Kikulacho ki nguoni mwako, RIP Magufuli

Magufuli kwa tabia yake alizalisha wanafiki wengi, kumbuka binadamu yeyote anapenda kuwa salama na kuona mambo yake yakienda vizuri. Yeye alipenda kuona watu wanamtii kwa gharama yoyote. Huwezi jua Huyo mama pamoja na kuwa msaidizi wa raisi mawazo yake yalidharauliwa kwa kiasi gani.
 
Mleta mada acha utoto, natangukiza samahani, kama baba wa familia yako ni mara ngapi unafanya mambo ambayo mshauri wako ambae ni mkeo analazimika kufata japo amekushauri na bado ukafanya yako tu.at the end of the day huwezi kukubaliana na mtu 100% kwa kila kitu...kwa any intelligent mind, if given a 2nd chance to do something you will do it better ...haimaanishi unamponda alietangulia ila unakuwa umejifunza kutokana na experience na outcome ya maamuzi uliyoyafanya au ya aliekutangulia.

Hoja ziendelee.

#Ukinizingua......
Usifananishe uongozi wa nchi na wa familia ya mke na mume. Ni kama kutaka mbingu na ardhi zikutane.
 
Ni mambo ya kawaida. Hata Joe Biden ambaye alikuwa makamu wa raisi Obama ana sera zake mwenyewe tofauti na alizokuwa nazo Obama . Nyingi zinafanana lakini zingine zinatofautiana. Uraisi siyo ufalme ambao unamrithisha mwanao afanye yale uliyomfundisha. Na hata watoto wa wafalme mara nyingine wanaweza kufanya wanachotaka tofauti na walichofanya wazazi wao.
 
Ukipanda mbegu ya dharau na wewe utadharauliwa tu, alifurahia sana kudharau watangulizi wake ngoja na yeye yamkute huko huko kaburini
Huku mashuleni tunasubiri somo la uzalendo kama litakuwepo isijekuwa limemfuata mzalendo namba moja.
 
MATAGA sasa wamekuwa replaced na MATHA (Make Tanzania Happy Again). Wao walikuwa wauaji, sasa zile damu za watu hawapati tena na hivyo wamechanganyikiwa. Majini kabisa hawa!!!
Kutoka lumumba buku7 , mataga, sukumer gang mpaka team kulialia...!! shikamoo bimkubwa nakusalimu katika jina la Jamhuri ya muunganiko
 
Jpm alivyokua anamsema vibaya jk hukuona hilo.
Jpm lugha zake zilikua mbovu sana, mdini na mkabila
Ikiwa leo tunakamilisha siku 21 za maombolezo ya kifo cha Dkt Magufuli,naomba kaa kimya kwa sekunde kumi kumkumbuka na kumuombea makazi salama huko aliko.

Ahsante,Nianze ka kumpongeza Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania mama yetu ,Samia Suluhu kwa hotuba mzuri,hotuba iliyobeba matumaini kwa Watanzani.

Hotuba ya leo hakika imejaa faraja na imani kubwa kwa watanzani kwamba huyu mama atatufikisha nchi ya ahadi.

Katika Quraan sura ya 104(Surat Hummazah) aya ya kwanza ,Allah amewaonya walamba Visogo/Wasengenyaji "Backbiters".

Kifo cha Rais magufuli kimenifunza mambo mengi .Mosi Dunia ni mapito,tujitahidi kufanya mema kwa aiili ya baadae

Pili ,nimebaini Rais Magufuli alizungukwa na walamba visogo ,Watu ambao akiwa nao walikuwa wanamchekea akitoka wanamng'ong'a.

Hata Siku 21 za maombolezo hazijakamlika watu hao tyr wametanua makucha yao.

JPM alizungukwa na wasaidizi wanafiki.Makamu wa Rais ni mshauri namba moja wa Rais,kama Rais alisema jambo na ww ukachekelea ukaona linafaa leo hii hayupo unasema halifai ,ww tukuelewe vp?, Ni kama ulikuwa unasubir anguko lake ili umvue nguo hadharani.

