Pre GE2025 Hakuna jambo analolifanya Tundu Lissu ambalo Maalim Seif Shariff Hamad hakulifanya katika kusaka Dola na hakufanikiwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Nov 27, 2024
43
127
Mkongwe Maalim Seif hadi anakwenda kwa muumba wake (Mwenyezi Mungu amrehemu na ampunguzie adhabu za kaburi) amefanya Kila jitihada za kuingia Ikulu ya Zanzibar lakini hakufanikiwa, hakuna mkakati, mpango, mbinu ambazo Maalim hakuzitumia.

Kwa mfano Leo Tundu Lissu anasema No reforms no elections, Maalim Seif alikuwa na Jino kwa Jino na Ngangari, akatumia sana neno Hakiiiiii asiyependa Haki.Hakufanikiwa kabisa.

Lissu anasema ataingia barabarani kupinga uchaguzi endapo mabadiliko yasipofanyika, Maalim Seif aliwahi kuwafanyisha sana maandamano wananchi wa Zanzibar na Bara na wengi walipoteza maisha katika kile walichokidai wanatafuta haki.

Tundu Lissu ameanza kwenda kulalamika kwa mabeberu na juzi ameonekana akiwa na Balozi wa Norway nchini, kumbuka yeye ndio anawaambia watanzania kuwa wazungu wanatuibia na yeye ndio huyo huyo anakimbilia kwao kulalamika wamsaidie akianzisha no reforms no elections, hiyo kukimbia kwenye taasisi za kimataifa Seif ndio alibobea huko, nchi zote Maalim Seif alikwenda, alikunywa chai, alikuwa wali, alipewa makaratasi ya Kila aina na mwisho alikutana na Tanzania is a sovereign country.Hakufanikiwa.

Kwa hiyo Lissu hana jipya, amebaki kufoka tu, halafu hana kabisa uwezo wa kuongelea mambo ya kijamii, yeye Kila siku akialikwa ameshikilia no reform no elections, hana agenda za kitaifa kama mwenzake Mbowe, Mbowe alikuwa akiitisha Press mm hapa Lushoto hata nikisikia kuwa amepanga kuongea Huwa namsikiliza sio huyo Lissu, kelele, majigambo na majivuno kibao kumbe maarifa sifuri.
 
Mtasema yoote ila hakuna marefu yasiyo na ncha. Kama tawala dhalimu za kirumi zilifikiq tamati ndo isiwe CCM?

Lissu anaweza asishike dola ila ni mtu aliyetumwa kuhakikisha mfumo wa Tanzania hasa Katiba inarekwbishwa kwa maslahi ya Wananchi na Taifa.
 
Mkongwe Maalim Seif hadi anakwenda kwa muumba wake (Mwenyezi Mungu amrehemu na ampunguzie adhabu za kaburi) amefanya Kila jitihada za kuingia Ikulu ya Zanzibar lakini hakufanikiwa, hakuna mkakati, mpango, mbinu ambazo Maalim hakuzitumia.

Kwa mfano Leo Tundu Lissu anasema No reforms no elections, Maalim Seif alikuwa na Jino kwa Jino na Ngangari, akatumia sana neno Hakiiiiii asiyependa Haki.Hakufanikiwa kabisa.

Lissu anasema ataingia barabarani kupinga uchaguzi endapo mabadiliko yasipofanyika, Maalim Seif aliwahi kuwafanyisha sana maandamano wananchi wa Zanzibar na Bara na wengi walipoteza maisha katika kile walichokidai wanatafuta haki.

Tundu Lissu ameanza kwenda kulalamika kwa mabeberu na juzi ameonekana akiwa na Balozi wa Norway nchini, kumbuka yeye ndio anawaambia watanzania kuwa wazungu wanatuibia na yeye ndio huyo huyo anakimbilia kwao kulalamika wamsaidie akianzisha no reforms no elections, hiyo kukimbia kwenye taasisi za kimataifa Seif ndio alibobea huko, nchi zote Maalim Seif alikwenda, alikunywa chai, alikuwa wali, alipewa makaratasi ya Kila aina na mwisho alikutana na Tanzania is a sovereign country.Hakufanikiwa.

