Kikao cha wanaume

Kikao cha wanaume

Hahaha halafu we na King'asti mna ishu ipi? Kisukari mna chat?
King'asti jana kanambia eti kule fesbuk ni frendi wangu. Sasa nimeenda kule nimewakagua wabebs wote ambao ni frendz wangu lakini bado sijagundua ni yupi. Nahitaji msaada wako hapo. Sasa ishu iliyopo ni ya viatu vya Crocs....yeye anataka akija kuvichukua eti aje na Paw wake. Sasa mi Paw sim-feel kihivyo...keshaniban sana huyo jamaa.

Kwa hiyo nimesuka dili..nitaacha tu waje wote. Halafu Paw ntamnunulia whiskey....akilewa tu namteka nyara King'asti naondoka naye tunamwacha Paw kwenye mataa na mipombe yake.

kisukari
huwa namuona kwa nadra sana humu. Sijawahi hata kuchat naye. Yeye hata ukimkwoti wala hatakujibu.
 
Mleta mada umjuaje jambo hili??? wewe mwenyewe hatuamini kama wewe ni mwenzetu mvaa sjeti.
 
Habari ya muda wanajamii naomba tujadiliane hili katika jamii yetu tukiwa kama wanaume karibuni

Najua hapa kijijini kwetu kuna uhuru wa kuongea bila kuvunja sheria za kijiji nami natumia uhuru huo huo,Langu moja tu ni kuhusu hizi fake ID. Wote tunatumia fake ID na zinasaidia mambo mengi,zinafanya mtu unatoa lolote la moyoni bila kujali lakini kuna watu wanazo Id mbili mbili sio shida kwakuwa sheria za kijiji zinaruhusu

Sasa hili la mwanaume kutumia ID ya kike linamaanisha nini? ... kwamba unafurahi wanaume wanavyokutongoza?

Mh!! umejuaje.. kuwa watu wanatumia ID mbili na moja ya Mwanamke. Mh kazi ipo ulimtongoza dume nini???????????????
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom