Salaam Jukwaa hili pendwa la JF-ajira.
Ni miaka mitatu sasa tangu nimalize chuo kikuu X.
Nimejaribu kupeleka barua za maombi ya ajira shule binafs bila mafanikio yeyote.
Masomo yangu ni English &Literature.
Kwa moyo wa unyenyekevu kabisa naomba kama kuna atakayeguswa anitafutie konekshen either ya kufundisha ,au hata nyingine yyte kutegemea na elimu yangu,naweza pia kufanya kaz kama social worker.Jinsia yangu ni KE.
Karibu sana PM kwa maelezo zaidi na kwa mawasiliano ya karibu.
Uzoefu mwingine nje ya proffessional ni Sales&Marketing.(Ndani na Nje ya ofisi).
Kutafsiri lugha(Kiswahili-Kiingereza )
Natanguliza shukrani na Mungu akubariki.
Ni miaka mitatu sasa tangu nimalize chuo kikuu X.
Nimejaribu kupeleka barua za maombi ya ajira shule binafs bila mafanikio yeyote.
Masomo yangu ni English &Literature.
Kwa moyo wa unyenyekevu kabisa naomba kama kuna atakayeguswa anitafutie konekshen either ya kufundisha ,au hata nyingine yyte kutegemea na elimu yangu,naweza pia kufanya kaz kama social worker.Jinsia yangu ni KE.
Karibu sana PM kwa maelezo zaidi na kwa mawasiliano ya karibu.
Uzoefu mwingine nje ya proffessional ni Sales&Marketing.(Ndani na Nje ya ofisi).
Kutafsiri lugha(Kiswahili-Kiingereza )
Natanguliza shukrani na Mungu akubariki.