Kwa hiyo Lissu hana jipya, amebaki kufoka tu, halafu hana kabisa uwezo wa kuongelea mambo ya kijamii, yeye Kila siku akialikwa ameshikilia no reform no elections, hana agenda za kitaifa kama mwenzake Mbowe, Mbowe alikuwa akiitisha Press mm hapa Lushoto hata nikisikia kuwa amepanga kuongea Huwa namsikiliza sio huyo Lissu, kelele, majigambo na majivuno kibao kumbe maarifa sifuri.
Huu wizi wa Kura unaofanywa na ccm unadhani unaweza kukuondolea huo umasikini wako unaokukabili?
 
Sawaaa sawaaa!

....tena akiwa mzoefu mwenye kuijua serikali na chama alichokifanyia kazi kwa moyo mmoja huko nyuma....nini Tundu Lissu ?!!

....akiwa kipenzi cha Hayati baba wa Taifa kufikia kumfanya mwenyekiti wa CCM makao makuu ya nchi Dodoma akiwa KIJANA MDOGO KABISA....nini Tundu Lissu ?!!.

#CCM NI IMANI....
 
Mkongwe Maalim Seif hadi anakwenda kwa muumba wake (Mwenyezi Mungu amrehemu na ampunguzie adhabu za kaburi) amefanya Kila jitihada za kuingia Ikulu ya Zanzibar lakini hakufanikiwa, hakuna mkakati, mpango, mbinu ambazo Maalim hakuzitumia.

Kwa mfano Leo Tundu Lissu anasema No reforms no elections, Maalim Seif alikuwa na Jino kwa Jino na Ngangari, akatumia sana neno Hakiiiiii asiyependa Haki.Hakufanikiwa kabisa.

Lissu anasema ataingia barabarani kupinga uchaguzi endapo mabadiliko yasipofanyika, Maalim Seif aliwahi kuwafanyisha sana maandamano wananchi wa Zanzibar na Bara na wengi walipoteza maisha katika kile walichokidai wanatafuta haki.

Tundu Lissu ameanza kwenda kulalamika kwa mabeberu na juzi ameonekana akiwa na Balozi wa Norway nchini, kumbuka yeye ndio anawaambia watanzania kuwa wazungu wanatuibia na yeye ndio huyo huyo anakimbilia kwao kulalamika wamsaidie akianzisha no reforms no elections, hiyo kukimbia kwenye taasisi za kimataifa Seif ndio alibobea huko, nchi zote Maalim Seif alikwenda, alikunywa chai, alikuwa wali, alipewa makaratasi ya Kila aina na mwisho alikutana na Tanzania is a sovereign country.Hakufanikiwa.

Kwa hiyo Lissu hana jipya, amebaki kufoka tu, halafu hana kabisa uwezo wa kuongelea mambo ya kijamii, yeye Kila siku akialikwa ameshikilia no reform no elections, hana agenda za kitaifa kama mwenzake Mbowe, Mbowe alikuwa akiitisha Press mm hapa Lushoto hata nikisikia kuwa amepanga kuongea Huwa namsikiliza sio huyo Lissu, kelele, majigambo na majivuno kibao kumbe maarifa sifuri.
Miaka huwa inabadilika, watu wanabadilika sembuse mitazamo? Jifunze kwa hitler
 
Mtasema yoote ila hakuna marefu yasiyo na ncha. Kama tawala dhalimu za kirumi zilifikiq tamati ndo isiwe CCM?

Lissu anaweza asishike dola ila ni mtu aliyetumwa kuhakikisha mfumo wa Tanzania hasa Katiba inarekwbishwa kwa maslahi ya Wananchi na Taifa.
...katumwa na nani ?!!
 
