mjombakim
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 1,193
- 1,851
Aisee Mzee alikuwa na roho mbaya yuleKutoka lumumba buku7 , mataga, sukumer gang mpaka team kulialia...!! shikamoo bimkubwa nakusalimu katika jina la Jamhuri ya muunganiko
Ata sahaulika ndani ya mwezi tu!
Kwa tarifa yao Mama tunampa miaka 30 aongoze Jamuhuri na kazi ziendelee!