Wakati mama anazungumzia miradi,kuna mahali alisema kuna miradi mingine ipo kwenye makaratasi sijui itawezekana ila nataka niione.Hivi alikuwa na maana gani?.

Afu akasema kuna Issue alikuwa anasolve baadae ikamshinda nguvu akaachana nayo.

Any way,naochotaka kusema hapa,Binadamu huwezi kupatia kila kitu,Yale ambayo Rais Magu aliteleza ni vema kuyarekebisha kwa hekima ukiangalia mzee hajatoka madarakani kwa kustaafu bali ni kifo.

Staili aliyoanza nayo ya kumponda mtangulizi wake na walikuwa wakifanya kazi pamoja itamletea shida.

RIP JPM
"Jamhuri ya muungano wa Tanzania,Kazi iendelee"
 
Kitu gn kilikuwa kinamfanya alie samia,nini kilikuwa kinamfanya ahuzunike na kuuliza?,samia alikuwa akicheka na kupiga vigeregere,mungu yupo,kama kuna kundi lilihusika kumwangamiza jpm,kwa machozi na majonzi ya watanzania,wengi...
Umeanza uchawi kabla hata ya 40 ya mzee.
 
Ikiwa leo tunakamilisha siku 21 za maombolezo ya kifo cha Dkt Magufuli,naomba kaa kimya kwa sekunde kumi kumkumbuka na kumuombea makazi salama huko aliko.

Ahsante,Nianze ka kumpongeza Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania mama yetu ,Samia Suluhu kwa hotuba mzuri,hotuba iliyobeba matumaini kwa Watanzani.

Hotuba ya leo hakika imejaa faraja na imani kubwa kwa watanzani kwamba huyu mama atatufikisha nchi ya ahadi.

Katika Quraan sura ya 104(Surat Hummazah) aya ya kwanza ,Allah amewaonya walamba Visogo/Wasengenyaji "Backbiters".

Kifo cha Rais magufuli kimenifunza mambo mengi .Mosi Dunia ni mapito,tujitahidi kufanya mema kwa aiili ya baadae

Pili ,nimebaini Rais Magufuli alizungukwa na walamba visogo ,Watu ambao akiwa nao walikuwa wanamchekea akitoka wanamng'ong'a.

Hata Siku 21 za maombolezo hazijakamlika watu hao tyr wametanua makucha yao.

JPM alizungukwa na wasaidizi wanafiki.Makamu wa Rais ni mshauri namba moja wa Rais,kama Rais alisema jambo na ww ukachekelea ukaona linafaa leo hii hayupo unasema halifai ,ww tukuelewe vp?, Ni kama ulikuwa unasubir anguko lake ili umvue nguo hadharani.

Wakati mama anazungumzia miradi,kuna mahali alisema kuna miradi mingine ipo kwenye makaratasi sijui itawezekana ila nataka niione.Hivi alikuwa na maana gani?.

Afu akasema kuna Issue alikuwa anasolve baadae ikamshinda nguvu akaachana nayo.

Any way,naochotaka kusema hapa,Binadamu huwezi kupatia kila kitu,Yale ambayo Rais Magu aliteleza ni vema kuyarekebisha kwa hekima ukiangalia mzee hajatoka madarakani kwa kustaafu bali ni kifo.

Staili aliyoanza nayo ya kumponda mtangulizi wake na walikuwa wakifanya kazi pamoja itamletea shida.

RIP JPM
"Jamhuri ya muungano wa Tanzania,Kazi iendelee"

Usichokijua tu ni kwamba huyu Mama kavumilia mengi sana ( yaliyo nyuma ya Pazia ) aliyokuwa akifanyiwa na Aliyelala mazima sasa.

Kwa Kilichofanywa Kwake hadi Familia yake haraka sana ikamkimbiza nje Kumuokoa leo hii Mama wa Watu angekuwa ameshamtangulia Yeye ila Mwenyezi Mungu alimuhitaji zaidi ili leo hii aje Kuturejeshea Tabasamu na Amani ya Rohoni.

Wadanganyeni hapa Wanafiki na Wapuuzi wenzenu just ya Mazuri ya aliyelala Wenu Milele ila kwa Sisi wengine tuliokuwa tunazipata zile za ndani tena kutoka Jikoni tumempongeza tu Israeli kwa kufanya Kazi yake mapema na kwa Ustadi wa Kipekee.

