akili za kuambiwa changanya na zako,usikurupukeila BBC rahaa sana kuna yule bint mtangazaji alimuulizaga LOWASA maswali mpaka LOWASA aliomba poo
Mkuu hapo umenena! Nimepata mashaka makubwa ya taaluma ya Kikeke niliyemwamini kwa muda mrefu!yale sio mahojiano bali ni "Harassement": pengine Kikeke ana agenda ya siri
Hakukuwa na uhondo, sana sana BBC walionesha jinsi gani wana watangazaji wa hovyo. Wewe mtangazaji umeuliza swali, kwa nini usitulie basi lijibiwe? Haya niliyaona hata siku Zuhura Yunusi alipomhoji Edward Lowassa. Mtangazaji anauliza constructive question na anataka jibu liwe kile anachoamini yeye. BBC ni sawa na TWAWEZA...pumba za mchele, hata nguruwe haliTupien bas tuone na ss tilioukosa uhondo huo
Hivi katiba ya Zanzibar inaruhusu kura kuvurugwa na halafu Maalim Seif kuamrisha ZEC imtangaze mshindi?Hivi katiba ya Zanzibar inataja uchaguzi wa marudio?
Kama hakupewa nafasi ya kuongea umejuaje kuwa hakuwa na hoja?Nimefurahishwa sana Salimu Kikeke alivyomuhoji Seif
Kwasababu Seif hakuwa na hoja za msingi kwanini hwakushiriki uchaguzi wa marudio Zanzibar
Mlizoea CUF kumtungia Maalim maswali na yeye kuwatungia majibu? Angalia mahojiani ya Tanzania Daima na Annur na Nipashe na Mtanzanzania.Hakukuwa na uhondo, sana sana BBC walionesha jinsi gani wana watangazaji wa hovyo. Wewe mtangazaji umeuliza swali, kwa nini usitulie basi lijibiwe? Haya niliyaona hata siku Zuhura Yunusi alipomhoji Edward Lowassa. Mtangazaji anauliza constructive question na anataka jibu liwe kile anachoamini yeye. BBC ni sawa na TWAWEZA...pumba za mchele, hata nguruwe hali
Mkuu haya unayoyaeleza mtu yeyote mwenye akili timamu atayaelewa...pale kuna agenda ya siri. Kuna kitu Maalim alikuwa anajaribu kukisema, yule mtangazaji feki akawa anamziba mdomo. CCM walitaka uchaguzi urudiwe ili washindwe tena?Tujiulize kwanza kwanini uchaguzi urudiwe maalimu kama angekubali kurudia uchaguzi maana yake Ingekua amekubaliana na sababu za kufutwa uchaguzi wa awali sasa swali kina baki pale pale kuliku na sababu za msingi za kufuta uchaguzi..na kama uchaguzi haikua wa haki ni chama gani kililalamika hapo awali kabla ya uchaguzi kufutwa!?
MmmmmmmmmmmmmmhhhhhhhhhhhhhhUkiona hivyo ujue salimu kikeke nae ni kijani.
Sorry, sijaelewa ulichoandika.Mlizoea CUF kumtungia Maalim maswali na yeye kuwatungia majibu? Angalia mahojiani ya Tanzania Daima na Annur na Nipashe na Mtanzanzania.
Waandishi wa BBC siyo wa Tz Daima, kumpamba mtu.
Ukiulizwa swali usitoe hotuba jibu ndiyo au hapana na sababu zake.
Ni kweli mkuu maana katika kuhukumu jambo ni vizuri ukasikiliza pande zote mbili.Ningependa kumwona na aidha Shein au Jecha kwenye kikaango kama hiki ajibu maswali yahusuyo uchaguzi wa Zanzibar......nione wao watakuwa na majibu gani eti..
Na kweli, shida huwa sio utambi...mafuta ya taa yanakaa chiniSimlaumu Kikeke cose wanapangiwaga cha kuongea /remote control zinajulikana
Mkuu hila ni kitu kibaya sana. Hao unaowataja wakienda studio, watapewa nafasi ya kuongea kuhusu 'amani' na 'usalama' na kamwe hutasikia sauti juu ya sauti. Kile hakikuwa kikaango cha haki...ni kejeli iliyopangwa.Ningependa kumwona na aidha Shein au Jecha kwenye kikaango kama hiki ajibu maswali yahusuyo uchaguzi wa Zanzibar......nione wao watakuwa na majibu gani eti..