Kikeke ambana Maalim Seif

Kikeke ambana Maalim Seif

huyu kikeke nae anataka ukuu wa wilaya .atapewa bila hata kuonyesha uccm wake .amejidhihirisha kwamba yeye ni ccm aliyetumwa
 
Sisi tunamuabudu mungu tu,kwani nyinyi yule wenu munamuabudu?
Mungu yupo juu(facing the skies) hayupo chini wala upande fulani wa dunia (not west east north or south)!!!! discuss.
 
kikeke hana lolote ni uchwara tu .nini maana ya mahojiano
 
Muda huu maalim seif yupo kikaangoni BBC chini ya salim kikeke,.Amembana kwa nini hakuhamasisha wafuasi wake kupiga kura kwa maranyingine ikiwa yeye alishashinda kwenye uchaguzi wa awali.Kwa mara nyingine tena maalim anachemka kuhusu kususia uchaguzi.Kazi kwenu mnao muabudu.Dk 3 za maswali toka kwa Kikeke maalim jasho limemtoka.

kuna mwingine alimkimbia salim na zuhura kipindi cha kampeni, inasemekana aliposikia ni bbc tu akalala mbele bila kujua ni bbcswahili
 
Slim Kikeke AMESHINDWA KUONYESHA WELEDI WAKE. Yeye ndio kamwita Maalim Seif studio halafu badala ya kumpa nafasi ajibu yeye anampigia kelele. Hii ndio extremely unprofessional episode toka BBC SWAHILI niliyowahi kuona. Ni kama Sam Mahela si alipomhoji Mch. Peter Msigwa. Hua wanaogopa kwamba baadhi ya majibu yanayotolewa YATAWAKERA WATAWALA FULANI.
How do you know kwamba Seif kaitwa BBC. What if Seif aliomba hiyo nafasi ya mahojiano ili aendeleze publicity yake. Alisha anza na VOA, sasa yuko BBC. By the way, anaye uliza swali ni mwandishi wa habari na anategemea ajibiwe kulingana na swali. Siyo issue ya ubabe na hotuba za kisiasa.
 
Kuna mbinu nyingi za kumshawishi JPM akutazamie nafasi ya uDC naye Kikeke kaona ile ni mojawapo.
 
Kuna mbinu nyingi za kumshawishi JPM akutazamie nafasi ya uDC naye Kikeke kaona ile ndiyo inayomfaa.
 
Leo wakati akimhoji Maalimu Seif juu ya uchaguzi wa Zanzibar, Salim Kikeke mtangazaji wa BBC, aliishia kupigishana makelele na Maalimu Seif kwani kila mmoja alikuwa anaongea kwa sauti.

Huu ndio utaratibu wa kuhoji watu Salim?
afadhali seif anafka mpaka huko ila kuna viumbe vingine havijafika na wala havitafika maana wanakuona kama jahanam
 
Interview ya hovyo tangu kuzaliwa kwangu ndio hii nimeshuhudia leo..Yaani haina mpangilio pia Kikeke anauliza maswali nadhani pia alikuwa na majibu yake.
 
Muda huu maalim seif yupo kikaangoni BBC chini ya salim kikeke,.Amembana kwa nini hakuhamasisha wafuasi wake kupiga kura kwa maranyingine ikiwa yeye alishashinda kwenye uchaguzi wa awali.Kwa mara nyingine tena maalim anachemka kuhusu kususia uchaguzi.Kazi kwenu mnao muabudu.Dk 3 za maswali toka kwa Kikeke maalim jasho limemtoka.
Hapo pamenifanya nisiitafakari post yako
 
Muda huu maalim seif yupo kikaangoni BBC chini ya salim kikeke,.Amembana kwa nini hakuhamasisha wafuasi wake kupiga kura kwa maranyingine ikiwa yeye alishashinda kwenye uchaguzi wa awali.Kwa mara nyingine tena maalim anachemka kuhusu kususia uchaguzi.Kazi kwenu mnao muabudu.Dk 3 za maswali toka kwa Kikeke maalim jasho limemtoka.
Kwa asie na akili ndio atasema maalimu seif amechemka,lkn nilichokiona na kusikia ni kikeke kumuhoji Maalimu na kabla hajajibu yeye kikeke ana rudia swali hilolo tena,na huyo mwenye kusema eti maalimu alichemka sijui ni wapi,na wakati jibu alilotoa ndio jibu analotoa kila wakati aulizwapo swaki hilo,
swali lenyewe ni kwa nini cuf mlisusia uchaguzi wa marudio na kwa nini hukuamasisha wapigakura wako waje kwa wingi ili ushinde tena kama unaamini ulishinda?
Jibu ,,,uchaguzi ulifanyika tarehe 25/10/2015 nilishinda kwa haki hatukuona kigezo cha uchaguzi kufutwa na kurudiwa march 20/2016,na hatungeweza kuingia tena kwenye uchaguzi wa marudio ulioandaliwa kwa hila ili ccm waje washinde kwa kutumia hila na jeshi,sasa sijui alipo chemka seif wapi hapo,acha ushabikimwakipuuzi wewe zulma huwa aipotei,hulipwa tu hata ipite miaka.
 
Inaonyesha hujaona kama wengine. hebu sema ni kitu gani amesema harafu akawa analazimisha?
Salim Kikeke AMESHINDWA KUONYESHA WELEDI WAKE. Yeye ndio kamwita Maalim Seif studio halafu badala ya kumpa nafasi ajibu yeye anampigia kelele. Hii ndio extremely unprofessional episode toka BBC SWAHILI niliyowahi kuona. Ni kama Sam Mahela si alipomhoji Mch. Peter Msigwa. Hua wanaogopa kwamba baadhi ya majibu yanayotolewa YATAWAKERA WATAWALA FULANI.
 
Kwani hao twaweza ndio nani? Au ndio wale wanaongozwa na yule nyani wangu enshomile?
 
Back
Top Bottom