Zisingekuwa Busara za Hayati Mzee Mkapa na Mzee Makini Rais Mstaafu Kikwete Mama wa Watu angeshatangaza kutoka hapo Kitambo sana tu.

Halafu msitutibue na Sisi wengine tukaomba kuundwe Tume Huru Kuchunguza Kifo cha Rais Mstaafu Mzee Mkapa ambaye mara kwa mara alionya Wanasiasa kusema neno 'Tanzania yangu' na Kujiona ni miungu Watu huku akisisitiza juu ya Ukomo wa Urais kuwa ni kwa Awamu mbil tu.

Na mkizidi Kutukera zaidi sasa tutaanza taratibu Kugusia uliokuwa Mpango wa SIRI wa Kuwanyamazisha ( Kipumzi ) Wastaafu akina Mzee Mangula, Msekwa, Kikwete na Butiku kwakuwa walionekana kuwa Kikwazo katika nia ya Mtu Kuitawala Milele Tanzania kama Mali yake binafsi.

Isingekuwa tu Miti Shamba ya Kihehe pamoja na Mila zao leo hii Mzee wa Watu Mangula pengine angekuwa Historia ndiyo maana tunaoipenda ile CCM ya Nyerere ( Generalist nikiwa Mmoja wao ) nikimwona Mzee wa Watu yupo Hai hivi huwa nafurahi na Kufarijika mno.

Kwahiyo mlitaka Mama Samia ( Mheshimiwa Rais ) abakie na Uozo uliokuwepo? Halafu ungekuwa tu na Akili ( IQ Kubwa ) usingeshangaa kwanini kila Rais ajaye hupenda kuja na Team ( Safu ) yake kwani hili ni Jambo la Kawaida sana Politically and Administratively ili kuwa na Ustawi na Utawala ( Uongozi ) wako.

Mwacheni Mama wa Watu Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan atuongoze na kama ni Kumpima tutampima ifikapo mwaka 2025 ila kwa dalili zake hizi nzuri alizoanza nazo na Kutuonyesha Watanzania tuna Imani nae na huenda akaja kuwa Rais mzuri kuwahi kutokea nchini Tanzania na tukamsahau Kimoja huyo aliyekuwa Intarahamwe Wenu nyie Wanafiki Wenzake wakiongozwa na Wewe Mwandamizi wao hapa.

Endeleeni tu Kutukera ili sasa akina Generalist tuanze Kufunguka sababu Kuu ya Mtu kutopenda Kukaa Ikulu ya Magogoni Feri Dar es Salaam na Kupenda kuishi Ikulu ya Dodoma au kule Kwao alikotaka Kukufanya ni White House ya Marekani.

Kuhamishia Serikali nzima Mkoani Dodoma wala haikuwa Mpango wake na tena hakupenda ila katika Kuwazuga Wanafiki na Wapuuzi Wenzake kama Wewe akajifanya anatimiza Ndoto za Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere wakati ukweli ni kwamba kuna Misingi ya Kiutamaduni ya Marais wote wa Tanzania hutakiwa kuifanya Wakishaapishwa ila Yeye akaleta Kiburi chake na Jeuri zake hadi akapaona hapamfai.

Rais sasa ni Mama Samia tu msitukere!!!
 
Yaani wewe uko kichwani mwangu, nawaza iweje mtu alifanya nae kazi ila yote walofa nya wote leo hayafai.
Kwakweli mm ni kati ya watu walioumizwa na kifo cha jpm nimeumia saaaana.

Nikawaza dk zake za mwisho atakuwa aliumia sana maana alijua haya yote yatatokea.

Wiki ijayo naenda chato. Nikamlilie kwa mara ya mwisho.sikubahatika kwenda mazishini. Maana naona maumivu hayaishi.

Kikulachooooo.
Rip jpm.
Unapofikiria hilo fikiria kwa nini pia marehemu hakushauri mtangulizi wake badala yake anakuja kumnanga baadaye. Mara nchi imechezewa kweli kweli nk. Alikuwemo kwenye baraza kwanini hakuyasema? Acha na yeye asemwe japo kidogo.
 