Mkongwe Maalim Seif hadi anakwenda kwa muumba wake (Mwenyezi Mungu amrehemu na ampunguzie adhabu za kaburi) amefanya Kila jitihada za kuingia Ikulu ya Zanzibar lakini hakufanikiwa, hakuna mkakati, mpango, mbinu ambazo Maalim hakuzitumia.

Kwa mfano Leo Tundu Lissu anasema No reforms no elections, Maalim Seif alikuwa na Jino kwa Jino na Ngangari, akatumia sana neno Hakiiiiii asiyependa Haki.Hakufanikiwa kabisa.

Lissu anasema ataingia barabarani kupinga uchaguzi endapo mabadiliko yasipofanyika, Maalim Seif aliwahi kuwafanyisha sana maandamano wananchi wa Zanzibar na Bara na wengi walipoteza maisha katika kile walichokidai wanatafuta haki.

Tundu Lissu ameanza kwenda kulalamika kwa mabeberu na juzi ameonekana akiwa na Balozi wa Norway nchini, kumbuka yeye ndio anawaambia watanzania kuwa wazungu wanatuibia na yeye ndio huyo huyo anakimbilia kwao kulalamika wamsaidie akianzisha no reforms no elections, hiyo kukimbia kwenye taasisi za kimataifa Seif ndio alibobea huko, nchi zote Maalim Seif alikwenda, alikunywa chai, alikuwa wali, alipewa makaratasi ya Kila aina na mwisho alikutana na Tanzania is a sovereign country.Hakufanikiwa.

Kwa hiyo Lissu hana jipya, amebaki kufoka tu, halafu hana kabisa uwezo wa kuongelea mambo ya kijamii, yeye Kila siku akialikwa ameshikilia no reform no elections, hana agenda za kitaifa kama mwenzake Mbowe, Mbowe alikuwa akiitisha Press mm hapa Lushoto hata nikisikia kuwa amepanga kuongea Huwa namsikiliza sio huyo Lissu, kelele, majigambo na majivuno kibao kumbe maarifa sifuri.
Bila TISS, POLIS na tume ya uchaguzi ccm ni wepesi. Nakushuri ukasome utafiti wa Prof. Kilian wa IDSM " Do election matter in Zanzibaar" we must think again. Uchagui una maana yoyote Tanzania?
 
Mkongwe Maalim Seif hadi anakwenda kwa muumba wake (Mwenyezi Mungu amrehemu na ampunguzie adhabu za kaburi) amefanya Kila jitihada za kuingia Ikulu ya Zanzibar lakini hakufanikiwa, hakuna mkakati, mpango, mbinu ambazo Maalim hakuzitumia.

Kwa mfano Leo Tundu Lissu anasema No reforms no elections, Maalim Seif alikuwa na Jino kwa Jino na Ngangari, akatumia sana neno Hakiiiiii asiyependa Haki.Hakufanikiwa kabisa.

Lissu anasema ataingia barabarani kupinga uchaguzi endapo mabadiliko yasipofanyika, Maalim Seif aliwahi kuwafanyisha sana maandamano wananchi wa Zanzibar na Bara na wengi walipoteza maisha katika kile walichokidai wanatafuta haki.

Tundu Lissu ameanza kwenda kulalamika kwa mabeberu na juzi ameonekana akiwa na Balozi wa Norway nchini, kumbuka yeye ndio anawaambia watanzania kuwa wazungu wanatuibia na yeye ndio huyo huyo anakimbilia kwao kulalamika wamsaidie akianzisha no reforms no elections, hiyo kukimbia kwenye taasisi za kimataifa Seif ndio alibobea huko, nchi zote Maalim Seif alikwenda, alikunywa chai, alikuwa wali, alipewa makaratasi ya Kila aina na mwisho alikutana na Tanzania is a sovereign country.Hakufanikiwa.

