Kikeke ambana Maalim Seif

Kikeke ambana Maalim Seif

Leo wakati akimhoji Maalimu Seif juu ya uchaguzi wa Zanzibar, Salim Ki? ?ke mtangazaji wa BBC, aliishia kupigishana makelele na Maalimu Seif kwani kila mmoja alikuwa anaongea kwa sauti.

Huu ndio utaratibu wa kuhoji watu Salim?
kamanda umesomea wapi uandishi wa habari. unataka kujifananisha na mwandishi nguli wa kimataifa ? hivi unajua aina za uandishi wa habari. hivi unajua uandishi wa mfumo wa HARDTALK.!!
 
Nimefurahishwa sana Salimu Kikeke alivyomuhoji Seif
Kwasababu Seif hakuwa na hoja za msingi kwanini hwakushiriki uchaguzi wa marudio Zanzibar
Kijasho kimemtoka,alifikiri Kikeke ni kama watangazaji wa deutch vele ambao huwa wanambeba kwa maswali ya kitoto
 
Salim anataka maalim seif amjibu anavyotaka, ni aibu mtangazaji kutaka kumpangia mtu cha kujibu.
Weledi wa habari hasa vyombo hivi vya BBC. DW. CCTV .. hakuna siku mtangazaji atasimama upande wa upinzani katu
 
Leo wakati akimhoji Maalimu Seif juu ya uchaguzi wa Zanzibar, Salim Kikeke mtangazaji wa BBC, aliishia kupigishana makelele na Maalimu Seif kwani kila mmoja alikuwa anaongea kwa sauti.

Huu ndio utaratibu wa kuhoji watu Salim?
Sasa hapo alipombana wapi?
 
acha ukenge na ulofa kamanda. umesomea wapi uandishi wa habari. unataka kujifananisha na mwandishi nguli wa kimataifa ? hivi unajua aina za uandishi wa habari. hivi unajua uandishi wa mfumo wa HARDTALK.!!
Hivi salim ni muandishi nguli wa kimataifa, umetumia vigezo vipi?
Na akiwa nu muandishi nguli hawezi kukosea.?
 
Leo wakati akimhoji Maalimu Seif juu ya uchaguzi wa Zanzibar, Salim Kikeke mtangazaji wa BBC, aliishia kupigishana makelele na Maalimu Seif kwani kila mmoja alikuwa anaongea kwa sauti.

Huu ndio utaratibu wa kuhoji watu Salim?

Salim Kikeke AMESHINDWA KUONYESHA WELEDI WAKE. Yeye ndio kamwita Maalim Seif studio halafu badala ya kumpa nafasi ajibu yeye anampigia kelele. Hii ndio extremely unprofessional episode toka BBC SWAHILI niliyowahi kuona. Ni kama Sam Mahela si alipomhoji Mch. Peter Msigwa. Hua wanaogopa kwamba baadhi ya majibu yanayotolewa YATAWAKERA WATAWALA FULANI.
 
Salim Kikeke AMESHINDWA KUONYESHA WELEDI WAKE. Yeye ndio kamwita Maalim Seif studio halafu badala ya kumpa nafasi ajibu yeye anampigia kelele. Hii ndio extremely unprofessional episode toka BBC SWAHILI niliyowahi kuona. Ni kama Sam Mahela si alipomhoji Mch. Peter Msigwa. Hua wanaogopa kwamba baadhi ya majibu yanayotolewa YATAWAKERA WATAWALA FULANI.
Kwanini amuite kumhoji wakati asingependa majibu ya maalim yasikike kwa watu fulani
 
Nimefurahishwa sana Salimu Kikeke alivyomuhoji Seif
Kwasababu Seif hakuwa na hoja za msingi kwanini hwakushiriki uchaguzi wa marudio Zanzibar
Hoja gani Maalima aliitoa?
 
Mtu kapewa dakika 3 za kujieleza snataka aanze kuhubiri, kipindi kile hakina muda wa mjadala zaid ya ndio na hapana kwa sababu ya msingi na sio historia
Mahojiano gani yenye majibu ya NDIYO au HAPANA tu
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Hivi salim ni muandishi nguli wa kimataifa, umetumia vigezo vipi?
Na akiwa nu muandishi nguli hawezi kukosea.?
una elimu gani ya uandishi kamanda kuweza kumkosoa Kikeke. unajua ifike wakati tupime yapi ya ushabiki na yapi ya kizalendo. kaukluzwa swali la msingi sana lakini akawa anakwepa kujibu
 
una elimu gani ya uandishi kamanda kuweza kumkosoa Kikeke. unajua ifike wakati tupime yapi ya ushabiki na yapi ya kizalendo. kaukluzwa swali la msingi sana lakini akawa anakwepa kujibu
Hoja si swali na jibu. Hoja ni approach ya Kikeke kuwa haikuwa nzuri.
 
Mtu kapewa dakika 3 za kujieleza snataka aanze kuhubiri, kipindi kile hakina muda wa mjadala zaid ya ndio na hapana kwa sababu ya msingi na sio historia

Waandishi wa BBC siyo wa Tz Daima, kumpamba mtu.
Ukiulizwa swali usitoe hotuba jibu ndiyo au hapana na sababu zake.
Tatizo labwanadiasa wetu, badala ya kujibu kwa ufasaha wanafikiria kutoa hotuba zisizo na mwisho.
 
Back
Top Bottom