Napendekeza kwanza mama atimize ile ndoto ya hayati ya kuifanya Chato kuwa kitovu cha utalii na si utitiri kama akina fulani wanavyotaka iwe
Hilo sahau mkuu! Hiyo ndo ishatoka.

Muda si mrefu Kalemani atakua mbunge wa kawaida. Kiatu cha uwaziri ni kikubwa sana kwake. Ilikua basi tu katoka Chato enzi hizo.
 
Ikiwa leo tunakamilisha siku 21 za maombolezo ya kifo cha Dkt Magufuli,naomba kaa kimya kwa sekunde kumi kumkumbuka na kumuombea makazi salama huko aliko.

Ahsante,Nianze ka kumpongeza Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania mama yetu ,Samia Suluhu kwa hotuba mzuri,hotuba iliyobeba matumaini kwa Watanzani.

Hotuba ya leo hakika imejaa faraja na imani kubwa kwa watanzani kwamba huyu mama atatufikisha nchi ya ahadi.

Katika Quraan sura ya 104(Surat Hummazah) aya ya kwanza ,Allah amewaonya walamba Visogo/Wasengenyaji "Backbiters".

Kifo cha Rais magufuli kimenifunza mambo mengi .Mosi Dunia ni mapito,tujitahidi kufanya mema kwa aiili ya baadae

Pili ,nimebaini Rais Magufuli alizungukwa na walamba visogo ,Watu ambao akiwa nao walikuwa wanamchekea akitoka wanamng'ong'a.

Hata Siku 21 za maombolezo hazijakamlika watu hao tyr wametanua makucha yao.

JPM alizungukwa na wasaidizi wanafiki.Makamu wa Rais ni mshauri namba moja wa Rais,kama Rais alisema jambo na ww ukachekelea ukaona linafaa leo hii hayupo unasema halifai ,ww tukuelewe vp?, Ni kama ulikuwa unasubir anguko lake ili umvue nguo hadharani.

Wakati mama anazungumzia miradi,kuna mahali alisema kuna miradi mingine ipo kwenye makaratasi sijui itawezekana ila nataka niione.Hivi alikuwa na maana gani?.

Afu akasema kuna Issue alikuwa anasolve baadae ikamshinda nguvu akaachana nayo.

Any way,naochotaka kusema hapa,Binadamu huwezi kupatia kila kitu,Yale ambayo Rais Magu aliteleza ni vema kuyarekebisha kwa hekima ukiangalia mzee hajatoka madarakani kwa kustaafu bali ni kifo.

Staili aliyoanza nayo ya kumponda mtangulizi wake na walikuwa wakifanya kazi pamoja itamletea shida.

RIP JPM
"Jamhuri ya muungano wa Tanzania,Kazi iendelee"
Kuna giza mbele naye kaanza kutengeneza makundi hatari akidhani ni msafi......maneno na vitendo vinaashiria sehemu ya watu aliokuwa akifanya nao kazi kwa ukaribu akiwa na nyongo moyoni kisha kuanza kutumia mamlaka ya Urais kushughulika nao kana kwamba hakuwa sehemu ya mapungufu anayodai yalikuwepo ni kujipeleka mwenyewe kwenye mtego TASA.................2021 misuguano yote iliyokuwa ikishughulikiwa kimya kimya ndani ya serikali na chama chao itaibuka hadharani wakishambuliana wenyewe kwa wenyewe kisha kuthibitisha kwamba hata kifo cha hayati baadhi yao wamekichangia kukiharakisha ili malengo yao yatimie...............VISASI.......KUDHALILISHANA...........KUJIUZULU.........KUTISHIANA..........KUJIPENDEKEZA.....USALITI........UHARIFU KUONGEZA.........KULAUMU na KUTUHUMU wasiokuwepo kujitetea.Haki kwa wengi kupotea kupitia nguvu ya pesa..........SHUHUDIA yajayo yanaandika historia mbaya sana kwa Tanzania ambayo haijawahi kutokea wala kuwazia.