Kwa hiyo Lissu hana jipya, amebaki kufoka tu, halafu hana kabisa uwezo wa kuongelea mambo ya kijamii, yeye Kila siku akialikwa ameshikilia no reform no elections, hana agenda za kitaifa kama mwenzake Mbowe, Mbowe alikuwa akiitisha Press mm hapa Lushoto hata nikisikia kuwa amepanga kuongea Huwa namsikiliza sio huyo Lissu, kelele, majigambo na majivuno kibao kumbe maarifa sifuri.
CHAWA Pro Max
 
Mkongwe Maalim Seif hadi anakwenda kwa muumba wake (Mwenyezi Mungu amrehemu na ampunguzie adhabu za kaburi) amefanya Kila jitihada za kuingia Ikulu ya Zanzibar lakini hakufanikiwa, hakuna mkakati, mpango, mbinu ambazo Maalim hakuzitumia.

Kwa mfano Leo Tundu Lissu anasema No reforms no elections, Maalim Seif alikuwa na Jino kwa Jino na Ngangari, akatumia sana neno Hakiiiiii asiyependa Haki.Hakufanikiwa kabisa.

Lissu anasema ataingia barabarani kupinga uchaguzi endapo mabadiliko yasipofanyika, Maalim Seif aliwahi kuwafanyisha sana maandamano wananchi wa Zanzibar na Bara na wengi walipoteza maisha katika kile walichokidai wanatafuta haki.

Tundu Lissu ameanza kwenda kulalamika kwa mabeberu na juzi ameonekana akiwa na Balozi wa Norway nchini, kumbuka yeye ndio anawaambia watanzania kuwa wazungu wanatuibia na yeye ndio huyo huyo anakimbilia kwao kulalamika wamsaidie akianzisha no reforms no elections, hiyo kukimbia kwenye taasisi za kimataifa Seif ndio alibobea huko, nchi zote Maalim Seif alikwenda, alikunywa chai, alikuwa wali, alipewa makaratasi ya Kila aina na mwisho alikutana na Tanzania is a sovereign country.Hakufanikiwa.

Kwa hiyo Lissu hana jipya, amebaki kufoka tu, halafu hana kabisa uwezo wa kuongelea mambo ya kijamii, yeye Kila siku akialikwa ameshikilia no reform no elections, hana agenda za kitaifa kama mwenzake Mbowe, Mbowe alikuwa akiitisha Press mm hapa Lushoto hata nikisikia kuwa amepanga kuongea Huwa namsikiliza sio huyo Lissu, kelele, majigambo na majivuno kibao kumbe maarifa sifuri.
Bado hamjasema, hadi mseme.
 
Mkongwe Maalim Seif hadi anakwenda kwa muumba wake (Mwenyezi Mungu amrehemu na ampunguzie adhabu za kaburi) amefanya Kila jitihada za kuingia Ikulu ya Zanzibar lakini hakufanikiwa, hakuna mkakati, mpango, mbinu ambazo Maalim hakuzitumia.

Kwa mfano Leo Tundu Lissu anasema No reforms no elections, Maalim Seif alikuwa na Jino kwa Jino na Ngangari, akatumia sana neno Hakiiiiii asiyependa Haki.Hakufanikiwa kabisa.

Lissu anasema ataingia barabarani kupinga uchaguzi endapo mabadiliko yasipofanyika, Maalim Seif aliwahi kuwafanyisha sana maandamano wananchi wa Zanzibar na Bara na wengi walipoteza maisha katika kile walichokidai wanatafuta haki.

Tundu Lissu ameanza kwenda kulalamika kwa mabeberu na juzi ameonekana akiwa na Balozi wa Norway nchini, kumbuka yeye ndio anawaambia watanzania kuwa wazungu wanatuibia na yeye ndio huyo huyo anakimbilia kwao kulalamika wamsaidie akianzisha no reforms no elections, hiyo kukimbia kwenye taasisi za kimataifa Seif ndio alibobea huko, nchi zote Maalim Seif alikwenda, alikunywa chai, alikuwa wali, alipewa makaratasi ya Kila aina na mwisho alikutana na Tanzania is a sovereign country.Hakufanikiwa.

