nyingi tovuti za namna hiyo.

Then vumilia kwa wastani itachukua wiki tatu ila kama utakuwa na haraka tumia dhl ila gharama zake si za kitoto.

Usisahau kucheki reviews kabla ya kununua
Ahsante kwa ufafanuzi sijawahi kununua bidhaa mitandaoni juzi nikajaribu kuingia ALIBABA kununua bidhaa cha kushangaza bei ya bidhaa ni USD 11 shipping cost ni USD 117 mpaka Sasa hivi sijaelewa inakuwaje shipping ni gharama kiasi hicho
 
KiKuu ni wapuuzi sana unaagiza kiatu size 43 wao wanakuletea 39 halafu wanabandika namba 43 pumbavu ha.ufikishwaji wa bidhaa hovyo, huduma kwa wateja mbovu....unaweza pick sandals za ngozi halafu wao wakakuletea yeboyebo(slipper) sina hamu nao

nishafutaga App yao kitambo......ila bidhaa zao ni affordable
Nadhani tatizo ni hapo kwenye red.

Sawa umeagiza sandals za ngozi ila bei yake ni aghali. Ingawa kiungwana walipaswa kukwambia pesa yako haitoshi badala ya kukuletea yeboyebo.
 
Ahsante kwa ufafanuzi sijawahi kununua bidhaa mitandaoni juzi nikajaribu kuingia ALIBABA kununua bidhaa cha kushangaza bei ya bidhaa ni USD 11 shipping cost ni USD 117 mpaka Sasa hivi sijaelewa inakuwaje shipping ni gharama kiasi hicho
Shipping cost ni gharama hasa huko alibaba na sellers wengi huwa hawatumi kwa njia ya posta maana alibaba wanauzaga vitu vya jumla.

Njia nzuri ya kufikisha mzigo huku ni kutumia makampunj kama silent ocean au gsm cargo hucharge pesa kwa kupima kilo.
 
kamati yamaamuzi magumuu

Pole! Ebu achana na kikuu fasta kwasabb wao no machinga ndo wanauza vitu vyao ndo maaan wanauza vitu vidogo vidogo na wanababaisha pia hawako registered popote. AliExpress wao wako linked na posta za Tanzania kwahiyo kuna usalama. Sasa Kikuu wakipoteza mzigo wako itaenda kumdai Nani.
 
Hoa silent ocean na GSM cargo wanasafirisha na parcel au mpaka uwe na mzigo mkubwa na kwa sisi tunaogiza vitu vidogovidogo nji ipi unanishauri nitumie
Shipping cost ni gharama hasa huko alibaba na sellers wengi huwa hawatumi kwa njia ya posta maana alibaba wanauzaga vitu vya jumla.

Njia nzuri ya kufikisha mzigo huku ni kutumia makampunj kama silent ocean au gsm cargo hucharge pesa kwa kupima kilo.
 
Yani sawa na unafanisha Real Madrid na Yanga, its a joke.

Kwa kifupi kikuu ananunua vitu kutoka aliexpress kwa process inayoitwa "drop shipping".
Ouk Kaka nashukuru wacha nianze kutumia kikuu na unayoyasema yako sahihi maana Kuna baadhi ya vitu Kama simu na vingine havipatikani kikuu but vinapatika AliExpress hivyo AliExpress nimeikubali
 
Back
Top Bottom