Familia ya hayati itavunja rasmi mahusiano na utawala wa sasa; kama hamuamini basi subiri kitakachojiri maana wanajionea namna mpendwa wao anavyoshambuliwa bila hata kutumia mafumbo.

Uchaguzi mpya waja kabla ya kipindi kuisha.
 
Kuna giza mbele naye kaanza kutengeneza makundi hatari akidhani ni msafi......maneno na vitendo vinaashiria sehemu ya watu aliokuwa akifanya nao kazi kwa ukaribu akiwa na nyongo moyoni kisha kuanza kutumia mamlaka ya Urais kushughulika nao kana kwamba hakuwa sehemu ya mapungufu anayodai yalikuwepo ni kujipeleka mwenyewe kwenye mtego TASA.................2021 misuguano yote iliyokuwa ikishughulikiwa kimya kimya ndani ya serikali na chama chao itaibuka hadharani wakishambuliana wenyewe kwa wenyewe kisha kuthibitisha kwamba hata kifo cha hayati baadhi yao wamekichangia kukiharakisha ili malengo yao yatimie...............VISASI.......KUDHALILISHANA...........KUJIUZULU.........KUTISHIANA..........KUJIPENDEKEZA.....USALITI........UHARIFU KUONGEZA.........KULAUMU na KUTUHUMU wasiokuwepo kujitetea.Haki kwa wengi kupotea kupitia nguvu ya pesa..........SHUHUDIA yajayo yanaandika historia mbaya sana kwa Tanzania ambayo haijawahi kutokea wala kuwazia.

Familia ya hayati itavunja rasmi mahusiano na utawala wa sasa; kama hamuamini basi subiri kitakachojiri maana wanajionea namna mpendwa wao anavyoshambuliwa bila hata kutumia mafumbo.

Uchaguzi mpya waja kabla ya kipindi kuisha.
Pole sana. Hakuna giza kuna mwanga wa kutosha sana tu. Kama hauridhiki na utawala uliopo, hama nchi kimya kimya.
 
Ikiwa leo tunakamilisha siku 21 za maombolezo ya kifo cha Dkt Magufuli,naomba kaa kimya kwa sekunde kumi kumkumbuka na kumuombea makazi salama huko aliko.

Ahsante,Nianze ka kumpongeza Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania mama yetu ,Samia Suluhu kwa hotuba mzuri,hotuba iliyobeba matumaini kwa Watanzani.

Hotuba ya leo hakika imejaa faraja na imani kubwa kwa watanzani kwamba huyu mama atatufikisha nchi ya ahadi.

Katika Quraan sura ya 104(Surat Hummazah) aya ya kwanza ,Allah amewaonya walamba Visogo/Wasengenyaji "Backbiters".

Kifo cha Rais magufuli kimenifunza mambo mengi .Mosi Dunia ni mapito,tujitahidi kufanya mema kwa aiili ya baadae

Pili ,nimebaini Rais Magufuli alizungukwa na walamba visogo ,Watu ambao akiwa nao walikuwa wanamchekea akitoka wanamng'ong'a.

Hata Siku 21 za maombolezo hazijakamlika watu hao tyr wametanua makucha yao.

JPM alizungukwa na wasaidizi wanafiki.Makamu wa Rais ni mshauri namba moja wa Rais,kama Rais alisema jambo na ww ukachekelea ukaona linafaa leo hii hayupo unasema halifai ,ww tukuelewe vp?, Ni kama ulikuwa unasubir anguko lake ili umvue nguo hadharani.

Wakati mama anazungumzia miradi,kuna mahali alisema kuna miradi mingine ipo kwenye makaratasi sijui itawezekana ila nataka niione.Hivi alikuwa na maana gani?.

Afu akasema kuna Issue alikuwa anasolve baadae ikamshinda nguvu akaachana nayo.

Any way,naochotaka kusema hapa,Binadamu huwezi kupatia kila kitu,Yale ambayo Rais Magu aliteleza ni vema kuyarekebisha kwa hekima ukiangalia mzee hajatoka madarakani kwa kustaafu bali ni kifo.

Staili aliyoanza nayo ya kumponda mtangulizi wake na walikuwa wakifanya kazi pamoja itamletea shida.

