Unajipandisha level bure. Ushaona interview ngapi tangu umezaliwa? Probably hata kifurushi cha CNN huna. Kama umezoea imterview platform za akina A. Masako, then hii nadhani siyo size yako.Interview ya hovyo tangu kuzaliwa kwangu ndio hii nimeshuhudia leo..Yaani haina mpangilio pia Kikeke anauliza maswali nadhani pia alikuwa na majibu yake.