Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 53,246
- 50,468
Hawakuwa na subira, mahojiano yalikua makelele
Nimefurahishwa sana Salimu Kikeke alivyomuhoji Seif
Kwasababu Seif hakuwa na hoja za msingi kwanini hwakushiriki uchaguzi wa marudio Zanzibar
Ni maswali ya kipuuzi yaliyoulizwa kipuuzi na Salim Kikeke! Kama Salim anakubalina na Maalim kuwa uchaguzi wa kwanza haukustahili kufutwa kwanini ang'anganie swali la kwanini CUF walisusa marudio ya uchaguzi. Nadhani Salim naye anavizia uteuzi, na pengine mkataba wake BBC uko ukingoni anajiandaa...Habari,
Naangalia BBC Swahili hapa Star TV ghafla napandwa na hasira kuona Salimu Kikeke akimuhoji Maalimu Seif kwa dharau na kumuingilia kila Maalimu Sief akijaribu kujibu maswali anayoulizwa.
Kifupi Kikeke ameonyesha kuwa upande mwingine wa siasa mbal na Maalimu Seif.
Sijui ndo msimamo wa BBC Swahili au??
Wajuzi tujulishane