Clemence Mwandambo
JF-Expert Member
- Dec 2, 2018
- 1,302
- 1,337
Magufuli kwa tabia yake alizalisha wanafiki wengi, kumbuka binadamu yeyote anapenda kuwa salama na kuona mambo yake yakienda vizuri. Yeye alipenda kuona watu wanamtii kwa gharama yoyote. Huwezi jua Huyo mama pamoja na kuwa msaidizi wa raisi mawazo yake yalidharauliwa kwa kiasi gani.