Kwa hiyo Lissu hana jipya, amebaki kufoka tu, halafu hana kabisa uwezo wa kuongelea mambo ya kijamii, yeye Kila siku akialikwa ameshikilia no reform no elections, hana agenda za kitaifa kama mwenzake Mbowe, Mbowe alikuwa akiitisha Press mm hapa Lushoto hata nikisikia kuwa amepanga kuongea Huwa namsikiliza sio huyo Lissu, kelele, majigambo na majivuno kibao kumbe maarifa sifuri.
huyo tapeli na kibaka wa siasa nchini hawezi kufanya chochote gentleman,
ni wakupuuzwa tu 🐒
 
Mkongwe Maalim Seif hadi anakwenda kwa muumba wake (Mwenyezi Mungu amrehemu na ampunguzie adhabu za kaburi) amefanya Kila jitihada za kuingia Ikulu ya Zanzibar lakini hakufanikiwa, hakuna mkakati, mpango, mbinu ambazo Maalim hakuzitumia.

Kwa mfano Leo Tundu Lissu anasema No reforms no elections, Maalim Seif alikuwa na Jino kwa Jino na Ngangari, akatumia sana neno Hakiiiiii asiyependa Haki.Hakufanikiwa kabisa.

Lissu anasema ataingia barabarani kupinga uchaguzi endapo mabadiliko yasipofanyika, Maalim Seif aliwahi kuwafanyisha sana maandamano wananchi wa Zanzibar na Bara na wengi walipoteza maisha katika kile walichokidai wanatafuta haki.

Tundu Lissu ameanza kwenda kulalamika kwa mabeberu na juzi ameonekana akiwa na Balozi wa Norway nchini, kumbuka yeye ndio anawaambia watanzania kuwa wazungu wanatuibia na yeye ndio huyo huyo anakimbilia kwao kulalamika wamsaidie akianzisha no reforms no elections, hiyo kukimbia kwenye taasisi za kimataifa Seif ndio alibobea huko, nchi zote Maalim Seif alikwenda, alikunywa chai, alikuwa wali, alipewa makaratasi ya Kila aina na mwisho alikutana na Tanzania is a sovereign country.Hakufanikiwa.

Kwa hiyo Lissu hana jipya, amebaki kufoka tu, halafu hana kabisa uwezo wa kuongelea mambo ya kijamii, yeye Kila siku akialikwa ameshikilia no reform no elections, hana agenda za kitaifa kama mwenzake Mbowe, Mbowe alikuwa akiitisha Press mm hapa Lushoto hata nikisikia kuwa amepanga kuongea Huwa namsikiliza sio huyo Lissu, kelele, majigambo na majivuno kibao kumbe maarifa sifuri.
Umejiunga mwaka jana mwishoni hapa jf ili uje utabike huu utopolo?!
 
Mkongwe Maalim Seif hadi anakwenda kwa muumba wake (Mwenyezi Mungu amrehemu na ampunguzie adhabu za kaburi) amefanya Kila jitihada za kuingia Ikulu ya Zanzibar lakini hakufanikiwa, hakuna mkakati, mpango, mbinu ambazo Maalim hakuzitumia.

Kwa mfano Leo Tundu Lissu anasema No reforms no elections, Maalim Seif alikuwa na Jino kwa Jino na Ngangari, akatumia sana neno Hakiiiiii asiyependa Haki.Hakufanikiwa kabisa.

Lissu anasema ataingia barabarani kupinga uchaguzi endapo mabadiliko yasipofanyika, Maalim Seif aliwahi kuwafanyisha sana maandamano wananchi wa Zanzibar na Bara na wengi walipoteza maisha katika kile walichokidai wanatafuta haki.

