kamanda umesomea wapi uandishi wa habari. unataka kujifananisha na mwandishi nguli wa kimataifa ? hivi unajua aina za uandishi wa habari. hivi unajua uandishi wa mfumo wa HARDTALK.!!Leo wakati akimhoji Maalimu Seif juu ya uchaguzi wa Zanzibar, Salim Ki? ?ke mtangazaji wa BBC, aliishia kupigishana makelele na Maalimu Seif kwani kila mmoja alikuwa anaongea kwa sauti.
Huu ndio utaratibu wa kuhoji watu Salim?