RIP JPM
"Jamhuri ya muungano wa Tanzania,Kazi iendelee"
I can only predict doom for Tanzanians frankly.Sasa najua maneno ya "mwanzoni tulikuwa hatujamuelewa Magufuli,ila sasa tumemuelewa na tumefuzu," yalikuwa na maana gani.
 
Ikiwa leo tunakamilisha siku 21 za maombolezo ya kifo cha Dkt Magufuli,naomba kaa kimya kwa sekunde kumi kumkumbuka na kumuombea makazi salama huko aliko.

Ahsante,Nianze ka kumpongeza Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania mama yetu ,Samia Suluhu kwa hotuba mzuri,hotuba iliyobeba matumaini kwa Watanzani.

Hotuba ya leo hakika imejaa faraja na imani kubwa kwa watanzani kwamba huyu mama atatufikisha nchi ya ahadi.

Katika Quraan sura ya 104(Surat Hummazah) aya ya kwanza ,Allah amewaonya walamba Visogo/Wasengenyaji "Backbiters".

Kifo cha Rais magufuli kimenifunza mambo mengi .Mosi Dunia ni mapito,tujitahidi kufanya mema kwa aiili ya baadae

Pili ,nimebaini Rais Magufuli alizungukwa na walamba visogo ,Watu ambao akiwa nao walikuwa wanamchekea akitoka wanamng'ong'a.

Hata Siku 21 za maombolezo hazijakamlika watu hao tyr wametanua makucha yao.

JPM alizungukwa na wasaidizi wanafiki.Makamu wa Rais ni mshauri namba moja wa Rais,kama Rais alisema jambo na ww ukachekelea ukaona linafaa leo hii hayupo unasema halifai ,ww tukuelewe vp?, Ni kama ulikuwa unasubir anguko lake ili umvue nguo hadharani.

Wakati mama anazungumzia miradi,kuna mahali alisema kuna miradi mingine ipo kwenye makaratasi sijui itawezekana ila nataka niione.Hivi alikuwa na maana gani?.

Afu akasema kuna Issue alikuwa anasolve baadae ikamshinda nguvu akaachana nayo.

Any way,naochotaka kusema hapa,Binadamu huwezi kupatia kila kitu,Yale ambayo Rais Magu aliteleza ni vema kuyarekebisha kwa hekima ukiangalia mzee hajatoka madarakani kwa kustaafu bali ni kifo.

Staili aliyoanza nayo ya kumponda mtangulizi wake na walikuwa wakifanya kazi pamoja itamletea shida.

RIP JPM
"Jamhuri ya muungano wa Tanzania,Kazi iendelee"
Tuliza k we chawa wa rumumba najua saizi mnaumia sana mama sio mpenda masifa mama anasikiliza watz wanataka nini ndio maana unaona anakubalika mpaka kwa wapinzani we kama umekosa teuzi kajampe ulale saiz hakuna janja janja na kujuana kikanda na kikabila saizi mnapelekewa moto tu tulieni zipenye kunako
 
Ikiwa leo tunakamilisha siku 21 za maombolezo ya kifo cha Dkt Magufuli,naomba kaa kimya kwa sekunde kumi kumkumbuka na kumuombea makazi salama huko aliko.

Ahsante,Nianze ka kumpongeza Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania mama yetu ,Samia Suluhu kwa hotuba mzuri,hotuba iliyobeba matumaini kwa Watanzani.

Hotuba ya leo hakika imejaa faraja na imani kubwa kwa watanzani kwamba huyu mama atatufikisha nchi ya ahadi.

Katika Quraan sura ya 104(Surat Hummazah) aya ya kwanza ,Allah amewaonya walamba Visogo/Wasengenyaji "Backbiters".

Kifo cha Rais magufuli kimenifunza mambo mengi .Mosi Dunia ni mapito,tujitahidi kufanya mema kwa aiili ya baadae

Pili ,nimebaini Rais Magufuli alizungukwa na walamba visogo ,Watu ambao akiwa nao walikuwa wanamchekea akitoka wanamng'ong'a.

Hata Siku 21 za maombolezo hazijakamlika watu hao tyr wametanua makucha yao.