Tundu Lissu ameanza kwenda kulalamika kwa mabeberu na juzi ameonekana akiwa na Balozi wa Norway nchini, kumbuka yeye ndio anawaambia watanzania kuwa wazungu wanatuibia na yeye ndio huyo huyo anakimbilia kwao kulalamika wamsaidie akianzisha no reforms no elections, hiyo kukimbia kwenye taasisi za kimataifa Seif ndio alibobea huko, nchi zote Maalim Seif alikwenda, alikunywa chai, alikuwa wali, alipewa makaratasi ya Kila aina na mwisho alikutana na Tanzania is a sovereign country.Hakufanikiwa.

Kwa hiyo Lissu hana jipya, amebaki kufoka tu, halafu hana kabisa uwezo wa kuongelea mambo ya kijamii, yeye Kila siku akialikwa ameshikilia no reform no elections, hana agenda za kitaifa kama mwenzake Mbowe, Mbowe alikuwa akiitisha Press mm hapa Lushoto hata nikisikia kuwa amepanga kuongea Huwa namsikiliza sio huyo Lissu, kelele, majigambo na majivuno kibao kumbe maarifa sifuri.
Lisu hafai hata kupewa ujumbe wa nyumba kumi.
 
Mkongwe Maalim Seif hadi anakwenda kwa muumba wake (Mwenyezi Mungu amrehemu na ampunguzie adhabu za kaburi) amefanya Kila jitihada za kuingia Ikulu ya Zanzibar lakini hakufanikiwa, hakuna mkakati, mpango, mbinu ambazo Maalim hakuzitumia.

Kwa mfano Leo Tundu Lissu anasema No reforms no elections, Maalim Seif alikuwa na Jino kwa Jino na Ngangari, akatumia sana neno Hakiiiiii asiyependa Haki.Hakufanikiwa kabisa.

Lissu anasema ataingia barabarani kupinga uchaguzi endapo mabadiliko yasipofanyika, Maalim Seif aliwahi kuwafanyisha sana maandamano wananchi wa Zanzibar na Bara na wengi walipoteza maisha katika kile walichokidai wanatafuta haki.

Tundu Lissu ameanza kwenda kulalamika kwa mabeberu na juzi ameonekana akiwa na Balozi wa Norway nchini, kumbuka yeye ndio anawaambia watanzania kuwa wazungu wanatuibia na yeye ndio huyo huyo anakimbilia kwao kulalamika wamsaidie akianzisha no reforms no elections, hiyo kukimbia kwenye taasisi za kimataifa Seif ndio alibobea huko, nchi zote Maalim Seif alikwenda, alikunywa chai, alikuwa wali, alipewa makaratasi ya Kila aina na mwisho alikutana na Tanzania is a sovereign country.Hakufanikiwa.

Kwa hiyo Lissu hana jipya, amebaki kufoka tu, halafu hana kabisa uwezo wa kuongelea mambo ya kijamii, yeye Kila siku akialikwa ameshikilia no reform no elections, hana agenda za kitaifa kama mwenzake Mbowe, Mbowe alikuwa akiitisha Press mm hapa Lushoto hata nikisikia kuwa amepanga kuongea Huwa namsikiliza sio huyo Lissu, kelele, majigambo na majivuno kibao kumbe maarifa sifuri.
Hapana, tungojee
 
Akili zako ndogo wewe huwezi kujua na kuelewa mambo makubwa! Hhujui Hata maana ya CIVIL RIGHTS
wenye mihemko na makasiriko nadhan inafaa kuwekewa jukwaa lenu,

hakuna wa kubabaika na huyo kibaka na tapeli wa pesa za wanyonge gentleman 🐒
 
wenye mihemko na makasiriko nadhan inafaa kuwekewa jukwaa lenu,

hakuna wa kubabaika na huyo kibaka na tapeli wa pesa za wanyonge gentleman 🐒
Bora kuwa na mihemko kuliko kuwa CHAWA MWEUPE KICHWANI ..... Ni bora anayegombea uraisi kupitia pesa za wanyonyonge kuliko pesa za warabu wa Bandar. Nyerere alienda UN kudai uhuru kwa pesa za nani kama siyo za wanyonge?
Jifunze kusoma ili usiwe KASUKU
 
Back
Top Bottom