johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,142
- 170,383
Kuna Vijana wanadhani Uwezo mkubwa wa Zanzibar Kwenye Siasa, Uchumi na Utamaduni vimeibuka ghafla tu, wanajidanganya mno
Zanzibar iko Juu kabla hata ya Muungano na kama unabisha Soma historia
Nyerere aliwategemea sana Maalim Seif na Dr Salim baada ya Kuwa amezinguana na Oscar Kambona
Hata sasa Kwenye Serikali ya JMT Wizara zinazofanya vizuri ni zile zinazoongozwa na Mawaziri kutoka Zanzibar Foreign, Internal Affairs na Uchukuzi
Nimesema haya Ili Watu wa zamani tusisahau historia na Vijana wetu wasome historia kama alivyoshauri Mh Hamza Waziri wa SMZ
Nakaribisha maswali 😃
Zanzibar iko Juu kabla hata ya Muungano na kama unabisha Soma historia
Nyerere aliwategemea sana Maalim Seif na Dr Salim baada ya Kuwa amezinguana na Oscar Kambona
Hata sasa Kwenye Serikali ya JMT Wizara zinazofanya vizuri ni zile zinazoongozwa na Mawaziri kutoka Zanzibar Foreign, Internal Affairs na Uchukuzi
Nimesema haya Ili Watu wa zamani tusisahau historia na Vijana wetu wasome historia kama alivyoshauri Mh Hamza Waziri wa SMZ
Nakaribisha maswali 😃