JPM alizungukwa na wasaidizi wanafiki.Makamu wa Rais ni mshauri namba moja wa Rais,kama Rais alisema jambo na ww ukachekelea ukaona linafaa leo hii hayupo unasema halifai ,ww tukuelewe vp?, Ni kama ulikuwa unasubir anguko lake ili umvue nguo hadharani.

Wakati mama anazungumzia miradi,kuna mahali alisema kuna miradi mingine ipo kwenye makaratasi sijui itawezekana ila nataka niione.Hivi alikuwa na maana gani?.

Afu akasema kuna Issue alikuwa anasolve baadae ikamshinda nguvu akaachana nayo.

Any way,naochotaka kusema hapa,Binadamu huwezi kupatia kila kitu,Yale ambayo Rais Magu aliteleza ni vema kuyarekebisha kwa hekima ukiangalia mzee hajatoka madarakani kwa kustaafu bali ni kifo.

Staili aliyoanza nayo ya kumponda mtangulizi wake na walikuwa wakifanya kazi pamoja itamletea shida.

RIP JPM
"Jamhuri ya muungano wa Tanzania,Kazi iendelee"
Nilimsiliza huyo mama kwa makini sana nikapata jibu huyu mama ndiye mnafiki namba moja wa hayati Magufuli, inakuwaje wewe ni kama mshauri wa rais unashirikiana naye kwa kila jambo na muda mwingine unampa ushauri wa nini kifanyike nini kisifanyike alafu leo hii anayahanika maovu ya mtangulizi wake, kweli siasa ni unafiki na fitina.
 
Ikiwa leo tunakamilisha siku 21 za maombolezo ya kifo cha Dkt Magufuli,naomba kaa kimya kwa sekunde kumi kumkumbuka na kumuombea makazi salama huko aliko.

Ahsante,Nianze ka kumpongeza Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania mama yetu ,Samia Suluhu kwa hotuba mzuri,hotuba iliyobeba matumaini kwa Watanzani.

Hotuba ya leo hakika imejaa faraja na imani kubwa kwa watanzani kwamba huyu mama atatufikisha nchi ya ahadi.

Katika Quraan sura ya 104(Surat Hummazah) aya ya kwanza ,Allah amewaonya walamba Visogo/Wasengenyaji "Backbiters".

Kifo cha Rais magufuli kimenifunza mambo mengi .Mosi Dunia ni mapito,tujitahidi kufanya mema kwa aiili ya baadae

Pili ,nimebaini Rais Magufuli alizungukwa na walamba visogo ,Watu ambao akiwa nao walikuwa wanamchekea akitoka wanamng'ong'a.

Hata Siku 21 za maombolezo hazijakamlika watu hao tyr wametanua makucha yao.

JPM alizungukwa na wasaidizi wanafiki.Makamu wa Rais ni mshauri namba moja wa Rais,kama Rais alisema jambo na ww ukachekelea ukaona linafaa leo hii hayupo unasema halifai ,ww tukuelewe vp?, Ni kama ulikuwa unasubir anguko lake ili umvue nguo hadharani.

Wakati mama anazungumzia miradi,kuna mahali alisema kuna miradi mingine ipo kwenye makaratasi sijui itawezekana ila nataka niione.Hivi alikuwa na maana gani?.

Afu akasema kuna Issue alikuwa anasolve baadae ikamshinda nguvu akaachana nayo.

Any way,naochotaka kusema hapa,Binadamu huwezi kupatia kila kitu,Yale ambayo Rais Magu aliteleza ni vema kuyarekebisha kwa hekima ukiangalia mzee hajatoka madarakani kwa kustaafu bali ni kifo.

Staili aliyoanza nayo ya kumponda mtangulizi wake na walikuwa wakifanya kazi pamoja itamletea shida.

RIP JPM
"Jamhuri ya muungano wa Tanzania,Kazi iendelee"
Huyo JPM mwenyewe alikuwa akiwaponda kina JK ilihali wangali bado wako hai.
Huko ahera aliko sasa wacha anywe muarobaini aliouchemsha yeye mwenyewe!

What goes around.................
 
Back
Top Bottom