wilson nisha
Member
- Mar 13, 2020
- 27
- 21
Jina langu naitwa #####, ni mkazi Wa Mbeya, kwasasa naishi mkoani Njombe taaluma yangu ni mwalimu.
ELIMU:
Nimesomea bachelor of arts with education Chuo kikuu cha Dodoma, na kuhitimu mwaka 2017. Literature in English na history kama masomo ya kufundishia.
UZOEFU;
nimefundisha kama mwalimu Wa kujitolea katika shule mbili tofauti mkoani Mbeya tangu mwaka 2017-mpaka sasa.
-nimefanya kazi kama volunteer pia na shirika la Raleigh international linalofadhiliwa na UK, makao yake yapo Morogoro
-kwasasa nasimamia shamba la parachichi mkoani Njombe
LENGO:
natafuta kazi ya kufundisha, sehemu yoyote hasa mikoa ya nyanda za juu kusini. Nitawasilisha Wasifu, na nyaraka zingine itakapotokea nafasi ya kazi.
MAWASILIANO;
Namba za simu,
0676775220
0767361063
ELIMU:
Nimesomea bachelor of arts with education Chuo kikuu cha Dodoma, na kuhitimu mwaka 2017. Literature in English na history kama masomo ya kufundishia.
UZOEFU;
nimefundisha kama mwalimu Wa kujitolea katika shule mbili tofauti mkoani Mbeya tangu mwaka 2017-mpaka sasa.
-nimefanya kazi kama volunteer pia na shirika la Raleigh international linalofadhiliwa na UK, makao yake yapo Morogoro
-kwasasa nasimamia shamba la parachichi mkoani Njombe
LENGO:
natafuta kazi ya kufundisha, sehemu yoyote hasa mikoa ya nyanda za juu kusini. Nitawasilisha Wasifu, na nyaraka zingine itakapotokea nafasi ya kazi.
MAWASILIANO;
Namba za simu,
0676775220
0767361063